Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
-
- #101
Asante mkuu, nitapiga kimya kabisaBora upige kimya ajue mkishakuwa na watoto watatu na kuendelea Mimi ni mwanaume nawajua wanaume wenzangu hawawezagi jivisha mabomu Kwa kujitoa mhanga kuoa demu mwenye historia chafu
Asante, nitafanya hivyo mkuuKama ulitoa Mimba na hauna hakika ya Kupata mtoto mwambie mapema
Kama unamagonjwa ya zinaa mwambie mapema
Kama huna hayo hapo juu huna sababu hata Moja ya kumwambia
Kama alikubali kukuchukua ukiwa huna bikra automatically background yako kuhusu mahusiano amejiandaa nayo
Sawa, nitafanya hivyo Kama akiniulizaKama hajakuuliza kausha, akikuuliza usimuongopee.. Hatuangalii ya nyuma, tunaangalia ya sasa.
Utaishi kwa shida sana, maana ukimwambia lazima akuache. Ukinyamaza kunawasha,! Chagua mwenyewe kipi bora.Ni ndefu mno sitaweza kumaliza
Nachagua kunyamaza tu niwashwe😁Utaishi kwa shida sana, maana ukimwambia lazima akuache. Ukinyamaza kunawasha,! Chagua mwenyewe kipi bora.
Sasa unataka ushauriwe nin wakati hutaki kusema hiyo background ikoje?kama ulikua malaya uliyekubuhu funguka tuNi ndefu mno sitaweza kumaliza
Hapa unaomba ushauri wa jumlajumla wakati yale ya rejareja uliyoyafanya huko nyuma hujayaweka wazi! Tegemea mwisho mbaya sana huyo jamaa akijua huko mbeleni kulivyo.Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Mwambie tuu. Ni vyema asikie kutoka kwako kuliko kwa watu wengine. Kama anakupenda kwa dhati haitaathiri mahusiano yenu. Kama hakupendi atakuacha. Ni bora iwe hivyo sasa kuliko baadae ambapo utakuwa tayari ume invest sana katika mahusiano yenu.Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Sasa umekuwa. Utaolewa. Nyamaza kimya kama siyo yule Nduli wa zamani.Nachagua kunyamaza tu niwashwe😁
Asante mkuuYaliyopita yamepita achana nayo
We songa mbele
Ova
Amen na ikawe heri mkuuSasa umekuwa. Utaolewa. Nyamaza kimya kama siyo yule Nduli wa zamani.
Hapa nachanganyikiwa kuna wengine wanasema ni heri ninyamaze naweza nikamwambia akashindwa kuvumiliaMwambie tuu. Ni vyema asikie kutoka kwako kuliko kwa watu wengine. Kama anakupenda kwa dhati haitaathiri mahusiano yenu. Kama hakupendi atakuacha. Ni bora iwe hivyo sasa kuliko baadae ambapo utakuwa tayari ume invest sana katika mahusiano yenu.
Amandla...
😁😁hivi nifanyaje nibadili hili jinaHilo jina sasa naomi kivuruge
Jichanganye kama hujavuruga hayo mahusiano
Mkongwee acha Kumvuruga Kivuruge avurugiki hata ukimvuruga vipi!Hahahahahaha usijali dada kivuruge, tuko pamojaa
naomi kivuruge jina linasadifu kuwa hamna Pipe huijui na kuvuta mashisha kama yote.Habari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??
Waulize mds😁😁hivi nifanyaje nibadili hili jina
Vipi kwani ukikuwa una act picha za x au mbona unajishtukia hivyo..kila mtu ana bad side ykHabari za wakati huu wana JF ni matumaini yangu mu wazima wa Afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye jambo husika tajwa hapo juu.
Mimi ni msichana, kipindi nasoma kuna maisha nilikuwa naishi hapo nyuma hayakuwa mazuri nadhani ni kwasababu ya utoto na kutojitambua pia, ama ni ile foolish age pia ilichangia.
Kwasasa nimekua nina kibarua nafanya nimeshakuwa kwenye mahusiano kadhaa kadhaa lakini tulishindwana, pia watu niliokuwa nao kwenye mahusiano hawakuwa tayari nadhani au walikuwa na watu wao.
Mwaka jana nilibahatika kuanzisha mahusiano na mwanaume mmoja mpaka sasa hivi nipo nae lakini hatuko kwenye mkoa mmoja, sasa jambo ninalohofia ni kwamba ikitokea siku akafatilia background yangu akaambiwa maisha niliyoishi hapo nyuma itakuwaje na mimi sijawahi kumwambia, nahofia akija kujua anaweza kuniacha.
Ninaomba ushauri wenu wadau je ni sahihi mimi kumweleza mpenzi wangu ukweli wa maisha niliyopitia hapo nyuma au ninyamaze tu haina umuhimu??