Nimekuwa mgeni nyumbani kwangu. Nakosa uhuru kabisa

Hapana hapana bwana.nitalifanyia kazi
 
Mimi ni mwanaume; napiga sana mechi tu ila katika hali yoyote ile sitakuja kufanya kwa piso yoyote iliyopo kwangu hata akiwa mpita njia tu
Uko sahihi. Na hiki ndio nasimamia.Kula member wa ndani kwangu sio ssawa
 
Akaache kabinti kawatu kaende tuition, Advance bila tuition utalia kwakweli
Bila shaka...Nimemuandalia plan kuhusu hilo na nimeongea pia na ant yake amtafute waalimu for home schoolong..nilisoma pcb pia soni understand the importance of preparations
 
Ukweli ni kuwa unakatamani... Yaani ikitokea upenyo tu utapita nacho.
Ujue kuna kitu hapa wachache wanashindwa kunielewa. Ujue kama binti mzuri ni mzuri hilo huwez jidanganya. Ndio maana hata sisi wazazi kuna time tunapata was was kuhusi watoto wetu wa kike maana unajua kabisaa hapa nimezaa pini haswaaa kwahiyo unaanza mapema kijihadhari na wahuni.


Sikilar here, haka katoto sio ndugu yangu infact, ila sitakagusa hilo nimeapia kwa mwenyez Mungu
 
Fanya mpango unisaidie namba ya simu ya hako kadada ili nikusaidie kukakarabati katulie kasije kuzidiwa na nyege kakakukamata kwa nguvu wife wako akiwa kazini
Ndio maana najitahid sana kuepuka mazingira yalee yalio mtia Yusuf.majaribun kwa mke wa Potifa kubaki wawil tuu ndani.
 
unajitahid kwa ushauri, tatizo tu sio level yako mtu unayejaribu kumpa shule hii. I know everythin about what u r trying to say cz i have been there na i ca manage all that..zaid zai i have plans for all those.

Sawa bibie. ?
 
Nakufuatilia
Lzm urudi kule km ulivyokua spiritually

We unajua kabisa, mavuno ni mengi watenda kazi ni Wachache.....
😬
Nitarud tu. Mimi kufia mikonon mwa Mungu sio option. Kingdom is mylife, my destiny
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…