Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo


Naona unahangaika bure tu, kwa uandishi wako unaonekana bado ni mtoto. Hauwezi kuwa muhusika hata kidogo na wala hatumii Jamii forums. Mimi gari ninayo mwaka wa tatu sasa na mwaka jana ndio alinibadilishia kaIST na kuninunulia vanguard ninayotumia sasa. Gari la kwanza alininunulia baada ya miezi 6 ya mahusiano, Na yote yako kwa majina yangu kabisa.
 
yanii... Mungu atusaidie na ututetea tu wanawake tunapitia magumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12]!!!
kama Huyo shoo unampigaa mpaka sio poa ..angekua kwa mumewe walaaa angetombwa kwa afya tu sio vurugu kiasi hiko [emoji134][emoji134]!

Hata walio kwa waume zao wapo wanaopigwa hadi kuuawa. Haina guarantee.
 
Nilitaka kuongea neno ila naona umemaliza. Hasa nyumba!!!!!! Kagari na mengine anaweza kusahau ila nyumba, thubutu. Hata sie tulikuwa na michepuko ambayo ni under 25, tulienda sawa ila ikifika 25 inaanza kulazimisha ipate usafiri na kujengewa nyumba. Msichana ambaye anajitambua kama sex partner, ataomba hela ya Bolt na si kutaka anunuliwe gari. Ataomba hela ya kupanga chumba na sebule si kujengewa nyumba maana kujenga ni kuinvest bandugu.
 
Ni story tofaut, kua na Aman dada angu.
Haina haja kuongea mengi,Nishajiridhisha tayar [emoji106]
 

Basi usipate shida sana huyo sio mimi, tunatofautiana sana. Mimi sio mtu wa starehe halafu ni mchungu na pesa zangu hatari na ndio maana nimefanikiwa kujiwekeza vizuri tu.
 
Kama kaahidi akigundua una mtu atakukata shingo basi jua ukimuacha atakuchinja na kukukatakata akunywee supu

Roho mbaya umemfundisha mwenyewe.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Basi usipate shida sana huyo sio mimi, tunatofautiana sana. Mimi sio mtu wa starehe halafu ni mchungu na pesa zangu hatari na ndio maana nimefanikiwa kujiwekeza vizuri tu.
Uko sahii,
Mimi niliongelea kwa scenario ya mwanamke wangu, sio wewe.

Sema wengi walitafsir kwmb huenda wewe Ndo yule mwanamke wangu.

Hongera Sana kwa kujitambua na kujiwekeza, Una akili sana[emoji106]
 

Asante.
 
Na yeye hawezi kukuoa. Na hiyo ndiyo itakuwa sababu ya wewe kuachana naye. Lakini kwa nini ukajiingiza kwenye mahusiano na mume wa mtu kama kweli "hapana hauwezi"?
Nimuombe mume wa mtu ndoa? Hapana siwezi.
 

Nakuja pm mama.
 

Sasa mimi ni tofauti, kwenye nyumba hakuna hata senti mia yangu niliyowekeza. Mie nilistukia tu napewa kama zawadi ya birthday. Kuna maswali alikuwa akiniuliza tukiwa pamoja kumbe ndio alikuwa anakusanya taarifa za aina ya nyumba ninayopenda na ikajengwa hivyo hivyo na ikawa furnished. Alopanga aliingia na nguo zake tu. Hivyo sijachangia chochote.
 
Hivyo vitu Ingekuwa ni mimi yani Ukizingua AMINI HAUTAVITUMIA ZAIDI YA MWEZI...!! Na hakuna atakaejua nini kilikupataa ila chako kitakuwa Kaburi tu... shwain kabisaa
 

Sijaweka tu details zingine nimeweka za upande wake tu ili kuonyesha uzito wa hili jambo ila nimejiwekeza vya kutosha tu na bank ninayo akiba nzuri tu. Ndio maana niko tayari kumrudishia hivyo vitu vyake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…