Nimekutana na rafiki yangu mwarabu tuliesoma shule ya Msingi, Nasikitika kuona wageni wanavyotajirika huku wenyeji tumeridhika na vimafanikio vidogo

Nimekutana na rafiki yangu mwarabu tuliesoma shule ya Msingi, Nasikitika kuona wageni wanavyotajirika huku wenyeji tumeridhika na vimafanikio vidogo

"USIPOTAJIRIKA TANZANIA HAKUNA SEHEMU UTAJA TAJIRIKA" Ni maneno niliyotamkiwa na moja ya rafiki yangu tuliesoma wote shule ya msingi leo hii tulipokutana na kupiga story zaidi ya lisaa, Yeye alipofika form 4 shughuli iliishia hapo.

Darasani na shuleni kiujumla nimewajua wahindi na waarabu kibao tu, nikiri wazi waarabu tulikuwa tunawaburuza "Sio Kitoto", uwezo wao ulikuwa mdogo mnooo, lakini leo hii sio wenzetu hata kidogo, ni story tu za kujuana nao lakini kimaisha tumepigwa gepu sio kitoto.

Wahindi angalau kulikuwa na upinzani ila tulikuwa tunaburuzana sana tu, vipanga wa kibongo waliburuzana na vipanga wa kihindi, huku wa kati nao walikuwepo tuliburuzana nao man to man, wengi wamesoma mpaka vyuoni lakini wanatumia elimu zao kwenye biashara zao hapa hapa Tz.

Tukija kwa upande wetu wabongo hali inatia huruma, tumesoma mpaka vyuoni + masters, mtu kapigiwa koneksheni na ndugu ama wazazi ama kapata ajira kivyake mshahra + posho vyote kwa jumla ni milioni 3 kwa mwezi yani hapo akiwa na gari na nyumba anaridhika kabisa cha kuwaza labda kuongeza mchepuko ama kuwahi viti virefu baada ya kazi, kwa wale wanaofanya biashara unakuta mtu akiingiza faida milioni around 8 kwa mwezi anajiona tayari mwamba.

Wenzetu hawa hawa tuliosoma nao suala la kuajiriwa hawataki kulisikia kabisa kwenye nchi hii, kuna muhindi moja aliniambia " Nchi hii ina untapped resources and oppurtunities kibao, hata elimu ya standard 7 inatosha kukutajirisha, Forest imejaa carrots ni wewe utaamua uwe punda ama mkulima" Sio siri nilihisi nimetupiwa dongo.

yani wao wanaunganisba nguvu kwenye timu zao (familia), kwa mwezi wanalaza B na kuendelea kama utani vile.

MAPENDEKEZO

nawajua matajiri wa hapa Tanzania wanataka watoto hawana exposure kabisa,yani mtoto maisha yake yote kasome Tz, matokeo yake mtoto anakuwa na akili za hapa hapa hata lugha inampiga chenga, hajui kumingle wala hana connections za watu wa mataifa mengine.

fikra za 'KILA MTU AJITAFUTIE CHAKE' zimepitwa na walketi, Kuna haja gani ya Tajiri asubirie mpaka mtoto wake afikie miaka 25 ndio ndio ampe mtaji akaanzishe biashara zake wakati anaweza kumfundisha biashara mtoto wake tangu udogoni ?
Ukwel ambao wa Tz wanachelewa kuujua
 
waarabu na wahindi wa Tanzania, sio wageni, ni kabila la wahindi na waarabu tu ambao ni watanzania, na wengine ni watanzania kuliko hata wewe mwenye kabila la kibantu kwasababu wazazi wao wamekuja hapa miaka ya 1700 uko wakati wangoni wamekuja bongo miaka ya 1800 au 1900 kama sikosei. usiseme watu ni wageni kwa sababu ya rangi.
Watu hawajui historia mkuu.Warabu tumesoma kuwa walianza kija karne ya 7 na kuanza kuanzisha miji.
Warabu ni watu wa wazamani sana hapa Afrika na wameoana na watu weusi kwa miaka mingi sana.
Sudani kaskazini ni warabu weusi tii. Walikuja lini? Wabantu tunejipa umiliki wa bara la Afrika kitu ambacho sio kweli.
Tushukuru mungu tu kuwa hao warabu hawakutumaliza kwa hila ila kama walivyomalizwa wahindi huko USA. wamesambaa sana bara la Afrika na kuwa sehemu ya Afrika.
Misri ilikuwa nchi ya watu weusi wakaja warabu wakamuondia mtu mweusi wakaka wao mpaka leo hakuna mtu mweusi anaweza sema ni nchi yake.
Kimsingi tuishi nao tu kama wenzetu maana hata uwezo wa kuwafukuza hatuna japo wameshikilia utajir wa TZ.
 
