Nimekonda sana, naomba ushauri nifanyaje nirudishe kilo zangu haraka

Hakikisha unafanya mapenzi mara moja kwa week ,pata soda moja kila unapopata launch,hakikisha huvuki mlo usikose vitamin b complex kidonge kimoja daily kwa mwezi
 
Vikoba navisikia tu mkuu.
Matembele nayapenda tatizo no appetite na yenyewe nalamba tu siku hizi.
Hizo vitu zinginge sivijui mkuu.
Asante na Mungu akubariki kwa ushauri mkuuπŸ™
 
Finallly numepata ushauri.
Appetite sina ila vimiminuka vinapita labda hiyo lishe itapita pia.
Barikiwa kipenzi nitazingatia.
 
Kunenepa that's it mkuu.

Btw, unajitambua sana mkuu.
Zidi kubarikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…