Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Weka stress pembeni kulala
Mi sahivi namshukuru Mungu,nilipitiwa kipindi km hiki, though mi sbb kubwa ilikuwa ni fasting ya muda mrefu na mara Kwa mara!

Ila sshv namshukuru Mungu Kwakweli
Hongera kwa mfungo dear.
Ila kupungua ya mfungo ukimaliza na mwili unarudi automatically
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…