Nimekumbuka Feisal alisema ili yeye arudi Yanga lazima Hersi atoke, nimecheka halafu nimechoka ghafla

Nimekumbuka Feisal alisema ili yeye arudi Yanga lazima Hersi atoke, nimecheka halafu nimechoka ghafla

Hawa kujua FIFA kwani kitendo cha serikali kujaribu kuingilia maamuzi ya mpira huwaga akina majadiliano kama yakifika kwenye meza ya FIFA hakuna maamuzi mengine zaidi ya kufungiwa.
Ok, Sawa, kama hawakujua na hakuna lililotokea kutoka FIFA inamaana hakuna madhara. Masuala ya ingekuwa yanabaki kama assumption.
Kwa hiyo kwako kutoboa ni kutoboa hata kwa njia isiyo sahihi au hili sababu limetokea Yanga?Ila tupo uzuri JF haisahahu,likitokea kwenu tutakumbushana.
Hapa si suala la unyonywaji Yanga, Hapa ni suala la tamanio la shabiki dhidi ya Fei kabla na baada ya kuondoka Yanga.

Yanga imemtoa Fei kwa mkataba wenye maslahi, haijapoteza maslahi yake katika huo mkataba na ndicho kilichotakiwa kufanyika kabla hata raisi hajashauri kuwa aachiwe.

Shabiki kama wewe ulitaka nini kitokee kwa Fei iwapo hana furaha tena Yanga zaidi ya yeye kuondoka na Yanga kupata maslahi yake? Baada ya yeye kuondoka unatamani kuona nini kikimtokea Fei? Majibu unayo na hapa ndipo tatizo lilipo.
Halafu nyie ndio mnaopiga kelele kwamba sheria za mpira hazizingatiwi.
Sheria za mpira zipi ambazo hazikuzingatiwa kwa kuondoka kwa Fei Yanga?
 
Ok, Sawa, kama hawakujua na hakuna lililotokea kutoka FIFA inamaana hakuna madhara. Masuala ya ingekuwa yanabaki kama assumption.

Hapa si suala la unyonywaji Yanga, Hapa ni suala la tamanio la shabiki dhidi ya Fei kabla na baada ya kuondoka Yanga.

Yanga imemtoa Fei kwa mkataba wenye maslahi, haijapoteza maslahi yake katika huo mkataba na ndicho kilichotakiwa kufanyika kabla hata raisi hajashauri kuwa aachiwe.

Shabiki kama wewe ulitaka nini kitokee kwa Fei iwapo hana furaha tena Yanga zaidi ya yeye kuondoka na Yanga kupata maslahi yake? Baada ya yeye kuondoka unatamani kuona nini kikimtokea Fei? Majibu unayo na hapa ndipo tatizo lilipo.

Sheria za mpira zipi ambazo hazikuzingatiwa kwa kuondoka kwa Fei Yanga?
Mbona sheria ipo open kuvunja mkataba bila kufuata taratibu.

Kama alikuwa sawa kisheria kipi kilicho mchelewesha kuondoka?

Mimi nilitaka viongozi wetu wasimamie vipengele vya mkataba alio uingia Fei na taratibu zifuatwe ndicho nilicho taka,kwangu Furaha ya mchezaji asiyetaka kufuata vipengele vya mkataba sio muhimu.

Au ww kesho mchezaji akikurupuka pale kwenu akisema hana furaha,akajikadili signing fees yeye mwenyewe na kuwapa,mtamuachia bila kufuata utaratibu,sababu hana furaha?

Au ndio mtatumia hekima na busara zile za siasa zetu kama zilizotumika kwa Fei. Najua unaongea na kukomalia sababu halijatokea kwenye club,yako ila JF haisahahu kuna siku tutakumbushana hizi comments.
 
Akili Ndogo una lazimisha kuingia kwenye hoja kubwa.
POLE SANA.
Hivi Yanga saiv ana Mataji Mangapi kwa Misimu hii Miwili Na simba Ina Mangapi?..Na msimu Huu utaisha hamna Kitu SAVE hii comment au secreenshot kabisa.
Ngao ya jamii kachukua nani kenge ww
 
Feisal siyo mjinga,ana sababu kubwa iliyomfanya aseme hivyo ila kwa kulinda heshima ya Yanga aliamua kutoisema hadharani na ndiyo maana mama yake alisema mambo hayo ni siri na ni ya aibu. Lakini kwa vile mnachokonoa na kutaka kumuona Feisal kama ni mtu asiyejitambua basi wacha tupasue buyu, Presidaa alimtaka kimapenzi.
Kama haya ndio mnayafanya Simba endeleeni, amtake kimaoenziiiiii puuzi wewe... Babra hayupo?.
 
