Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
- Thread starter
- #21
nimekupa LIKE
- Umekuwa hadimu kwangu.
- Mbona umepotea?
- Huko kwenu kuna NG'AMBI? (watokao Tanga nadhani wanajua ng'ambi)
- Siku hizi umetawishwa? au unasingwa?
- Umekuwa nyota ya Jaha!!
cc. Amavubi
Lokissa
Nyani Ngabu
Lokissa
Mkereketwa_Huyu
Chum Chang
Kingmairo