Nimekuta Condom na kilainishi kwenye Pochi ya Mke wangu


Dah, I feel you, unataka kuwa positive, ila unapigiwa mke Mbwa wewe
 
We ka unaogopa kumuuliza hebu niibobo namba yake nikusaidie kumuulizia shemeji yangu bloangu halafu nikupe mrejeshosho sasa hv,haiwezekani bloangu
 
Una maana gan kusema hivyo [emoji848]
Mume kabisa akute condom ndani ya pochi ya mkewe halafu airudishe akae kimya?
Utashtukia umerukiwa usoni macho yamenyofolewa kwanza ndo mahojiano yaanze.

Halafu anasema roho inasita kumuuliza, means anamuogopa.
 
Ukijiua,wakulungwa ndio watamtafuna vzr,uliza,akupe jibu,akishindwa,piga chini,imeisha hiyo
 
Kuna boda boda anasafisha mtaro wa mkeo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeeeeh
 
Tayari.
Kwishaaaaaa
 
Chonde chonde usimuulize utamuudhi ataghafilika sana!!!

Vimwanaume vingine dar kama vibinti
 
Mmh! Huyo mke siyo Kelsea kweli![emoji28]
Mkuu, wanawake hawajawahi kueleweka. Kikubwa akupe heshima tu, hayo mengine ni ziada
 
Ukiona manyonya ujue ameliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…