waarabu na wahindi wa Tanzania, sio wageni, ni kabila la wahindi na waarabu tu ambao ni watanzania, na wengine ni watanzania kuliko hata wewe mwenye kabila la kibantu kwasababu wazazi wao wamekuja hapa miaka ya 1700 uko wakati wangoni wamekuja bongo miaka ya 1800 au 1900 kama sikosei. usiseme watu ni wageni kwa sababu ya rangi.
Mkuu,asante kwa Darasa.
 
Watu hawajui historia mkuu.Warabu tumesoma kuwa walianza kija karne ya 7 na kuanza kuanzisha miji.
Warabu ni watu wa wazamani sana hapa Afrika na wameoana na watu weusi kwa miaka mingi sana.
Sudani kaskazini ni warabu weusi tii. Walikuja lini? Wabantu tunejipa umiliki wa bara la Afrika kitu ambacho sio kweli.
Tushukuru mungu tu kuwa hao warabu hawakutumaliza kwa hila ila kama walivyomalizwa wahindi huko USA. wamesambaa sana bara la Afrika na kuwa sehemu ya Afrika.
Misri ilikuwa nchi ya watu weusi wakaja warabu wakamuondia mtu mweusi wakaka wao mpaka leo hakuna mtu mweusi anaweza sema ni nchi yake.
Kimsingi tuishi nao tu kama wenzetu maana hata uwezo wa kuwafukuza hatuna japo wameshikilia utajir wa TZ.
chukua tu mfano wa shabiby, mababu na mababu wamekuja na kazaliwa na kukulia kijiji na gairo pale, amefanikiwa watu wanamwona mwarabu wakati kachanganya na wagogo sijui watu gani huko na wazazi wao wamekuja miaka mingi kuliko hata wabantu wengine. wabantu hii nchi tumehamia tu toka nchi zingine na wengi wamekuja baada ya waarabu na wahindi kuwa wameshakuja tayari.sisi sote ni wahamiaji.
 
chukua tu mfano wa shabiby, mababu na mababu wamekuja na kazaliwa na kukulia kijiji na gairo pale, amefanikiwa watu wanamwona mwarabu wakati kachanganya na wagogo sijui watu gani huko na wazazi wao wamekuja miaka mingi kuliko hata wabantu wengine. wabantu hii nchi tumehamia tu toka nchi zingine na wengi wamekuja baada ya waarabu na wahindi kuwa wameshakuja tayari.sisi sote ni wahamiaji.
Kama nimekuelewa vizuri, unataka kuaminisha watu kuwa wabantu waliwakuta waarabu kwenye hii nchi, na si kwamba wakati waarabu wanakuja waliwakuta wabantu.?
 
"USIPOTAJIRIKA TANZANIA HAKUNA SEHEMU UTAJA TAJIRIKA" Ni maneno niliyotamkiwa na moja ya rafiki yangu tuliesoma wote shule ya msingi leo hii tulipokutana na kupiga story zaidi ya lisaa, Yeye alipofika form 4 shughuli iliishia hapo.

Darasani na shuleni kiujumla nimewajua wahindi na waarabu kibao tu, nikiri wazi waarabu tulikuwa tunawaburuza "Sio Kitoto", uwezo wao ulikuwa mdogo mnooo, lakini leo hii sio wenzetu hata kidogo, ni story tu za kujuana nao lakini kimaisha tumepigwa gepu sio kitoto.

