Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Duh,una ubinafsi sana mwanaume aliyekufanyia kila kitu mpaka na familia yako kuingia na kutoka kwako ni jambo la kuhoji?
Aisee

Kuja haina tatizo ila basi atoe taarifa. Kuna wakati unastukia tu saa sita ya usiku katoka safari badala aende kwa mkewe anakuja kwangu!
 
Huyo ni mumeo,Huko unakotaka kwenda kunaonesha una wenge.Au unafikiri MUME maana yake ni nini?Hivi nyie wanawake mnatuonaje wanaume.KAZI,KODI,NYUMBA,GARI,PENZI na bado unawashwa.Naweka BET huyo Jamaa ukiachana naye unaweza ukadanda maisha yako yote.MARK this POST
 

Alishawahi sema mkewe akijua ndio vizuri ili tuwe huru.
 
Hayo ndio hua matatizo yenu mtu kakufanyia yote hayo mazuri na sababu zinakuja baada ya kupata hako ka kijana haya uko tayari kurudisha vitu vyote ulivyo nunuliwa au kuvunjwa miguu
 
Naona unatafuta kifo surely u will die hat ukirudisha unaenda kulosse hii Vita na utaibika
 
Nakuonea huruma sa wewe na wazazi wako,huna maisha marefu yaani,chakufa ya rudisha kila kilicho chake alafu umwambie ukweli
 
mama atajengewa nyumba ndio utashangaa mama naye anasema mwanangu wewe mzalie tuu muhimu huduma

Hahahaaa nimecheka kama mazuri, hajajengewa ila alifanyiwa ukarabati mkubwa nyumba ikawa ya kisasa zaidi.
 
Hahahaaa nimecheka kama mazuri, hajajengewa ila alifanyiwa ukarabati mkubwa nyumba ikawa ya kisasa zaidi.
Wabona...mie nilijua tuu. Wamama wetu bwana wapuuzi sana ikija suala la watoto wao wa kike wakihudumiwa na mume wa mtu...hawakaripii kabisaaaa. Nilionaga hili kwa bibi yangu tuwards mama yangu mdogo....yeye alikuwa anapokea tuu hajali kuwa mwanae anajenga matatuzo tuu
 

Asante.
 

Asante.
 

Mimi hivyo vyote sikuwahi kuomba, alifanya kwa mapenzi yake binafsi.
 
Ni rahisi tu, njoo uwe mchepuko wangu, wakati yupo na mkewe, wewe unakuwa na Mimi, akishutuka na kukuacha tunafunga ndoa!
 

Mama yangu hajui kama ni mume wa mtu, anajua ni mchumba wangu hivyo anauliziaga tu ndoa na wajuiuu lini? Sijui nikimueleza ukweli itakuwaje?
 
Mama yangu hajui kama ni kume wa mtu, anajua ni mchumba wangu hivyo anauliziaga tu ndoa na wajuiuu lini? Sijui nikimueleza ukweli itakuwaje?
Hatari hiyo...dah wee kweli umelikoroga. Sasa unataka kumkatili mama vyuku maburger ya mume wa mtu kwa kwenda kutafuta true love🤔🤔🤔🤔🤔
 
Kama unataka kuachana naye, mwombe ndoa. Na unajua hatokubali kwa vile ana mke tayari (unless awe muislamu). Akikataa, unamwambia umekuwa mtu mzima sasa, akuruhusu upate mwenza uolewe na uanzishe familia yako. Ktk mazingira hayo ni rahisi kuondoka. Hauwezi kuwa kimada mpaka uzeeni. Simple...
Inatokea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…