Feisal siyo mjinga,ana sababu kubwa iliyomfanya aseme hivyo ila kwa kulinda heshima ya Yanga aliamua kutoisema hadharani na ndiyo maana mama yake alisema mambo hayo ni siri na ni ya aibu. Lakini kwa vile mnachokonoa na kutaka kumuona Feisal kama ni mtu asiyejitambua basi wacha tupasue buyu, Presidaa alimtaka kimapenzi.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila makolo...
 
Mbona sheria ipo open kuvunja mkataba bila kufuata taratibu.
Hayo ya utaratibu ni kabla na ni kweli alikosea baada ya hapo utaratibu uliotakiwa kufuatwa ilikuwa ni kama raisi alivyoshauri, badala ya kumshikilia mtu asiyewataka wakae chini wakubaliane aondoke na ndicho kilichotokea.
Kama alikuwa sawa kisheria kipi kilicho mchelewesha kuondoka?
Yanga hawakutaka kumwachia mpaka raisi aliposhauri ila wangetaka wangemwachia bila hata ushauri wa raisi huku wakihakikisha maslahi yao hayapotei. Ni simple tu, unataka kuondoka? Lipa kiasi hichi kama unaenda timu hizi isipokuwa kama unaenda kwa mahasimu wetu utalipia kikubwa zaidi. Hakuna jambo la ajabu.
Mimi nilitaka viongozi wetu wasimamie vipengele vya mkataba alio uingia Fei na taratibu zifuatwe ndicho nilicho taka,kwangu Furaha ya mchezaji asiyetaka kufuata vipengele vya mkataba sio muhimu.
Walisimamia na aliondoka huku maslahi ya club yakiwa sawa kama ilivyopaswa kuwa na ilivyoshauriwa na raisi
Au ww kesho mchezaji akikurupuka pale kwenu akisema hana furaha,akajikadili signing fees yeye mwenyewe na kuwapa,mtamuachia bila kufuata utaratibu,sababu hana furaha?
Kama signing fee inacover gharama zote za mchezaji tulizowekeza kwake wa nini sasa mchezaji asiyetaka kucheza? Ila kama haitoshi na tunataka zaidi tutasema signing fee yako haitoshi, lipa kiasi kadhaa uondoke. Mpira si biashara ya utumwa ni maslahi. Leo Aziz K akitaka kwenda Simba na Simba ikamtaka mtamzuia wa nini? Mnaweka kiasi mezani kama kinalipika mnamwacha.
Au ndio mtatumia hekima na busara zile za siasa zetu kama zilizotumika kwa Fei. Najua unaongea na kukomalia sababu halijatokea kwenye club,yako ila JF haisahahu kuna siku tutakumbushana hizi comments.
Nadhani hujaelewa jambo moja, Yanga iliwekeza kwa Fei, na Fei hawezi kuondoka tu bila kulipia huo uwekezaji ndo maana kuna mkataba. Yanga ilikuwa sawa kupigania maslahi yake na inasemekana iliyapata na kuna ugumu hata kumuuza Fei kwa timu pinzani kama Simba sababu ya maslahi ya Yanga. Hivi ndivyo ilipaswa kuwa na sio kumshikilia mchezaji kuwa hakuna kuondoka. Kuna uwezekano mkubwa Simba ikimtaka Fei leo kuna Fedha nyingi Yanga itapata kutokana na mkataba. Win-Win. Mchezaji anapata, Club nayo inapata.
 
Hayo ya utaratibu ni kabla na ni kweli alikosea baada ya hapo utaratibu uliotakiwa kufuatwa ilikuwa ni kama raisi alivyoshauri, badala ya kumshikilia mtu asiyewataka wakae chini wakubaliane aondoke na ndicho kilichotokea.

Yanga hawakutaka kumwachia mpaka raisi aliposhauri ila wangetaka wangemwachia bila hata ushauri wa raisi huku wakihakikisha maslahi yao hayapotei. Ni simple tu, unataka kuondoka? Lipa kiasi hichi kama unaenda timu hizi isipokuwa kama unaenda kwa mahasimu wetu utalipia kikubwa zaidi. Hakuna jambo la ajabu.