Wahindi angalau kulikuwa na upinzani ila tulikuwa tunaburuzana sana tu, vipanga wa kibongo waliburuzana na vipanga wa kihindi, huku wa kati nao walikuwepo tuliburuzana nao man to man, wengi wamesoma mpaka vyuoni lakini wanatumia elimu zao kwenye biashara zao hapa hapa Tz.

Tukija kwa upande wetu wabongo hali inatia huruma, tumesoma mpaka vyuoni + masters, mtu kapigiwa koneksheni na ndugu ama wazazi ama kapata ajira kivyake mshahra + posho vyote kwa jumla ni milioni 3 kwa mwezi yani hapo akiwa na gari na nyumba anaridhika kabisa cha kuwaza labda kuongeza mchepuko ama kuwahi viti virefu baada ya kazi, kwa wale wanaofanya biashara unakuta mtu akiingiza faida milioni around 8 kwa mwezi anajiona tayari mwamba.

Wenzetu hawa hawa tuliosoma nao suala la kuajiriwa hawataki kulisikia kabisa kwenye nchi hii, kuna muhindi moja aliniambia " Nchi hii ina untapped resources and oppurtunities kibao, hata elimu ya standard 7 inatosha kukutajirisha, Forest imejaa carrots ni wewe utaamua uwe punda ama mkulima" Sio siri nilihisi nimetupiwa dongo.

yani wao wanaunganisba nguvu kwenye timu zao (familia), kwa mwezi wanalaza B na kuendelea kama utani vile.

MAPENDEKEZO

nawajua matajiri wa hapa Tanzania wanataka watoto hawana exposure kabisa,yani mtoto maisha yake yote kasome Tz, matokeo yake mtoto anakuwa na akili za hapa hapa hata lugha inampiga chenga, hajui kumingle wala hana connections za watu wa mataifa mengine.

fikra za 'KILA MTU AJITAFUTIE CHAKE' zimepitwa na walketi, Kuna haja gani ya Tajiri asubirie mpaka mtoto wake afikie miaka 25 ndio ndio ampe mtaji akaanzishe biashara zake wakati anaweza kumfundisha biashara mtoto wake tangu udogoni ?
Ukipata shs.100,000/= unatafuta demu na bia, mwarabu akipata shs. 100,000/= anaipeleka nyumbani kwa mama yake wanapanga nini cha kuifanyia.
 
Ndio nimekwambia wachaga hawa jamaa wanajua kunyanyuana kudadadek wachaga, kuna jamaa alivutwa Dar akaja kushika duka ili na yeye ajikusanye afungue duka ndani ya mwaka tu na yeye akafungua duka pale alipofungua akaita kijana mwingine akaja nae ndani ya mwaka akafungua duka la kwake, rotation inaendelea hivyo yaani

Makabila mengine yamekalia Ubinafsi tu pumbavu
Yeah iko hivo ..ni Kama bodaboda ya mkataba...yani anapewa duka Kama mfanyakazi..ndani ya miaka mitano anaachiwa duka hilo linakua lake
 
Binafsi nimesoma na waarabu, yaani wenzio wanapelekwa shule wajue kusoma na hesabu basi,

Yaani wakitoka shule saa nane wanakaa dukani kuuza, nyie waswahili si hamuwakabidhi wenu mnaogopa mtoto ataiba Pipi.

Niliosoma nao waliishia darasa la saba na kukabidhiwa maduka kuuza/kufanya biashara, now kuna limoja lina miliki sheli.
Duh tunaogopa wataiba pipi [emoji3][emoji3]
Mimi bwana wahindi na waarabu nishasema sitaki kushindana nao wana maisha .

Wewe mjinga SANUNI ikiwa unanisoma hapa , endelea kunizidi hela hatuwez kuwa matajiri wote bwana .
 
Suala la kufanya biashara kwa wakuja sio jambo geni duniani
Kila nchi utakuta wenye asili ya hapo wanaburuzwa kwenye uchumi unajua kwa nini?

