Nimekuwa nikiumizwa na historia yangu ya nyuma natamani kumwambia ukweli mpenzi wangu lakini nahofia ataniacha

Usiishi kwa kujihisi. Ktk ukristo ukishaoka na kuoshwa na damu ya Yesu Kristo unakuwa mpya. Kwa sababu hiyo historia yako ya mambo ya zamani ilishapita na hao watu haupo nao tena, hakuna haja ya kusimulia wewe endelea na maisha mapya!
 
Mpenzi au mume?
 
Kuna binti tulikuwa kwenyw serious relationship katikati ya mapenzi mazito siku moja nikamtania kuwa unaonekana enzi zako watu uliotoka nao Hiece inajaa sio kwa uzuri huo akarukia kwa juu akasema Hiece tu Costa kabisa inajaa
Baada ya hapo nilianza mikakati ya kumuacha,ikawa ndio bye bye.
 
Ni muhimu sana mwanamke kujitunza na kama unaona ulifanya blinders huko nyuma ni mara 💯 umueleze mwenzio hata kimafumbo ili awe aware na sio kuja kusikia kwa marafiki au nduguzo.
Utahatarisha mahusiano yako
Ni ngumu hii wengi wamenishauri nikae kimya, naona bora nikae kimya tu naweza kuongea nikawa kwenye hatari zaidi
 
Pengine na yeye alikuwa anakutania tu
 
Taja hiyo background kwanza tuone tunakushaurije, maana kuna background zingine ngumu kumesa
 
Kwenye ofisi za umma huwa tunaanzia kazi pale tunapokabidhiwa ofisi na kuendelea na utapimwa kuanzia kwa kuanzia hapo ulipoanza.
Kwa kadiri changamoto zilizoachwa na mtangulizi wako zinavyojitokeza ndivyo tunavyo solve.
Huwa hatufukui makaburi kwenye ofisi za umma.
Kuwa na amani.
New Boss akitaka kujua, atajulia hukohuko, ukijifanya mtakatifu maria utahama ofis kila siku.

Nadhani umenielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…