Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
- Thread starter
- #41
Pamoja kamanda .God bless you ๐
Tenda wema mkuu na wanao wafuate nyayo zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja kamanda .God bless you ๐
Tenda wema mkuu na wanao wafuate nyayo zako
Ni kwel maamuz tayar ymeshafanywa. Sitamgusa kabisa.Naamini maamuzi tayari unayo ndani ya nafsi hapa Unakuja kutafuta kura za veto ili kuhalalisha lililomo ndani yako.
Ahahah.Kabisaa.Badala umuombee mwenzako shetani ampitie mbali
Kaazi kwelikweli,usiache maombi,nimeshaona dalili shetani anazunguka zunguka hapo ili akuharibie uhusiano wako na Mungu...
Ukila mzigo uje na pati two!Hapana mkuu imeishia hapa. Ingawa tayar inaendelea huku kwenye maisha halisi
Nitajitahidi sana nisifike hapo mkuu.Ukila mzigo uje na pati two!
KWann unafikiri hivyo kamanda? Nita mamage tu haina shida hataKuishi na huyo binti nyumba moja ni sawa na kupewa muwa utembelee kama mkongojo.....utaula tu
Daaaahhhhj!!! Afadhal useme na wewe chief. Ujue watu wamezoea chainsasa hata mambo ya msingi ukleta wanaona kama story tu.๐๐๐๐ pole sana kamandaKumbe tuko wengi.
Mimi nashindwa hata kumuambia aniletee maji maana mmh, wife Kama Kuna kitu anataka kusema lkn Hana ushahidi.
Sio mbaya chief. Ungekua teeneger bado wala usingeona kama ni tabu.ni vile wewe tayar ushakua mkongweMmh eti mm huyu niambiwe niende sehem nikamsaidie kuosha vyombo uwiiiii tutapigana ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Ushamtamani huyo binti,hiyo roho haitakutoka kamwe nakuambia,utavumilia ila siku ukaliona paja lake like wazi kwa bahati mbaya utaanza tena kumtamani, nafsi yako itatulia ukishamla huyo binti......haupo peke yako hata mimi muhanga wa hiloKWann unafikiri hivyo kamanda? Nita mamage tu haina shida hata
๐๐๐. Mkuu bas zidisha maombi nishinde. Hapo kwenye upaja mweupe naomba nisitie neno kwanzaUshamtamani huyo binti,hiyo roho haitakutoka kamwe nakuambia,utavumilia ila siku ukaliona paja lake like wazi kwa bahati mbaya utaanza tena kumtamani, nafsi yako itatulia ukishamla huyo binti......haupo peke yako hata mimi muhanga wa hilo
Aisee hizo kazi hapanaSio mbaya chief. Ungekua teeneger bado wala usingeona kama ni tabu.ni vile wewe tayar ushakua mkongwe
Na kikubwa hajaja kufanya kazi but a baby sitter.
By the way, unaishije maisha yako kama kiosha vyumbo tu unaona ni big deal? Ulilelewaje?
Hapa kwenye paja jeupe ndio unataka upachungulie ww na ndio unapopapenda.....si unaona umecheka ina maana unapenda hiyo kitu,nakuapia utaendelea kumtamani tu......we subiria tu kufumwa๐๐๐. Mkuu bas zidisha maombi nishinde. Hapo kwenye upaja mweupe naomba nisitie neno kwanza
safiMmh eti mm huyu niambiwe niende sehem nikamsaidie kuosha vyombo uwiiiii tutapigana ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Ahahahaha..sijataka kuzungumzia maisha yangu humu ndani , how we use to do dish wash au laundry.Aisee hizo kazi hapana
Ushasema wifey anatoka saa moja means chores zote za asubui anafanya hako ka dadaaa
Kwakweli sijalelewa kua mtumwa tena mumlipe posho aiseee