Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Rudisha nyumba, gari, na uache kulipiwa Kodi. Dakika mbili tu unamuacha na anaridhika Kabsa. Chaguo ni lako
 
Mwana kulitafuta, Mwana kulipata. Hiyo silaha itakuacha salama kweli?. Mwambie kijana wa watu usije mletea dhahama bure kwa ulafi wako.
 
Nitajikita kwenye upande unao utaka wewe japo unaweza usiwe sahihi,

Kwanza amini hakuna kisichowezekana chini ya jua, ukiwa na nia thabiti na tayar kukabili yatokanayo na maamuzi yako itawezekana.

Pili, jikite kwenye kumjua huyo mwanaume wako mpya, umejenga uhusiano kwenye uongo,
1. anaweza akaujua ukweli na penzi pale pale likapungua.
2.Na huwez ficha ukweli daima
3. Wanaume almost wote tunafanana unalokimbia huku utakutana nalo kule(mchepuko, vitisho, wivu, etc) tathmini uone kama ndo unachohitaji

Ukishaona anafaa na ndo uende naye rudi Sasa kwenye uhalisia na hyu jamaa.

1. Amekupa maisha kiasi cha wewe kuweza kujisimamia na kutamka unaweza jitunza bila yeyote na bado ukajifanyia vyote alivyokufanyia... Sasa ondoa haya kwenye point za kutumia wakati unafanya maamuzi.

A/ Kamwe hutoweza kujificha popte asikupate... Nenda nchi yoyote ila kama aliweza kukupeleka kote huko, ni suala la muda tu. Akiwa na nature kama yangu, hata miaka 10 kulipia kisasi atavumilia.

B/ Hutoweza kumwacha nae akakubali kama utatumia Aina yoyote ya ubabe au kumchallenge. Ni hivi akiona njia uliyotumia ni Maji marefu( yaan kwa pesa na influence hakuwezi) atakaa chini na kujisuka aje strategically kukumaliza( na kwa summary ulotoa huna background powerful kiasi cha kumtisha hvo)


C/ Usiwazie suala la kumlipa, huna cha kumlipa, ni kama ingekuwa vice versa nae Hana cha kukulipa, kuliamsha Hilo ni kuonesha dharau kwa mambo meng yaliyoendelea mioyoni mwenu, nyakati na nia zenu, wala Usiwazie kwenda kwa mkewe kwa namna yoyote.

D/ Mungu unayemsema na kutaka kumrudia tambua hakushangai kwa haya maana anajua fika ungefanya hvo, atakacho kushangaa ni kutaka kumlaghai kwa kutubu kwako wakati tabia yako ilokusukuma kufanya hvo bado iko ndani yako na unaweza rudia tena na tena kosa Hilo hlo(rejea petro kumkana Yesu japo alijiapia hawezi kamwe)

Cha kufanya

Namna pekee kwangu nnayoiona ni kwa kupata huruma ya huyo mwanaume basi. Hyo huruma utaipataje, wewe ndo unamjua ilivyo.

Bila huyo mwanaume kupuuzia uamuzi wako au kufikia hatua ya kukuchukulia kama mpuuzi kiasi cha kuona bora aache kupoteza hela na muda kwako huna namna ya kibabe ya kumchomoa labda umuue, au ukeshe kwenye maombi.


Mwisho wa siku jitafakari na ww pia, je yaliyokukera ni kweli yana kero kwako? Au ni kwasababu mhusika ni hyu mhudumiaji?
 
Wapendwa badala mnipe ushauri mnaniongezea magazijuto kweli? Najua i messed up big time and an not proud. Nisaidieni najikwamuaje hapa.
OK simple and clear ...mrudishie gari, nyumba yake. Then mwambie ts over akileta shida mwambie utampa mkewe taarifa
 
Ushauri wangu upo tofauti na wa wanaume wengi, si umesema nyumba na gari vipo kwenye jina lako? basi hakuna kurudisha, ndio ukumbusho wa penzi lenu, unapolipiwa kodi hama, kapange pengine. Mwanaume mwenye uwezo wa kukujengea nyumba, kukununulia gari na kukupeleka vacations bila kuwaza hawezi kupoteza muda wake kukusumbua urudishe vyake penzi linapoisha, off course atakuwa disappointed na wewe lakini iyo wewe haikuhusu coz you are looking after your own best interests.

Kuhusu kumuacha mshua kwenda kwa mshkaji, hakikisha unapoenda ni upgrade ya ulipotoka, some fellas look good on paper( kazi nzuri, gari nzuri, kapanga pazuri) lakini ukishaingia ndani ya mahusiano unagundua it's all a facade, mchizi anateseka na madeni yasiyolipika to mantain his lifestyle, hapo ujamuongezea majukumu ya mke na watoto. Play your cards right.

Ni bora kuwa mchepuko wa mwanaume mwenye uhakika wa maisha kuliko kuwa mke wa ndoa wa mwanaume anayebahatisha maisha.
 
Sasa kama unayaweza usisuburi uambiwe rudisha kama uanvyotaka kurudisha mapenzi.
Kwasasa utaona huombi kwakuwa unacho na huyo mtu anakuhudumia kawaida tu, Subiri siku yatokee utarudia tabia ile ile ya kuomba na hapo ndio utamuona huyo mhudumiaji mpya sio mhudumiaji kabisa.
Huyo mume wa mtu ukimpata kwakuwa ulikuwa na shida Sasa shida huna ndio maana umeweza kutafuta unayemudu.
 
Hivi yule wa dar alifanywa aje
 
Kua na Mali Ni suala jingine, na moyo wa kuhudumia Ni suala jingine.

Kuna Watu wanamali Sana ila Ni mabahili Hadi kwenye afya zao wenyewe.

Muda always Ni mwamuz mzur[emoji4]

Ubahili sidhani, ananihudumia vizuri tu tena bila kuomba.
 
Yaani nyie wajinga mnaojifanya maslayqueen wa kuchuna hela za watu mnawaacha. Yaani nyie chombo cha moto kinawahusu. Pumbavu kabisa.

Rudisha hizo mali ndio uolewe

Mie sio slay queen.
 
Yote haya umeanza kuyaona baadaya kuhongwa gari na nyumba !?

Okay okay I understand now why huwaga mnauwawa ,

Mahusiano yalipoanza nimesema nilikuwa najiegesha tu wala sikutarajia yangefika hata miezi 6 ila ndio hiyo miaka mitatu + sasa. Ila at some point si ni lazima yaishe? Unakuwa vipi na mahusiano ya kudumu na mume wa mtu?
 
Ninyi wanawake huwa hamueleweki, hivi matukio ya watu kuuana kisa mapenzi unadhani ni ya kufikirika? ? Subiri wakumwage ubongo ndo utajua! Yaani umefanyiwa yote hayo eti unasema "...nipeni ushauri naachanaje na huyu mwanaume bila kuleta madhara kwangu" madhara yapo tena sana p#mbi wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…