Pole Sana Mzee,hapo jipange kivingine..
Mimi jamaa yangu kabahatika this time around,maana Ali Disco Mlimani kozi ya Uchumi mwaka 2012,baadae akajiunga chuo Cha ualimu akahitimu 2015 na Diploma ya masomo ya Sanaa.
Tokea amesugua bench mpaka akakata tamaa lakini nikamwambia aombe,miaka yote aliyoomba alikosa..
Leo hii nimeangalia nimeliona jina,kafurahi hadi kanywa pombe huko hasomeki..
Ila sasa namhurumia maana salary ya Diploma ni ndogo na Bodi ya mkpo itachukua chake haijalishi uli disco au laa..
Ila jamaa yangu alishaanza life lake kitambo,ana mke na watoto 2 na alishajenga nyumba ya kawaida na ana mifugo na Kazi za ufundi..
Sasa anatakiwa kuhama huku aliko na ni mjini aende kwa kina Mwigulu huko Vijijini.