Nimekubali kuachwa tena

Hapo tu kwenye number moja!huwa unanifurahisha Sana sijui kabila gani wewe mtu!
 
[emoji120] siwezi Pinga asilimia 100 wala kukubali asilimia 100 yote yanaweza kuwa sahihi.

I will prove u wrong in a time to come ,just wait[emoji1]
 
[emoji1][emoji1] mkuu sijatoa code zote humu kuficha privacy wa mtoa mada na mtajwa, anyway u can believe hivo uaminivyo
 
Budaa unaonekana wewe ni mario huna msaada kwa huyo dada kabisa ana deserve kukuacha
Kama uko kwa MAHUSIANO usiyona amani nayo kuachwa inakuwa na advantage kwa muachwa
 
na hapo akiulizwa yy kuhusu ww atatoa sababu nyingi kuliko hata ww,

ndo maana mzee wangu huwa anakataa kusikiliza upande mmoja

tunaweza kumuuliza huyo manzi yako juu ya haya uliyoyasema akajibu kwa kifupi tu

"nampenda sana ila hanifikishi kileleni"
 
DeepPond big brother ngoja nikudadavulie kidogo uweze kuielewa kitu.

Kuna baadhi ya code sijaweka kuhide ID yangu na mhusikaa though ye sio mdau wa JF kabisaa.

Iko hivi kumbuka haya MAHUSIANO yetu hayana hata miezi miwili, ye anakaa kwao mie nakaa kwetu ambako nimbali kidogo nakwao ,so kuonana ni mara chache sana, tumeonana kama mara 2 hivi kwa hii miezi miwili.

Mtu Hadi unaamua Nya kwenye biashara nibaada yakujiridhisha na mwenendo wa hio biashara, huwezi tu ukawekeza resources zako eti kutakaa kuonekana umeiellewa sana hio biashara au vipi, mie kutokuwekeza kwake ni baada ya mara ya kwanza kufanya hivo na akaja nikaushia tu bila neno loloteee hivo hadi uhusiano ukafa.

Sasa kaka mkuu hapo ungekuwa wewe kwa hii scenario ungeanza tu ukurupuke na kuanza kuhudumia???? Na pili sie sio watu wa kuonana mara kwa mara kusema labda tumetoka sana out yeye ndo aka clear bills zote. Labda lugha nlotumia inaweza kuwa kama inamu offend kwa namna flan lkn issue ni kujua nn kimepelekea mie kufanya hivi. Unaweza niona dhaifu nayo pia ni sawa kwa perception zako siwezi kataa.


Na kuhusu umarioo, katika MAHUSIANO yangu yote sijawahi kula Hela ya mwanamke ila wao zangu wametumia and I don't brag about this, so mie kutokutaka kutumia rasilimali zangu kwake ni makusudi kwa kile nlichokipata awali.
 
Mkuu 911 tunaweza mfanya kitu mbaya huyo manzi are ready
 
[emoji1][emoji1] mkuu sijatoa code zote humu kuficha privacy wa mtoa mada na mtajwa, anyway u can believe hivo uaminivyo
Kupitia Uzi wako,
Umetoa code zako Mwnyw tukujue wee Ni mtu wa namna gani.

Ndo Maana wkt nachangia nakuita marioo,
nilikua naquote kabisa misemo yako Kwny Uzi husika.

Haihitaji degree kabisa kujua pale kwa yule mwanamke ulikua unalelewa[emoji4]
 
"Mimi ni nani hata nibishane na chair "imepita hiyo
 
Na hio issue ya kumtafuta yeye mara kwa mara, kuna kipindi ashawai nikaushia kuja uliza anasema sababu anahisi mie Niko busy sana so anaona usumbufu kunichekicheki mara kwa mara, so mie ndio nikawa namcheki Ili kutoa ilo gepu la kuonekana Niko busy sana ,je HIO NAYO NI VIBAYA KUMJULIA HALI mpenzi wako, na ucpofanya hivo unaonekana hujai, mie Kosa langu liko wapi hapoo????

Suala la kusema nataka kuambiwa napendwa sidhani kama nakosea lazima ujiridhishe mtu kama hawezi kukwambia anakupenda inapita hata weeks kadhaa while kuna ladies out there sio wapenzi wako wanakuambiwa ,haimake sense japo sidemand kuambiwa hivo lakin sie ni WAPENZI lazma communication yetu ionekane ni two people dating.

Kuhusu Gubu sio mtu wa hivo, umekosea sana hapo kaka.

Sie mtu wa sherehe sana ila ni mtu wa matukio nasidhani kama nikosa kushiriki issue za kijamii inapobidi. DeepPond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…