Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Wanawake ni kucheza na akili zao tu.
Wakati unamgegeda jifanye umepandwa na maluwani, unaongea maneno as if kuna abnormal issue ipo, then inuka fanya unahangaika kutafuta kitu baadae nenda jikoni ukifika huko mwite muoneshe hizo unahisi ni dawa, fanya hvy huku kama haupo sawa yaani wenge fulani la maluwani.

Nakueleza hatokaa arudi ilo swala.... baadae kwenyw story mwambie kuwa we ulichanjiwa na babu yako huwa unaoneshwa kitu kibaya chenye kutaka kukudhuru.

Atakuogopa kinyama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenitishaaa
 
Nilichokiona hapo pichani kuna limbwata grade one kutoka kule Bukoba inaitwa shuntama, halafu kuna limbwata la nyama ya bundi kutoka Sumbawanga na hiyo nyingine ni mchanganyiko wa damu yake ya hedhi, kipande cha sanda, mchanga wa kwenye kaburi la mtoto mchanga, pamoja na kipande cha kamba ya mtu aliyejinyonga huo mchanganyiko ndo hiyo dawa ni balaa !
akikuwekea kwenye chai hutokuja kumuacha na akikukataa yeye lazima ujinyonge na mbaya zaidi hata siku ukimfumania huwezi kumuacha wala kuongea kitu utaishia kulia tu.!
Wasiliana na kaka Mshana Jr
fasta akusaidie mbinu ya kutegua hilo bomu.
Weee jamaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama mi roho michafu umeshalishwa ,ww kuwa jasiri ukamuuluze ili akuambie ukweli,dunia ya Sasa no Siri

Mchane ,mwambie ukweli ya nn uogope ukweli,ukificha itakutafuna.
 
Nilikua na Dem wangu mrangi toka kondoa,aliwahi niambiaga nikikuamulia hutoki nje hata siku moja,siku hiyo nikamdadisi akasema nikipata mchumba ntakwambia,Hamad,akatafutiwa mchumba kwao.
Alinimwagia secreto,ukienda kwa wanawake wengine usiwaamini Sana,mkikulana,usikubali wakufute na kitambaa,jifute mwenyewe,nilimuuliza why baby?[emoji15][emoji15] Kwa kuwa alinikubali Sana ananimwagia secreto[emoji2][emoji2] kwamba like kitambaa alichojifutia na wewe akikufutia akiamua kukifunga mafundi matatu na kuchanganya na majamboz mengine,husimami kamwe kwa mwanamke mwingine[emoji34][emoji34] zaidi yake.
Kwa hiyo mamen wenzangu hii ni binge ya secreto, mkitaka kuchukua chukueni,kuweni Makini.
Tangu siku hiyo Mimi sikubali Dem anifute na kitambaa chake[emoji34][emoji34]baada ya kula mbususu yake,nipo 5 kilometers ahead from them[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nipe namba yake pm anifanyie hivyo tujaribu maana I am not a believer
 
Umeamua kwa Hiyari yako kua na mtu, unajua nayeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaa

Yanini haya sasa jamaan?

Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia Hata mama yangu hajawah pika namna hii kumbe ni Dawa. Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisan, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikon nichemshe Chai, sasa kutafuta majani

Asalaleeeeeeeee nakutana nahaya majitu. Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh. Au ni Viungo? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo

Hapo kuna haja ya kumsimulia mkeo.
 
Wanawake ni kucheza na akili zao tu.
Wakati unamgegeda jifanye umepandwa na maluwani, unaongea maneno as if kuna abnormal issue ipo, then inuka fanya unahangaika kutafuta kitu baadae nenda jikoni ukifika huko mwite muoneshe hizo unahisi ni dawa, fanya hvy huku kama haupo sawa yaani wenge fulani la maluwani.

Nakueleza hatokaa arudi ilo swala.... baadae kwenyw story mwambie kuwa we ulichanjiwa na babu yako huwa unaoneshwa kitu kibaya chenye kutaka kukudhuru.

Atakuogopa kinyama.
Hii mbna umepitwa na wakati, kuna mtu nae alijifanya mjanja kwa kundanganya binti wa watu kwa mtindo huo, hahahah
Katengenezwa 1 kubwa hiyo, wazaz na ndugu zake wanabaki na sintofahamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ndo yule mwanamke mwenye hofu ya Mungu uliyekua unasisitiza wanaume wenzio wawe nao?Wacha akunyooshe adi akili ikawe sawa.Siku si nyingi utahamia kwake na kutelekeza ua so called family.Wa kiranga halaliwi matanga.
 
mimi siamini haya mambo lakini kuna muda napata mashaka maana unayoshuhudia unahisi hawa wenzetu wanao fanyiwa haya wanatumia Akili kweli
pole sana nadhani kati ya ushirikina unaofanya kazi ni unaohusu mapenzi na wanaoongoza ni wanawake japo nina shuhuda za wanaume pia
 
Hii mbna umepitwa na wakati, kuna mtu nae alijifanya mjanja kwa kundanganya binti wa watu kwa mtindo huo, hahahah
Katengenezwa 1 kubwa hiyo, wazaz na ndugu zake wanabaki na sintofahamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpya ni ipi?
 
Umeamua kwa Hiyari yako kua na mtu, unajua nayeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaa

Yanini haya sasa jamaan?

Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka namwambia Hata mama yangu hajawah pika namna hii kumbe ni Dawa. Leo nililala kwake, yeye kaamuka kwenda zake Kanisan, kaniachaa, ndo nikasema niingie Jikon nichemshe Chai, sasa kutafuta majani

Asalaleeeeeeeee nakutana nahaya majitu. Mdada mzuuuurii, mwenye elimu na kazi yake daaaaaaahhhhh. Au ni Viungo? Kumbe ndo maana siku nikiwepo, yeye anakula Chips tena anakuambiaa, Niletee Chips yai na kuku robo

Ngoja nikwambie wewe na vijana wengine,kamwe usile chakula kwa mchepuko nina shuhuda nyingi sana
 
Gaddamit! Umenikumbusha demu wangu wa zamani kila nikienda kwake lazima afanye uhakika nile ndio niondoke nikajikuta naendeshwa kama mbuzi mwisho wa siku, haya maisha ni hatari yani tunaishi kwa timing sana.
Pole mwamba, alikuendesha miaka mingap i?
 
Back
Top Bottom