Kwa sababu wahamiaji wanapokuja kwenye nchi yoyote hawawezi kujihusisha na kazi za serikali kwa sababu sio wazawa na wanahitaji hela za haraka, hapo ni lazima wafanye biashara tu hakuna kingine

Awe Irishman huko 🇺🇸 au Msomali Nairobi wao ni biashara tu maana hata mda wa kuimba wimbo wa Taifa hana
Siasa hawawezi kuingia labda wawe ni generation ya Tatu tena mmoja katika milioni
Hapo ni kuwaiga na kupata mbinu zao na sio kuwa na jicho la husda
 
Kama nimekuelewa vizuri, unataka kuaminisha watu kuwa wabantu waliwakuta waarabu kwenye hii nchi, na si kwamba wakati waarabu wanakuja waliwakuta wabantu.?
mfano, chukua Mkoa wote wa Songea, wale wa kabila la wangoni, wamekuja toka south africa kati ya 1820 and 1840 wakati waarabu na wahindi wengine wamekuja hapa tangu karne ya 7. nani mwenyeji wa mwenzake hapo? watu wa kigoma, kagera, arusha, mtwara, tanga wote hao wamehamia toka nchi walizopakana.
 
"USIPOTAJIRIKA TANZANIA HAKUNA SEHEMU UTAJA TAJIRIKA" Ni maneno niliyotamkiwa na moja ya rafiki yangu tuliesoma wote shule ya msingi leo hii tulipokutana na kupiga story zaidi ya lisaa, Yeye alipofika form 4 shughuli iliishia hapo.

Darasani na shuleni kiujumla nimewajua wahindi na waarabu kibao tu, nikiri wazi waarabu tulikuwa tunawaburuza "Sio Kitoto", uwezo wao ulikuwa mdogo mnooo, lakini leo hii sio wenzetu hata kidogo, ni story tu za kujuana nao lakini kimaisha tumepigwa gepu sio kitoto.

Wahindi angalau kulikuwa na upinzani ila tulikuwa tunaburuzana sana tu, vipanga wa kibongo waliburuzana na vipanga wa kihindi, huku wa kati nao walikuwepo tuliburuzana nao man to man, wengi wamesoma mpaka vyuoni lakini wanatumia elimu zao kwenye biashara zao hapa hapa Tz.

Tukija kwa upande wetu wabongo hali inatia huruma, tumesoma mpaka vyuoni + masters, mtu kapigiwa koneksheni na ndugu ama wazazi ama kapata ajira kivyake mshahra + posho vyote kwa jumla ni milioni 3 kwa mwezi yani hapo akiwa na gari na nyumba anaridhika kabisa cha kuwaza labda kuongeza mchepuko ama kuwahi viti virefu baada ya kazi, kwa wale wanaofanya biashara unakuta mtu akiingiza faida milioni around 8 kwa mwezi anajiona tayari mwamba.

Wenzetu hawa hawa tuliosoma nao suala la kuajiriwa hawataki kulisikia kabisa kwenye nchi hii, kuna muhindi moja aliniambia " Nchi hii ina untapped resources and oppurtunities kibao, hata elimu ya standard 7 inatosha kukutajirisha, Forest imejaa carrots ni wewe utaamua uwe punda ama mkulima" Sio siri nilihisi nimetupiwa dongo.

yani wao wanaunganisba nguvu kwenye timu zao (familia), kwa mwezi wanalaza B na kuendelea kama utani vile.

MAPENDEKEZO

nawajua matajiri wa hapa Tanzania wanataka watoto hawana exposure kabisa,yani mtoto maisha yake yote kasome Tz, matokeo yake mtoto anakuwa na akili za hapa hapa hata lugha inampiga chenga, hajui kumingle wala hana connections za watu wa mataifa mengine.

fikra za 'KILA MTU AJITAFUTIE CHAKE' zimepitwa na walketi, Kuna haja gani ya Tajiri asubirie mpaka mtoto wake afikie miaka 25 ndio ndio ampe mtaji akaanzishe biashara zake wakati anaweza kumfundisha biashara mtoto wake tangu udogoni ?
Narudia kusema

Maendeleo yakikaa kibepari lazima yakae kiubaguzi aidha kirangi, kidini au kikabila au kikanda. Hivi vyote kwa Tanzania vipoo.

