THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Tatizo nyinyi mnatazama mafanikio ya timu kama kufeli kwa Fei wakati Fei alitazama malengo yake binafsi katika maisha yake ya soka. Fei amepata alichohitaji.Nimesoma hapa nami nimechoka kabisa
Kifupi alijipa umuhimu uliopitiliza ila ni funzo kwake na kwa wengine
Ila kwa mchezaji professional alifeli sana kuongea vile. Ile ikitafsiriwa halafu akipata timu huko nje na wakaelewa alichosema hawawezi kumsajili. In short aliongea ujinga.Tatizo nyinyi mnatazama mafanikio ya timu kama kufeli kwa Fei wakati Fei alitazama malengo yake binafsi katika maisha yake ya soka. Fei amepata alichohitaji.
Historia ya Fei na kuwa professional wapi na wapi? Yeye alitazama maslahi yake interms of fedha inayoingia, hajasoma na alikiri hata mikataba huwa hajui inasemaje anaamini akiambiwa utapewa milioni kadhaa cheza kwa muda fulani anamwaga wino. Labda sasa hivi kama kuna watu watakuwa wanamsaidia.Ila kwa mchezaji professional alifeli sana kuongea vile. Ile ikitafsiriwa halafu akipata timu huko nje na wakaelewa alichosema hawawezi kumsajili. In short aliongea ujinga.
Ndo aseme alikua anakula ugali na sukari daaahAlikuwa yuko sahihi mpira ni siasa lengo ni kutoka pale alipokuwepo na lengo lake limetimia baadae watu kutoka juu walisikia kilio chake na lengo lake likatimia.
Mkuu kweli ipo?Pia kuna watu flani walipiga magoti Chama asiondoke jamaa akawapa sharti la kumrejesha ndugu yake micqueson ambaye kibarua chake kiliota nyasi huko arabuni.
Unajiuliza mtu ni mkubwa kuliko taasisi? Mwenye ile picha atuwekee tafadhari ile ya mangungu akimpigia magoti chama ili asiondoke kurudi kwao huko Lusaka
Acha kuihusisha bangi na vitu ya kijingaBangi
Sema afanye namna amuombe Radhi Hersi na Mashabiki wa YangaNafikiri hata Fei mwenyewe huwa anacheka akikumbuka hiyo kauli yake!
Tena Ujinga wa Karne..Ronaldo alivyoona kua Kuna Mtafaruku kati yake na Ten Hag akasema atolewe yeye KAFARA ili Man U iende mbele sio Ten Hag atoke yeye abaki.Ila kwa mchezaji professional alifeli sana kuongea vile. Ile ikitafsiriwa halafu akipata timu huko nje na wakaelewa alichosema hawawezi kumsajili. In short aliongea ujinga.
Ili iweje!?Sema afanye namna amuombe Radhi Hersi na Mashabiki wa Yanga