Depal upo Arusha maeneo gani mamii?, nije tujumuike kwa pamoja.Sio nyakati zote..
Hiyo ni kuanzia 2020 kurudi nyuma huko
Sahivi jua kama kawa..
Hapa nimelala na kyupi tu
Na jioni hii mvua ilipiga ya kushato
Lkn hamna baridi
Haya wewe chali ya wapi?Kumzingua mtu ilo ni jambo jingine ila nasema ivi mchuga yoyote akingia anga zangu huwa simwachi salama hasa hawa wameru
Wewe wa matawi sio. Haya banaMtu unaenda Picnic sijui Mrina
Mara Bills river
Lazima ukutane na ulokutana nayo
Yente yente babuu. Anatokea ndichi huyu dingiii.Analeta pigo za kiwaki arifu,Ila haina paringi mnama.
IKO HIVI,Wakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Mademu wengi wa chuga hawako romanticBeautiful kwa sura tu, mchokoze uone ngumi atakazozichapa mwakinyo akasome.....kwanza hilo biti lake unaweza hisi sio yeye anaongea
sababu ya hali ya baridi mkuu.ukinywa bia haulewi ni kama maji tu. ili isiwe gharama kubwa ndo mana wanatumia kitu cha spirit ili maini, utumbo, firigisi na bandama zikae sawaWakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Mimi Arusha nilishangaa nilipo kutana na wamachinga wa kike,demu mkali kashika bidhaa ana negotiate men daaah pale dipo nilipo wakubali mademu wa Arusha.Wakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
[emoji1787]Arusha hamna beautiful ladies hao wote unaowaona ni miamba
Unaumwa na kifaduro chukua gari kapime muhimbili au aga khan naja lipa shudu shudu shuduuuuu [emoji2961]Arusha hamna beautiful ladies hao wote unaowaona ni miamba
Ukiona hivyo jua wewe mshambaWakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
arusha hiyo nikawaida yaoWakuu,
Sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika Arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na K-Vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
🤣🤣🤣🤣Arusha hamna beautiful ladies hao wote unaowaona ni miamba