Waislam wengi maskin Sanaa. Wachaga na wazaramo, wazaramo ni maskini mnooo. Waafrika na wahindi, waafrika maskin sana. Hata ukanda wa kusini hauna maendeleo ya kufananisha na mikoa ya kaskaxini
 
waarabu na wahindi wa Tanzania, sio wageni, ni kabila la wahindi na waarabu tu ambao ni watanzania, na wengine ni watanzania kuliko hata wewe mwenye kabila la kibantu kwasababu wazazi wao wamekuja hapa miaka ya 1700 uko wakati wangoni wamekuja bongo miaka ya 1800 au 1900 kama sikosei. usiseme watu ni wageni kwa sababu ya rangi.
Wangoni waliopo hapa hawana ndugu wala hawajui asili yao tena huko SA ILA wahindi wa hapa unaowahita watanzania haswa kuliko wabantu, wanarudi INDIA kila mara!

Ni nadra kusikia majumba yale ni ya wahindi ila waarabu; wanajenga INDIA na huwasikii wakilalama kuhusu URAIA PACHA.

Unajiuliza kwanini wanafanikiwa, masikini wa kihindi au kiarabu, ni sawa tu na masikini mmakonde, hatoboi hata iwaje?

Hebu tafuta watu wa ukoo wa akina Mareale, kisha linganisha umasikini na utajiri kwao, unadhani ni kwasababu ya rangi? Ni ukoo uliotajirika kitambo sana, kutoboa kwao ni lazima. Same applies to hao Arabs na Asians, walichukuliwa kama binadamu grade 2, 3, wakapewa fursa hivyo enzi hizo za ukoloni, wakafuata akina Mareale(chiefs) etc.

Unadhani wakina Kikwete, Nyerere, Sykes, Salim walitokea tu from nowhere kama Magu?
 
waarabu na wahindi wa Tanzania, sio wageni, ni kabila la wahindi na waarabu tu ambao ni watanzania, na wengine ni watanzania kuliko hata wewe mwenye kabila la kibantu kwasababu wazazi wao wamekuja hapa miaka ya 1700 uko wakati wangoni wamekuja bongo miaka ya 1800 au 1900 kama sikosei. usiseme watu ni wageni kwa sababu ya rangi.
Kuna askari alimkamata jamaa yangu wakati anamchukua maelezo akamuuliza we kabila gani.Jamaa akajibu mi mwarabu.Askari eti kakasirika eti usiniletee utani ntakupiga hebu nitajie kabila [emoji23][emoji23][emoji23] yule jamaa akamwambia angalia katika makabila Tanzania Hilo kabila halimo ama limo Tanzania.Ndo nikajua askari wetu ni vilaza.Watu hawajui Tanzania Kuna kabila la Waswahili ila wasiojua watabisha.
 
Binafsi nimesoma na waarabu, yaani wenzio wanapelekwa shule wajue kusoma na hesabu basi,

Yaani wakitoka shule saa nane wanakaa dukani kuuza, nyie waswahili si hamuwakabidhi wenu mnaogopa mtoto ataiba Pipi.

Niliosoma nao waliishia darasa la saba na kukabidhiwa maduka kuuza/kufanya biashara, now kuna limoja lina miliki sheli.
Ulipoongea hili swala umenikumbusha kuna wasomali nakaa nao wanaduka....yaani mtoto katoka shule anauza duka fresh tu yaani ......ila wee njoo huku kwingine ata kucheza tu ni tatizo
 
𝐓𝐨𝐚 𝐞𝐧𝐝𝐚𝐩𝐨 𝐦𝐢𝐫𝐚𝐝𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐢𝐦𝐞𝐤𝐨𝐦𝐚𝐚, 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚 𝐤𝐢𝐩𝐚𝐭𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐮𝐚 𝐬𝐮𝐚 𝐓𝐇𝐄 𝐌𝐎𝐑𝐄 𝐘𝐎𝐔 𝐆𝐈𝐕𝐄 𝐓𝐇𝐄 𝐌𝐎𝐑𝐄 𝐘𝐎𝐔 𝐋𝐎𝐒𝐄
Kutoa sio lazima iwe hela.....inaweza kuwa kwa hali na namna
 
Back
Top Bottom