Nimekosa ajira za ualimu tena

Nimekosa ajira za ualimu tena

Pole Sana Mzee,hapo jipange kivingine..

Mimi jamaa yangu kabahatika this time around,maana Ali Disco Mlimani kozi ya Uchumi mwaka 2012,baadae akajiunga chuo Cha ualimu akahitimu 2015 na Diploma ya masomo ya Sanaa.

Tokea amesugua bench mpaka akakata tamaa lakini nikamwambia aombe,miaka yote aliyoomba alikosa..

Leo hii nimeangalia nimeliona jina,kafurahi hadi kanywa pombe huko hasomeki..

Ila sasa namhurumia maana salary ya Diploma ni ndogo na Bodi ya mkpo itachukua chake haijalishi uli disco au laa..

Ila jamaa yangu alishaanza life lake kitambo,ana mke na watoto 2 na alishajenga nyumba ya kawaida na ana mifugo na Kazi za ufundi..

Sasa anatakiwa kuhama huku aliko na ni mjini aende kwa kina Mwigulu huko Vijijini.
Atakuwa hajafikiria vizuri akiacha hizo shughuli zake
 
Ila hii kada ya ualimu inapitia magumu kwenye hizi ajira aisee.

Yaani wao ni mpaka serikali itangaze!?? Ni mwaka hadi miaka!

Wengine huku kitaa washaachana na hizo mambo za kuomba ajira, washajitoa kwenye mfumo wanapiga ishu zao kitaa.
 
Ila hii kada ya ualimu inapitia magumu kwenye hizi ajira aisee.

Yaani wao ni mpaka serikali itangaze!?? Ni mwaka hadi miaka!

Wengine huku kitaa washaachana na hizo mambo za kuomba ajira, washajitoa kwenye mfumo wanapiga ishu zao kitaa.
Ualimu au siyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ndugu zanguni nimekosa ajira tena!
Nikiamini kwa 75% kuwa Kama tumetumia namba za NIDA basi umri na mwaka wa kumaliza chuo vitanibeba lakini wapi!

Mwaka wa kuhitimu chuo kikuu 2015, umri wangu miaka 34 lakini nimepiga gape na vitoto vya mwaka 2020 na umri wa chini ya 25!
Serikali kweli walikaa na kuamua kuajiri BAED 600 seriously! Yaani kwakundi kubwa lililopo Bora ningeenda hata msingi lakini niajiriwe.

Wewe bashungwa Kama uemhusika kwenye huu mchakato Mungu akusimamie katika magumu unayopitia.

Binafsi ninakinyongo sio kwasababu nimekosa hapana ila kwasababu nimekosa kisha akapata wa mwaka 2020 ambae nae ni Sanaa Kama Mimi.

Yaani hapa mpaka tumbo linanikata kwa maumivu lakini poa tu maisha ndio haya haya.
kaoshe nyota bhana!!!
 
Pole Sana Mzee,hapo jipange kivingine..

Mimi jamaa yangu kabahatika this time around,maana Ali Disco Mlimani kozi ya Uchumi mwaka 2012,baadae akajiunga chuo Cha ualimu akahitimu 2015 na Diploma ya masomo ya Sanaa.

Tokea amesugua bench mpaka akakata tamaa lakini nikamwambia aombe,miaka yote aliyoomba alikosa..

Leo hii nimeangalia nimeliona jina,kafurahi hadi kanywa pombe huko hasomeki..

Ila sasa namhurumia maana salary ya Diploma ni ndogo na Bodi ya mkpo itachukua chake haijalishi uli disco au laa..

Ila jamaa yangu alishaanza life lake kitambo,ana mke na watoto 2 na alishajenga nyumba ya kawaida na ana mifugo na Kazi za ufundi..

Sasa anatakiwa kuhama huku aliko na ni mjini aende kwa kina Mwigulu huko Vijijini.
Sasa kwanini anataka kuacha kazi yake akafanye kazi ya kuajiriwa? Yaani waalimu hawa kwanini hawajiongezi?
 
Yaani aache basic ya 653,000 Ili aendelee na Kazi za ufundi za kubangaiza?

Angekuwa fundi mkubwa na anapata mapato zaidi ya hayo asingeenda
Watu wanaongeaga tu nyuma ya keyboard ila kwa ground mambo tofauti yaani mkuu hata usishangae komenti kama hizo


Wengi tunapenda kuajiriwa serikalini kwa sababu ya security

Kwamba hata nikiumwa ,hata nikiwa likizo bado ela inaingia bado nina mafao


Hakuna asiyejua hili
 
Watu wanaongeaga tu nyuma ya keyboard ila kwa ground mambo tofauti yaani mkuu hata usishangae komenti kama hizo


Wengi tunapenda kuajiriwa serikalini kwa sababu ya security

Kwamba hata nikiumwa ,hata nikiwa likizo bado ela inaingia bado nina mafao


Hakuna asiyejua hili
Huwezi acha pension wakati una maisha ya kubangaiza,uache Bima,na fursa zingine nk..
 
Back
Top Bottom