Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenitishaaa
 
Weee jamaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama mi roho michafu umeshalishwa ,ww kuwa jasiri ukamuuluze ili akuambie ukweli,dunia ya Sasa no Siri

Mchane ,mwambie ukweli ya nn uogope ukweli,ukificha itakutafuna.
 
nipe namba yake pm anifanyie hivyo tujaribu maana I am not a believer
 
Hapo kuna haja ya kumsimulia mkeo.
 
Umefikiria utakayopoteza hapo katikati?
mimi siamini haya mambo lakini kuna muda napata mashaka maana unayoshuhudia unahisi hawa wenzetu wanao fanyiwa haya wanatumia Akili kweli
 
Hii mbna umepitwa na wakati, kuna mtu nae alijifanya mjanja kwa kundanganya binti wa watu kwa mtindo huo, hahahah
Katengenezwa 1 kubwa hiyo, wazaz na ndugu zake wanabaki na sintofahamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ndo yule mwanamke mwenye hofu ya Mungu uliyekua unasisitiza wanaume wenzio wawe nao?Wacha akunyooshe adi akili ikawe sawa.Siku si nyingi utahamia kwake na kutelekeza ua so called family.Wa kiranga halaliwi matanga.
 
mimi siamini haya mambo lakini kuna muda napata mashaka maana unayoshuhudia unahisi hawa wenzetu wanao fanyiwa haya wanatumia Akili kweli
pole sana nadhani kati ya ushirikina unaofanya kazi ni unaohusu mapenzi na wanaoongoza ni wanawake japo nina shuhuda za wanaume pia
 
Hii mbna umepitwa na wakati, kuna mtu nae alijifanya mjanja kwa kundanganya binti wa watu kwa mtindo huo, hahahah
Katengenezwa 1 kubwa hiyo, wazaz na ndugu zake wanabaki na sintofahamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpya ni ipi?
 
Ngoja nikwambie wewe na vijana wengine,kamwe usile chakula kwa mchepuko nina shuhuda nyingi sana
 
Gaddamit! Umenikumbusha demu wangu wa zamani kila nikienda kwake lazima afanye uhakika nile ndio niondoke nikajikuta naendeshwa kama mbuzi mwisho wa siku, haya maisha ni hatari yani tunaishi kwa timing sana.
Pole mwamba, alikuendesha miaka mingap i?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…