Nimekuta Condom na kilainishi kwenye Pochi ya Mke wangu

Yaani rafiki yake wa kike asahau kondomu za kiume kwenye begi la mke wako.
😆😆😆😆
Msioe wafanyakazi ndugu zangu
 

Wanaume tuko wachache sana dunia hii, wee pumbaf, kichwa cha mvulana kabisa hicho umebeba.. Ushauri gani? Piga fimbo huyo malaya uko nae au fukuza kabisa.. Alafu wee, aaaarrhgw😡😡😡😡😡😡
 
Usijiue Kwa ajili ya mke wako, uhai wako unathamani sana kuliko mapenzi na maumivu kwa mkeo.
Muulize alafu angalia posture yake wakati anajibu, kumgundua muongo ni rahisi ila inahitaji umakini.
Akikiri kuwa anakusaliti, muulize sababu ila kama hakuna sababu zinazojitosheleza, unajua Cha kufanya ila usijiue
 
Mpongeze kwa kutoa "utumbi" kwa usalama. Wangempanua bila kondomu wala wala mafuta je?
 
Kilainishi? 😂watu wameshapita na jicho masikini
 
Hivi wewe jamaa sijui uko vipi! Mimi hata angenidanganya eti rafiki yake alisahau kwenye pochi yake angekula vitasa vya kufa mtu.Mwanamke kuniletea mambo meusi sinaga mbili mimi.
 
Kama huko Dar hilo ni jambo la kawaida sana tena Me wengine utoa ushirikiano. Kama unabisha lete hoja kwenye kijiwe chako kuwa ulikuwa unachokonoa simu ya mke wako uone utakavyooneka haufai.
 
kaa kimya anza upelelezi wa kimya kimya jua hata umuoji vipi lazima akatae kosa .

kwahiyo kama una moyo wa kuvumilia anza kumpa uhuru sana mkeo ajisahau upate ushaidi vizur


ila kama hauna moyo wa uvumilivu ongea na mkeo mapema asije akakuletea maradhi au mtoto ambae sio wako.
 
Ukiona mwanamke anatembea na kilainishi ujue huyo anatoa tigo ni ww tu ujanja wako, kwa hyo mkuu KIBOD3 shemu wetu ni mdau na kwa sababu ww hujawah taka ataendelea toa tu huko nje na hata kuruhusu hata umkague.

Ova.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…