Nimekuta video chafu ya ngono ya mume wangu na boss wake

huwa wanaanzisha nyuzi af wanajisahau [emoji3]
Sasa Hapo Nimedanganya Nini ? Kwenye huu Uzi pia nilisema Nipo kwny mahusiano japo tuna matatizo ya hapa na pale ? Kipi cha uongo hasa hapa ? kama huna cha kushauri mama kaa kmya
 
Sasa Hapo Nimedanganya Nini ? Kwenye huu Uzi pia nilisema Nipo kwny mahusiano japo tuna matatizo ya hapa na pale ? Kipi cha uongo hasa hapa ? kama huna cha kushauri mama kaa kmya
duh me mama tena mkuu [emoji849]
 
bad tupo utumwani colonialism
 
Nashauri utulie ulee mimba yako usije ukahatarisha maisha yako .mtoto na mume.Siku umetulia muyaongee kwa upole mtapata suluhu sawa.Pia natoa huduma ya maombi na ushauri nasaha wa mambo hayo njoo pm
 
Aahh... Mbona hakuna shido... Mimi nikajua huyo Bosi wake ni mwanaume, labda shido ni huko kujirecord na huko kunanii kinyume.. vinginevyo mwanaume si wa mmoja
 
Hii kampeni ipi kimkaksti sana, karibia kila siku kuna kisa cha kueneza huu ushetani.
 
Mambo mengine ni ya kujitakia mwenyewe ungesubiri haya usingeyaona.
 
Na Wewe unampa kinyume na maumbile!Tuanzie hapo kwanza.
 
Shida ni kuwa fictions zimekuwa nyingi sana, mtu akiamua kushauri anatumia mda wake kumbe imeletwa ya "hudhurungi" kabisa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…