Nimekumbuka Feisal alisema ili yeye arudi Yanga lazima Hersi atoke, nimecheka halafu nimechoka ghafla

Nimekumbuka Feisal alisema ili yeye arudi Yanga lazima Hersi atoke, nimecheka halafu nimechoka ghafla

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Nimeamka najiandaaa kwenda Misa ya Saa 2 hapa Mara nikawaza Fei aliwahi sema yeye akiondoka Hersi hata saivi (muda ule) anabeba begi anarudi zake Yanga.

Yani nimechoka sana hivi Feisal alikua anafikiria nini jamaa?😂😂

Screenshot_20231112-074356_Chrome.jpg
20240603_093932.jpg
 
Pia kuna watu flani walipiga magoti Chama asiondoke jamaa akawapa sharti la kumrejesha ndugu yake micqueson ambaye kibarua chake kiliota nyasi huko arabuni.

Unajiuliza mtu ni mkubwa kuliko taasisi? Mwenye ile picha atuwekee tafadhari ile ya mangungu akimpigia magoti chama ili asiondoke kurudi kwao huko Lusaka
 
Tatizo nyinyi mnatazama mafanikio ya timu kama kufeli kwa Fei wakati Fei alitazama malengo yake binafsi katika maisha yake ya soka. Fei amepata alichohitaji.
Ila kwa mchezaji professional alifeli sana kuongea vile. Ile ikitafsiriwa halafu akipata timu huko nje na wakaelewa alichosema hawawezi kumsajili. In short aliongea ujinga.
 
Ila kwa mchezaji professional alifeli sana kuongea vile. Ile ikitafsiriwa halafu akipata timu huko nje na wakaelewa alichosema hawawezi kumsajili. In short aliongea ujinga.
Historia ya Fei na kuwa professional wapi na wapi? Yeye alitazama maslahi yake interms of fedha inayoingia, hajasoma na alikiri hata mikataba huwa hajui inasemaje anaamini akiambiwa utapewa milioni kadhaa cheza kwa muda fulani anamwaga wino. Labda sasa hivi kama kuna watu watakuwa wanamsaidia.
 
Pia kuna watu flani walipiga magoti Chama asiondoke jamaa akawapa sharti la kumrejesha ndugu yake micqueson ambaye kibarua chake kiliota nyasi huko arabuni.

Unajiuliza mtu ni mkubwa kuliko taasisi? Mwenye ile picha atuwekee tafadhari ile ya mangungu akimpigia magoti chama ili asiondoke kurudi kwao huko Lusaka
Mkuu kweli ipo?
 
Ila kwa mchezaji professional alifeli sana kuongea vile. Ile ikitafsiriwa halafu akipata timu huko nje na wakaelewa alichosema hawawezi kumsajili. In short aliongea ujinga.
Tena Ujinga wa Karne..Ronaldo alivyoona kua Kuna Mtafaruku kati yake na Ten Hag akasema atolewe yeye KAFARA ili Man U iende mbele sio Ten Hag atoke yeye abaki.
 
Back
Top Bottom