Hakikisha unafanya mapenzi mara moja kwa week ,pata soda moja kila unapopata launch,hakikisha huvuki mlo usikose vitamin b complex kidonge kimoja daily kwa mweziHappy new year beautiful people.
Dear nutritionists mlioko JF naomba mnishauri diet itakayonisaidia kurudisha kilo zangu zilizopotea.
Nimekonda hadi nahisi watu wanahisi nina umeme(God forbid).
NB: Siumwi chochote na kila miezi 6/mwaka huwa nafanya general health check up ikijumlisha ini, figo, moyo, kansa ya mlango wa kizazi na matiti.(Ni kautamduni tu nimejiwekea)
Natanguliza shukrani
We jichanganye ujute π
Hahahaa hakuna lolote
Sawa nitazingatia ila za kula hazijawahi kuwa shida mkuuKilichokufanya ukonde ni kukosa kibunda so zangatia maokoto mzee
Asante ila sipendi biaKula Kitimoto nusu, bia baridi kila siku mwili utarudi
Hapo pa bia weka pepsiKitimoto sawa ila bia siwezi mkuu.π
Hatari, Kwa urefu huo na hizo kilo ni mwembamba sana. Umecheck sukari? Huwa inakondesha sana.164 height
49 weight
Vikoba navisikia tu mkuu.Pole sana.
Ushauri achana na vikoba na mikopo ya kausha damu Kama uno humo
Pia Kama we ni kamwanamke kalevi punguza pombe au kula sana kabla ya kubugia kamunyweso.
Kingine we Kama ni mkazi wa daslam epuka kula matembele na matumbo mabichwa na magulu za kuku. Jitaidi ukule samaki wa mwanza Kama sato na kamongo yasinda nyama ndani ya mwezi tu utajua mnene Kama msechu
Sina mkuuKapime HIV kwanza.
Safi sana, yaani unafit style zote, nikikupa mwezi tu na tako linaumukaNimetoka bathroom kucheki sasa hivi inasoma 49 kawaida nakuaga 64(Mie mrefu)
Mkuu umewahi kuona kiongozi yeyote wa kisiasa anacheza na fisi?We jichanganye uone kama hujawa kambi ya fisi kweli π
Kambi ya Fisi
Finallly numepata ushauri.Pole
Una appetite?
Saga lishe kama ya mtoto Ile weka ulezi,korosho,mahindi, lozi na iliki
Uwe unapika uji unakunywa uweke na siagi na maziwa
Utengeneze smoothie zenye maziwa na matunda tofauti ila ndizi mbivu isikose
Kula sana ila zingatia balance diet maana unaweza ukafumuka vibaya sana
Ila pia hakikisha hela unayo maana kama huna hata ukinywa mafuta kila siku hutonenepa ng'o
Okay make sure account inasoma 7 digit na kuendelea...Sawa nitazingatia ila za kula hazijawahi kuwa shida mkuu
We jifariji tu kwahiyo yule mh ni mnene au tipwatipwa, chibonge? Au yote ni sawaMkuu umewahi kuona kiongozi yeyote wa kisiasa anacheza na fisi?
Kamwe hawezi kuchezea sharubu za fisi π
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hapa ni kipi ulichokiandika ambacho kinanenepesha?
Kunenepa that's it mkuu.Watu wanatoa ushauri wa kipumbavu ambao hawajaombwa. Yeye kaomba namna ya kunenepa. Wapuuzi wanamwambia acalculate body index au wanataka kujua body index. Hayo hajawaambia. Mnachemka sana kuelezea kitu ambacho hajaomba. Kaomba jambo jingine mnaleta ujuaji wa kishamba. YEYE ANATAKA KUNENEPA. PERIOD.
Hii ni kweli mkuu? Hata uko kausha damu wengi ni vibonge kumbe ni moja ya dhamana πWanene Ndio Wanaaminika Kukopesheka
Sijui mkuu.No appetite why? Shida inaeza kuwa hapa