Walisimamia na aliondoka huku maslahi ya club yakiwa sawa kama ilivyopaswa kuwa na ilivyoshauriwa na raisi

Kama signing fee inacover gharama zote za mchezaji tulizowekeza kwake wa nini sasa mchezaji asiyetaka kucheza? Ila kama haitoshi na tunataka zaidi tutasema signing fee yako haitoshi, lipa kiasi kadhaa uondoke. Mpira si biashara ya utumwa ni maslahi. Leo Aziz K akitaka kwenda Simba na Simba ikamtaka mtamzuia wa nini? Mnaweka kiasi mezani kama kinalipika mnamwacha.

Nadhani hujaelewa jambo moja, Yanga iliwekeza kwa Fei, na Fei hawezi kuondoka tu bila kulipia huo uwekezaji ndo maana kuna mkataba. Yanga ilikuwa sawa kupigania maslahi yake na inasemekana iliyapata na kuna ugumu hata kumuuza Fei kwa timu pinzani kama Simba sababu ya maslahi ya Yanga. Hivi ndivyo ilipaswa kuwa na sio kumshikilia mchezaji kuwa hakuna kuondoka. Kuna uwezekano mkubwa Simba ikimtaka Fei leo kuna Fedha nyingi Yanga itapata kutokana na mkataba. Win-Win. Mchezaji anapata, Club nayo inapata.
Kama haikavi gharama, mtamwachia hivyo sababu hana furaha?

Hivi tokea uanze kuafuatilia mpira, umeona wapi mchezaji anajikadiria signing fee yake bila kushirikisha club?au na hili unataka tubishane.

Kama Ki akitaka kuondoka bila kufuata utaratibu, nitamzuia.

Halafu Yanga haikumshikila mchezaji, bali mkataba wake ndio ulio mshikilia kwa kushindwa kufuata taratibu.

Nakuuliza hivi Jadon Sancho wa Man Utd ana furaha au hana pale Man U?
 
Ila kwa mchezaji professional alifeli sana kuongea vile. Ile ikitafsiriwa halafu akipata timu huko nje na wakaelewa alichosema hawawezi kumsajili. In short aliongea ujinga.
Aliyekwambia kuna mchezaji mtanzania mwenye akili ni nani,wote ni wajinga
 
Kama haikavi gharama, mtamwachia hivyo sababu hana furaha?
Mpira ni furaha kwa mashabiki, maslahi kwa club na mchezaji. Linapokuja suala la Club na mchezaji ni suala la maslahi sio furaha. Furaha ni kwa mashabiki.
Hivi tokea uanze kuafuatilia mpira, umeona wapi mchezaji anajikadiria signing fee yake bila kushirikisha club?au na hili unataka tubishane.
Kwani aliondoka kwa signing Fee? Si Yanga iliikataa kukatokea mgogoro mkubwa mpaka raisi alipoingilia na kushauri ndo Win-Win ikatokea mchezaji akaondoka?
Kama Ki akitaka kuondoka bila kufuata utaratibu, nitamzuia.
As long as huo utaratibu ni sehemu ya vipengele vya mkataba utakuwa sahihi ila utaratibu tofauti na hapo utafeli sababu Mpira sio biashara ya utumwa. Unachoweza kufanya ni kumzuia tena kwa kumshtaki kwenye mamlaka husika ili ulipwe iwapo hajafata vipengele vya mkataba katika kuuvunja na hapa tunaongelea maslahi ya Club sana sana kifedha na ukishalipwa anaondoka. Akishindwa kulipa anaweza fungiwa na hapo pia wewe hakuna ulilopata kutoka kwake.
Halafu Yanga haikumshikila mchezaji, bali mkataba wake ndio ulio mshikilia kwa kushindwa kufuata taratibu.
Eng alikuwa wazi na utaratibu aliusema.

1. Timu inayomtaka ije.
2. Akubali mkataba mpya na Yanga
3. Asubiri mkataba uishe.

Ukiangalia huo utaratibu alioutaka ufuatwe hakuna sehemu ya mchezaji kuondoka mwenyewe na hapo ndipo shida ilipotukuta sababu timu iliyomtaka haikuwa tayari kwenda kwa Yanga na Fei hakutaka tena kubaki Yanga sasa option iliyokuwapo ni moja tu Yanga kusema Fei alipe kiasi gani aondoke na Yanga hawakutaka hilo kwa sababu anazozijua Eng na uongozi wa Club ya Yanga.

