Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Mimi kuna Mwana jf tulikutana kwa mara ya kwanza, kwakweli ilikuwa ni furaha maana tulikuwa, tulikunywa na kupiga story mbalimbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Asee ngoja niwe mpole kuanzia leo!!
Uko wapidaaaah mimi nina hamu kweli ya kukutana na member hata mmoja isee tubadilishane mawazo
Wanaishi kama majasusi. Mm tu ukija kanisani utanikutaNatamani nikutane na mwanaJf lakini sifanikiwi sijui hawa watu wako wapi??
apunguze biaAsee mi juzi nilikuwa zangu kirai nikawa nimepanda daladala pale ubumgo inayoelekea mbezi nikawa nimesimama!! Kwa mle ndani tulikuwa wengi!!kufika baruti kuna lijamaa likapanda!!haki ya mungu lilikuwa bonge balaa hadi nikamwonea uruma!!sasa kufika korogwe kuna abiria walishuka mimi nikapata siti nikakaa gule bonge akawa amesimama!mi nikajisikia huruma nikaona nimpe tuu ile siti!! Nikamwambia broo njoo ukae hapa!!asee akanishukuru sana akakaa!!laa haula akatoa cm aina ya sony kubwa hivi mi nikawa namcheki tuu anavyohemea juu juu ikaingia j.f mi kiroho kikaanza kudunda jujuu nijue ni nani!! Asee bahati mbaya alikuwa ameshalog in lakini akawa anacoment tuu!asee nilitamani nijue yule ndo nani ila bahati mbaya asee!!!!
Wewe broo uliepanda daladala baruti kuelekea mbezi nikakupa siti pale korogwe juzi j.pili jioni mimi ndo wa stendi niliekupisha ukakaa!!
Ushauri wangu kwako!!! Mkuu kama na wewe uko humu nakushauri upunguze mwili huo kijana bado taifa tunakuhitaji!!!
Kanisa gani mkuu!?Wanaishi kama majasusi. Mm tu ukija kanisani utanikuta
Kipi mkuuusinikumbushe hii kitu
MoshiMmekutana wap mkuu na mimi naamini ipo siku yangu
Thread tu alivyoona nipo mkoani kwake akapenda tuonane, ndyo hivyonini kiliwakutanisha mkuu?
maana sijawahi ona mtu yeyote akilog in Jf
Ulishachochea nini mkuu?Raha lakin naogopa
Kichwa kinawaza kunako ndyo maana wanawake wameajiriwa sana kutokana na kichwa fulani kikisimama kingine kinakosa kufikiriAtakuwa kaonana na Lara 1 hahaaa
Yepi au ndyo nyie wakimbilia kwenye thread zilizopita za mtoa mada, admin inabidi waboreshe kama fcb thread ikipita uwe na uwezo wa kuipiga chiniMzizi mkavu alikutatulia matatizo yote?