Nimekuta mke wangu ana maongezi ya kimapenzi na mwanaume kwenye simu yake

Kilanga komwe hasira hasara angalia usiangukiwe na matofari tu
 
Anatokea mjinga mmoja anakwambia usishike Simu ya mkeo.. Utaishi na malaya ndani anayeitwa mke.

Ushauri wangu msemehe, asipojirekebisha fukuza.
Mimi simu yake nakaa nayo 24 hrs, na Kila Simu inayopigwa lazima nijue ni nani, kwenye phone book yake lazima niwajue usipofanya hivyo utaishi na Malaya ndani, na atakudhalilisha maana akianza kugongwa nje wewe anakuvua nguo.
 
Mimi simu yake nakaa nayo 24 hrs, na Kila Simu inayopigwa lazima nijue ni nani, kwenye phone book yake lazima niwajue usipofanya hivyo utaishi na Malaya ndani, na atakudhalilisha maana akianza kugongwa nje wewe anakuvua nguo.
Lakini Malaya achungiki hata ukae na simu yake.
Anaweza chat hata kwa messenger au telegram au email au akifika home TU ana delete kila kitu
 
S
sawa
 
Wewe ulishawahi kuchepuka mkuu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…