Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Wapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
Kwanza tubu, alafu mtafute mkewe, muombe muonane, mueleze jinsi ambavyo unajutia matendo yako, alafu mkabidhi nyumba, gari ulilopewa na mume wake. Najua ni ngumu kuachilia mali lakini shhukuru bado una kazi, jiwekeze kidogo kidogo utafanikiwa. Ila ukiendelea kupenda vya bure utaliwa, utazalishwa, ukianza kuzeeka mwenzio anakwambia nimeokoka tena anatoa ushuhuda kanisani kuhusu wewe , mtoto anampeleka boarding school na mapenzi unakosa unabaki kuwa sugarmama
 
mkuu ukimwambia hivi utamfanya mdada aanze mbinu za kumuua jamaa ili atoke kwenye kifungo
 
Wapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
Acha kuact kijinga , kwanza just imagine wewe ndo ungekuwa huyo jamaa, umejitoa mwili na roho kumfanya mpenz wako awe na furaha and comfortable then after lots of hustles anakuja na kauli Sijui za Ku-suffocate !!! My dear yakikuta ya kukukuta ujue mchawi ni wewe mwenyewe!

Oops walisema mchumba hasomeshwi kwa uzi wako huu nadhani naongezea Mchepuko usiufanyie maendeleo!
Hivi wadhani huyo jamaa Hana ndugu/wazazi wenye shida akawajengea na kuwafanyia ukarimu woote huu alokufanyia? Mkuu just kuwa na utu aisee na Mtoto wa mwanamke mwenzio.
 
Hahahahaha
 
Kama umemchoka tupasie namba zake kuna ndugu yangu ana shida nazo.(jokes)

Pole dada..
 
Tafuta namba ya mkewe halafu tafuta simu ya bodaboda mtumie mkewe msg ujishitakie kuwa mumewe anatoka na wewe.
 
Miaka 3 kwenye mahusiano nyinyi ni mme na mke na mtaachana kwa taraka. Au fanya hivi Mrudishie gharama zake zote alizotumia kwako then muache bila kufanya hivyo my dear utakufa tu
 
Daah🤣🤣
 
Sasa si umwambie akuoe mke wa pili mbona mnapenda vurugu
 
Yaani wataalam wa afya huwa wanatuambia kula wanga na mafuta mengi kunasababisha pressure na kisukari Ila kwa watanzania wengi hasa wanaume michepuko ndo huwa inawasababishia pressure na stroke juu 😄😄😄 yaani huyo father house siku akijua unachowaza au akikufumania na huyo kijana atakuua na asipokuua msongo wa mawazo utazaa pressure na maradhi mengine halafu mke wake ndo ataanza kumuuguza Sasa na kumpikia chukuchuku na chumvi kwa mbaliii, michepuko nyie mbingu mtaisikia tu.
 
Hamuwezi kubadilika hata siku Moja hkn Niko nadate na mke wa mtu Ni mpumbafu wa Hali ya juu mpk naona aibu mm kwa jins anavyo mfanyia mumewake Ni aibu wanawake wanao jielewa Sasa HV Ni 10 %
 
Hawezi kufa...

Anamtishia hivyo sababu anajua hajaolewa ila akiolewa hana mamlaka nae tena...
anamtisha sio!!!! vp hayo magari na majumba aliyoinvest kwake? kibinadamu tuu na hata kwa hali ya kawaida unazani hata kama ni wewe ungemuacha tuu aende na mali zako kwa mwanaume mwingine?

hapo lazma arudishe vya watu, ndo akaolewe huko anapotaka kwenda, la sivyo ajiandae kubanikwa kwenye magunia ya mkaa wa moto, na hakuna atakae muurumia maana ni halali yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…