Hakukuwa na tatizo lingine zaidi ya utayari wa Fei kuondoka bila Club na Eng kutokutaka Fei aondoke bila kuzungumza pamoja na kukubaliana na Club anayokwenda.

Raisi akaingilia kati, timu inayomtaka ikakubali kujitokeza Fei akaondoka. Azam isingekuja Fei angekuwa bado Yanga kashikiliwa regadless ya utayari wake wa kuuvunja mkataba na huenda kesi ingekuwa inaendelea ili kumwezesha Fei kuondoka Yanga na angeondoka tu kwani hakuna mkataba usiovunjika.
Nakuuliza hivi Jadon Sancho wa Man Utd ana furaha au hana pale Man U?
Hii scenario tofauti.
 
Mpira ni furaha kwa mashabiki, maslahi kwa club na mchezaji. Linapokuja suala la Club na mchezaji ni suala la maslahi sio furaha. Furaha ni kwa mashabiki.

Kwani aliondoka kwa signing Fee? Si Yanga iliikataa kukatokea mgogoro mkubwa mpaka raisi alipoingilia na kushauri ndo Win-Win ikatokea mchezaji akaondoka?

As long as huo utaratibu ni sehemu ya vipengele vya mkataba utakuwa sahihi ila utaratibu tofauti na hapo utafeli sababu Mpira sio biashara ya utumwa. Unachoweza kufanya ni kumzuia tena kwa kumshtaki kwenye mamlaka husika ili ulipwe iwapo hajafata vipengele vya mkataba katika kuuvunja na hapa tunaongelea maslahi ya Club sana sana kifedha na ukishalipwa anaondoka. Akishindwa kulipa anaweza fungiwa na hapo pia wewe hakuna ulilopata kutoka kwake.

Eng alikuwa wazi na utaratibu aliusema.

1. Timu inayomtaka ije.
2. Akubali mkataba mpya na Yanga
3. Asubiri mkataba uishe.

Ukiangalia huo utaratibu alioutaka ufuatwe hakuna sehemu ya mchezaji kuondoka mwenyewe na hapo ndipo shida ilipotukuta sababu timu iliyomtaka haikuwa tayari kwenda kwa Yanga na Fei hakutaka tena kubaki Yanga sasa option iliyokuwapo ni moja tu Yanga kusema Fei alipe kiasi gani aondoke na Yanga hawakutaka hilo kwa sababu anazozijua Eng na uongozi wa Club ya Yanga.

Hakukuwa na tatizo lingine zaidi ya utayari wa Fei kuondoka bila Club na Eng kutokutaka Fei aondoke bila kuzungumza pamoja na kukubaliana na Club anayokwenda.

Raisi akaingilia kati, timu inayomtaka ikakubali kujitokeza Fei akaondoka. Azam isingekuja Fei angekuwa bado Yanga kashikiliwa regadless ya utayari wake wa kuuvunja mkataba na huenda kesi ingekuwa inaendelea ili kumwezesha Fei kuondoka Yanga na angeondoka tu kwani hakuna mkataba usiovunjika.

Hii scenario tofauti.
Utofauti wake upi wa Sancho ni upi?au ushajiuliza kwa nini Sancho anashindwa kulipa signing kwa Nan Utd ili aondoke?

Yaah Fei kaondoka kwa Signing fee mara mbili ya aliyo ilipa bila kuwashirikisha club, kwa vyanzo tena hata Ricado alitamka ni above 250m.

"Ukiangalia huo utaratibu alioutaka ufuatwe hakuna sehemu ya mchezaji kuondoka mwenyewe na hapo ndipo shida ilipotukuta sababu timu iliyomtaka haikuwa tayari kwenda kwa Yanga na Fei hakutaka tena kubaki Yanga sasa option iliyokuwapo ni moja tu Yanga kusema Fei alipe kiasi gani aondoke na Yanga hawakutaka hilo kwa sababu anazozijua Eng na uongozi wa Club ya Yanga."

Yaani mpaka hii ya habari unataka kuleta ushabiki,Fei alipewa option tatu,ya kurudi club kuendelea na mazoezi, kurudi kuja kuzungumza na club pamoja na watu wake kuhusu maslahi na tatu CLUB INAYO MTAKA IENDE YANGA NA SI kujificha,aliya taamka Hersi kwenye intv Clouds FM.

