Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
- Thread starter
- #81
Ndio maana mimi huwa nakuelewa boss wanguhuu uzi wababa wengi watajifanya watakatifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana mimi huwa nakuelewa boss wanguhuu uzi wababa wengi watajifanya watakatifu
Hapana hapana bwana.nitalifanyia kaziHicho kisa/story ya housegirl pisikali naomba utuletee uzi wake kwenye thread ya kula tunda kimasihala itapendeza sana.
Natanguliza shukrani za dhati na upendo wa hali ya juu sana
Anyway nyumba yako mwenyewe unakubali vip kuwa mtumwa?, fukuza huyo binti kwa maslahi mapana ya ndoa yako, undugu wenu na hisia zako, maana kama umeshaona uzuri wa binti, ipo siku akili zitahama utafanya kilichopo mawazon mwako ulichotaka kumfanyia yule house girl mrembo.
Amani yako ni bora kuliko hayo mateso unayoishi as if mkimbizi, kama mmeshindwa kupata mfanyakazi peleka uyo dogo akakae kwa ndugu au mchane mkeo kuwa mfanyakazi atatafutwa kwa gharama yyote ata wew pia utashiriki, usimuogope mkeo atakupanda kichwan na kukutawala, wew ndiye kichwa cha familia kwanini unakuwa mzembe?
Haya basi endelea kuwa mtumwa ndani ya nyumba yako mwenyewe na uwe unahudhuria kazini mpaka weekend na jumapili kumuogopa mkeo na huyo binti pisikali, si ndio aina ya maisha umechagua?
Ipo siku utaanza kulala getini.
HApana..ujue huyo ni kama mwanangu maana ni mtoto wa wifi wa wifeujanja wote huo unashindwa kutafuna pisi hiyo
eboooo kesho uje na uzi mwingine hapa
Mimi ni mwanaume; napiga sana mechi tu ila katika hali yoyote ile sitakuja kufanya kwa piso yoyote iliyopo kwangu hata akiwa mpita njia tuCheki mnafiki huyu 😂😂. Unaandika ukiwa umelewa au?.
Tamaa vs Males seriously?
Sawaa..sioi tena ..Naishia hapa hapaMsiwege mnaoa
Uko sahihi. Na hiki ndio nasimamia.Kula member wa ndani kwangu sio ssawaMimi ni mwanaume; napiga sana mechi tu ila katika hali yoyote ile sitakuja kufanya kwa piso yoyote iliyopo kwangu hata akiwa mpita njia tu
Nimewaza yote haya na nitahakikisha anasoma vizuri tuu🤣🤣🤣ngoja amsaidie ndugu malezi, ila A level bila tuition mtu hutoboi.
Bila shaka...Nimemuandalia plan kuhusu hilo na nimeongea pia na ant yake amtafute waalimu for home schoolong..nilisoma pcb pia soni understand the importance of preparationsAkaache kabinti kawatu kaende tuition, Advance bila tuition utalia kwakweli
Ujue kuna kitu hapa wachache wanashindwa kunielewa. Ujue kama binti mzuri ni mzuri hilo huwez jidanganya. Ndio maana hata sisi wazazi kuna time tunapata was was kuhusi watoto wetu wa kike maana unajua kabisaa hapa nimezaa pini haswaaa kwahiyo unaanza mapema kijihadhari na wahuni.Ukweli ni kuwa unakatamani... Yaani ikitokea upenyo tu utapita nacho.
Najuta kwann niliandika hii aya, maana hapa mmenishikia bango 😂Wakuu haka kabint kiukwel kamenona. Kama mjuavyo watu wa Singida. Keupeee. Kamejazia jazia. Kwakwel ni shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana najitahid sana kuepuka mazingira yalee yalio mtia Yusuf.majaribun kwa mke wa Potifa kubaki wawil tuu ndani.Fanya mpango unisaidie namba ya simu ya hako kadada ili nikusaidie kukakarabati katulie kasije kuzidiwa na nyege kakakukamata kwa nguvu wife wako akiwa kazini
Hakika chief. Hili nalizingatia sana mkuuJitahidi mkuu, mtu aliyeko chini ya paa lako tena binti mdogo mpe heshima ili uzidi kuheshimika.
Kuna shida yoyote mama mtumishi??Aiseee
Haya
unajitahid kwa ushauri, tatizo tu sio level yako mtu unayejaribu kumpa shule hii. I know everythin about what u r trying to say cz i have been there na i ca manage all that..zaid zai i have plans for all those.Kwetu hatutumikishwi ndugu wala i never ever kutumikishwaaa
Why hakuwapa binti yake?? So em kaa imagine mwanao unampeleka aka babysit sijui wapi wapi badala ya kwenda tuition kujiandaa na advance
Wenzake wanapiga tuit maskini kenyewe kapo kana tumikishwa makazi
Anyway sijaja kwa ubaya mkuu ni my opinion tu, mrudishen home aende tuition Advance sio O level itamshangaza
Ofcz i mean no malice mdogo wangu.ni mtazamo tu, halafu ni kitu kidogo mbona
Nitarud tu. Mimi kufia mikonon mwa Mungu sio option. Kingdom is mylife, my destinyNakufuatilia
Lzm urudi kule km ulivyokua spiritually
We unajua kabisa, mavuno ni mengi watenda kazi ni Wachache.....
😬
sasa kama mwanao mbona uzuri wake unakukosesha amani?HApana..ujue huyo ni kama mwanangu maana ni mtoto wa wifi wa wife