Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nafikir ww unaweza kunielewa Ni kitu gani nazungumzia Ni wiki mbili tu, ila mambo ninayo kutana nayo...sijapata kuona maishani mwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole na hongera kwa maswahibu, bila shaka hilo ni jini lishakupenda kikubwa zidi kuomba Mungu kwa imani yako, usithubutu kwenda kwa waganga utazidi jiharibia au likuue kabisa...
 

kama ni kweli mbona ni balaa sana mkuu!!!!!
 
Hahaaaaa asee haya majini ni hatare, ila kuna wengine wanaomba wangepata hizi bahati wakiamini watapata utajiri...
 
Mkuu hiki ni kitabu kabisa, jitahidi uiweke story yako katika maandishi, mimi ni mteja wako wa kwanza wa hiki kitabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulifanya nini kuondoa hayo mabalaa yote na kurudi kwenye ukawaida?
Msaidie mwenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss, hebu nipatie namba ya huyo mrembo haraka. Naona unayumba.
 
Reactions: Pep
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…