Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi

Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi

Siyo kuhudumiana mwanamke anakuwa amemnyonya mwanaume.
Kuna nyumba, gari, simu n.k
Ni nani anayenunua chakula, kujenga nyumba, kusomesha watoto?
Hiyo pesa unayozungumzia huwezi hata kutoa kulipia pango ambayo mnakaa pamoja na mumeo
Mwanamke anafanya kazi za nyumbani kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba kuzaa na kulea watoto, kati ya hayo majukumu ukitoa kuzaa ni kipi kinachomshinda mwanaume kufanya hapo na kwanini huwa hamfanyi
 
Mwanamke anafanya kazi za nyumbani kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba kuzaa na kulea watoto, kati ya hayo majukumu ukitoa kuzaa ni kipi kinachomshinda mwanaume kufanya hapo na kwanini huwa hamfanyi
Kwao hio sio KAZI wanasema umekaa tu
 
Kwao hio sio KAZI wanasema umekaa tu
Sasa kama siyo kazi mbona wakiambiwa wafanye hata kidogo tu wanakuja juu, siku itokee mwanaume kaachiwa nyumba peke yake tuseme chafu, hakuna chakula, na kuna watoto wadogo vyote hivyo vinamuhitaji yeye uone kama hajahaha, huwa wanasema tu kwamba majukumu ya wanawake ni mepesi ila wakiambiwa wayafanye hata robo tu hawawezi
 
Sasa kama siyo kazi mbona wakiambiwa wafanye hata kidogo tu wanakuja juu, siku itokee mwanaume kaachiwa nyumba peke yake tuseme chafu, hakuna chakula, na kuna watoto wadogo vyote hivyo vinamuhitaji yeye uone kama hajahaha, huwa wanasema tu kwamba majukumu ya wanawake ni mepesi ila wakiambiwa wayafanye hata robo tu hawawezi
NI sheedah
 
Mwanamke anafanya kazi za nyumbani kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba kuzaa na kulea watoto, kati ya hayo majukumu ukitoa kuzaa ni kipi kinachomshinda mwanaume kufanya hapo na kwanini huwa hamfanyi
1. Hivyo vyombo anavyoosha mwanamke huwa amenunua nani?
2. kufungua nguo, hizo nguo amenunua nani?
3. Kusafisha nyumba. Hiyo nyumba analipia kodi nani au alijenga nani?
4. Kupika chakula, hicho chakula anakuwa amenunua nani?
5. Hao watoto wanahitaji kula, kuvaa, matibabu na ada. Hivyo vyote anagharamika nani?
6. Unazaa, hela ya kliniki, nauli, kujifungua n.k hizo gharama analipa nani?
Tofauti na kuzaa hakuna kinachomshinda mwanaume. Je, kwanini nyie hamgharamiki kwa vyote hivyo na ukiona mwanaume hagharamiki mnakimbilia ustawi wa jamii kushitaki?
 
1. Hivyo vyombo anavyoosha mwanamke huwa amenunua nani?
2. kufungua nguo, hizo nguo amenunua nani?
3. Kusafisha nyumba. Hiyo nyumba analipia kodi nani au alijenga nani?
4. Kupika chakula, hicho chakula anakuwa amenunua nani?
5. Hao watoto wanahitaji kula, kuvaa, matibabu na ada. Hivyo vyote anagharamika nani?
6. Unazaa, hela ya kliniki, nauli, kujifungua n.k hizo gharama analipa nani?
Tofauti na kuzaa hakuna kinachomshinda mwanaume. Je, kwanini nyie hamgharamiki kwa vyote hivyo na ukiona mwanaume hagharamiki mnakimbilia ustawi wa jamii kushitaki?
Naomba uingie leba boss
 
🤣🤣Hapana
Wanampa jina sawa
Ila ubatizo natoa mimi mama majina
Ngoma droo 👌
Baba ananunua chakula cha mama na mama anamnyonyesha mtoto (ngoma droo).
Kila mtu ana majukuu yake ila baba ana majukuu mazito sana. Ukipewa wewe mwanamke lazima ukanishitaki kwa ustawi wa jamii au kwa wazazi.
Kwanini Single mother wanalalamika wakati hayo majukumu ni rahisi tu hata wao wanaweza kufanya? Ni hela tu
Angalia video ya Mshua ya Nay wa mitego ft Linah
 
Ni kweli ndiyo maana wanaume tunaishi muda mfupi.
Kama ni hela tu. Kwanini Single mother wanalalamika mpk wanaenda kushitaki kwa makonda?
 
Sasa kama siyo kazi mbona wakiambiwa wafanye hata kidogo tu wanakuja juu, siku itokee mwanaume kaachiwa nyumba peke yake tuseme chafu, hakuna chakula, na kuna watoto wadogo vyote hivyo vinamuhitaji yeye uone kama hajahaha, huwa wanasema tu kwamba majukumu ya wanawake ni mepesi ila wakiambiwa wayafanye hata robo tu hawawezi
Huwa nafuatilia kipindi cha Single mom Zamaradi TV.
Hayo majukumu wanayolia wameachiwa wanawake, kwanini wasifanye wenyewe? Ni hela tu
Wanalalamika watoto hawahudumiwi, mwanaume kamkimbia nk
Inabidi mtuheshimu, wanaume tuna majukumu mazito ambayo mwanamke hawezi kuyabeba.
 
Halafu baada ya hapo mnawaita vyombo vya starehe na kusema hao ni wa kuwala na kuwatupa tu
Ah wapi mie wangu alie sema bby cum in my mouth ni mke wangu sasa miaka mitano. Niliona huyu anafaa kuwa mke kabisa
 
Ni kweli ndiyo maana wanaume tunaishi muda mfupi.
Kama ni hela tu. Kwanini Single mother wanalalamika mpk wanaenda kushitaki kwa makonda?
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Huwa nafuatilia kipindi cha Single mom Zamaradi TV.
Hayo majukumu wanayolia wameachiwa wanawake, kwanini wasifanye wenyewe? Ni hela tu
Wanalalamika watoto hawahudumiwi, mwanaume kamkimbia nk
Inabidi mtuheshimu, wanaume tuna majukumu mazito ambayo mwanamke hawezi kuyabeba.
Jamaan
 
Back
Top Bottom