Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Yani comments zote humu ni za kunishambulia especially wanawake, you people are heartless as if nyie hamjawahi kufanya haya, tena uskute nyie ndo mmefanya makubwa zaidi yangu . Nobody is perfect and us humans we make mistakes
Hamjui mm Sasa hivi nipo kwenye situation gani na nipo wapi mnaendelea tu kunishambulia na kuniongezea maumivu. Yani binadamu Ndio tumefikia huku
emoji20.png
emoji17.png
Wewe kei yako ishachokwa kwahiyo ondoka hapo, unamchomea mwamba nguo za nini, unaharibu sifa kwa wanawake wengine waonekane na wao ni ovyo kama wewe.
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi? I don’t know what to do or how to act.
Uko strong BUT NOT FEARLESS ANYMORE!
Love that kind of jealous in a woman! ❤️‍🔥🥰♥️
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi? I don’t know what to do or how to act.
Unawashwa kupigwa. Jidai na wewe mzungu wakati unaishi Afrika.
Nimeachwa by Saraphina 🎤🎵🎵🎶🎶🎶🎹🎻🎼
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi? I don’t know what to do or how to act.
Dah kumbe umechoma akiwa hayupo? Je uyo guy wako ni braza men au mwanaume? Kama ni mwanaume jiandae kumwomba msamaha kwa kitendk icho atakuelewa
Kama ni braza meni yeye na kioo jiandae kisaikojia
Mwana kulitafuta mwana kulipandeka!
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi? I don’t know what to do or how to act.
Pole sana mkuu mapenzi yanaweza kukufanya uonekane mtu wa ajabu, lakini usijilaumu sana. We all make mistakes after all, don't We?!
 
Yani comments zote humu ni za kunishambulia especially wanawake, you people are heartless as if nyie hamjawahi kufanya haya, tena uskute nyie ndo mmefanya makubwa zaidi yangu . Nobody is perfect and us humans we make mistakes
Hamjui mm Sasa hivi nipo kwenye situation gani na nipo wapi mnaendelea tu kunishambulia na kuniongezea maumivu. Yani binadamu Ndio tumefikia huku [emoji20][emoji17]
Huna adabu kabisa, kwa hiyo ulitaka upigiwe makofi upongezwe kwa usenge uloufanya? Tena kama akili yako inafanya kazi vizuri soma komenti za wanawake wenzio ufanyie kazi.
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi? I don’t know what to do or how to act.
Umewahi kusikia huu msemo..mwanamke mjinga anavunja nyumba yake kwa mikono yake?..au huna nyumba na wewe its just your guy🤣🏃🏃
 
1. Ur username doesn’t deserve you ibadili ASAP.

Ungekuwa strong enough ungesubiri my guy arudi, uchome hizo nguo zake. Uone namna ungezabuliwa 😂😂😂
Hawa ndo wanawake sasa.niinbox namba plz
 
Bila shaka umejifunza dada usirudie hiko ulichokifanya!
 
Nimekuta sms kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nimepata hasira sanaa kupelekea kuwapigia simu hao wanawake na kuwatukana na mwishoe nikaamua kuchoma moto nguo za my guy tena zile anazozipenda sana.

Right now am feeling guilty and satisfied at the same time na Sijui akirudi ata react vipi? I don’t know what to do or how to act.
When is back do you mind to login and tell us what happened pls . Also Ka ushauri kangu .action and reaction are equal and opposite. Just drop anything in I will get back to you .that's how you were supposed to react dear
 
Back
Top Bottom