Nimekoma walahi! Pilau la buku nimelinunua kwa 32,000 za dripu mbili

Kuna gf wangu, wife material anakaa kona hizi akanipa mbinu moja siku hiyo tukanunua pilau zakiem pale la buku 2 na matunda. Kufika geto likanishinda. Akalipigilia likabaki akanambia majirani hili hawalikatai. Kawaita wakaja kulibeba.

Nikaskia wanapiga bajeti ya juisi moja moja pilau tayari lipo 😂
Mbagala hii kawaida sana.........Mbagala ndio sehemu pekee ndani ya Tanzania buku 10 unaweza toboa wiki
 
Sawa mkuu
 
Pole Sana utapona
 
hilo limebaki kwenye masherehe na migahawa mikubwa ni kwajili ya nguruwe sema baadhi hulichepusha na kuliuza kwa buku limetembelewa na mende wa chooni kijana wangu
Kuna tabia nyingine kuzidhibiti ni ngumu mana zimefungamana na umaskini. Sasa hiyo si ni kama kuuza mifupa ya kuku? Ulishwahi kuona mapaja ya kuku yamenyonyogwa yanakaangwa na kupangwa fungu?
 

Attachments

  • images (9).jpeg
    9.6 KB · Views: 3
Jamani tunaweza kulaumu pilau kumbe tatizo juice ya muwa,zile juice zinasagiwa sana nzii....
Nzi hana tabu yoyote yule akisagiwa anakutana na tangwizi mule na ndimu kwisha kaz. Pilau linabakia kila siku na halimwagwi 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…