Option ya club inayo mtaka ilikuwepo, ww ushajiuliza kwa nini hiyo club haikuenda?

Yanga kwenye hili swala tumekuwa so proffesional na tulifuata taratibu zote. Sema kama kawaida tukaacha sheria za mpira,tukafuata siasa.Ndio maana huyo dogo alikuwa hataki kwenda CAS ,sababu kisha haribu first move na Yanga ilikuwa inamjua anaye mtaka na aliyempa hela, japo hawakuwa na ushahidi tangible na ndio maana,wakati ya lile sakata Yanga wakawaandikia barua Azam wana mtaka Akamiko na Bajana.Yanga alivlfanya hivyo sio kwamba anawataka,ila kuwaonyesha Azam wafuate taratibu na si kufanya uhuni.

Hili swala la Fei kama lingekuwa Ulaya wenzetu wenye mifumo mizuri kisheria na ya kufuatilia fedha,Azam na Fei wote wangefungiwa.Azam alikuwa anaogopa sababu first move ya kumpa hela 109m awalipe Yanga alikuwa kakosea.
 
Utofauti wake upi wa Sancho ni upi?au ushajiuliza kwa nini Sancho anashindwa kulipa signing kwa Nan Utd ili aondoke?

Yaah Fei kaondoka kwa Signing fee mara mbili ya aliyo ilipa bila kuwashirikisha club, kwa vyanzo tena hata Ricado alitamka ni above 250m.

"Ukiangalia huo utaratibu alioutaka ufuatwe hakuna sehemu ya mchezaji kuondoka mwenyewe na hapo ndipo shida ilipotukuta sababu timu iliyomtaka haikuwa tayari kwenda kwa Yanga na Fei hakutaka tena kubaki Yanga sasa option iliyokuwapo ni moja tu Yanga kusema Fei alipe kiasi gani aondoke na Yanga hawakutaka hilo kwa sababu anazozijua Eng na uongozi wa Club ya Yanga."

Yaani mpaka hii ya habari unataka kuleta ushabiki,Fei alipewa option tatu,ya kurudi club kuendelea na mazoezi, kurudi kuja kuzungumza na club pamoja na watu wake kuhusu maslahi na tatu CLUB INAYO MTAKA IENDE YANGA NA SI kujificha,aliya taamka Hersi kwenye intv Clouds FM.

Option ya club inayo mtaka ilikuwepo, ww ushajiuliza kwa nini hiyo club haikuenda?

Yanga kwenye hili swala tumekuwa so proffesional na tulifuata taratibu zote. Sema kama kawaida tukaacha sheria za mpira,tukafuata siasa.Ndio maana huyo dogo alikuwa hataki kwenda CAS ,sababu kisha haribu first move na Yanga ilikuwa inamjua anaye mtaka na aliyempa hela, japo hawakuwa na ushahidi tangible na ndio maana,wakati ya lile sakata Yanga wakawaandikia barua Azam wana mtaka Akamiko na Bajana.Yanga alivlfanya hivyo sio kwamba anawataka,ila kuwaonyesha Azam wafuate taratibu na si kufanya uhuni.

Hili swala la Fei kama lingekuwa Ulaya wenzetu wenye mifumo mizuri kisheria na ya kufuatilia fedha,Azam na Fei wote wangefungiwa.Azam alikuwa anaogopa sababu first move ya kumpa hela 109m awalipe Yanga alikuwa kakosea.
Ok mkuu, ngoja tuwaangalie mamelod
 
Tatizo nyinyi mnatazama mafanikio ya timu kama kufeli kwa Fei wakati Fei alitazama malengo yake binafsi katika maisha yake ya soka. Fei amepata alichohitaji.
Anyway ni wakati na ulipita nachofurahi ni kumuona anacheza msimu huu kuliko ilivyokuwa tetesi kuwa hadi misimu mingapi ndio acheze
 
Feisal siyo mjinga,ana sababu kubwa iliyomfanya aseme hivyo ila kwa kulinda heshima ya Yanga aliamua kutoisema hadharani na ndiyo maana mama yake alisema mambo hayo ni siri na ni ya aibu. Lakini kwa vile mnachokonoa na kutaka kumuona Feisal kama ni mtu asiyejitambua basi wacha tupasue buyu, Presidaa alimtaka kimapenzi.
Ama kweli Rage hakukosea [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom