Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
-
- #81
ASANTE SANA KWA UZALENDO WAKO. MIMI PIA NIMESAFIRI ZAIDI YA KILOMITA 1,200 ILI NIPATE NAFASI YA KUPIGA KURA; LENGO LIKIWA KUWAFUNDISHA AMSTERDAM, SMITH, TRIPPI NA VIBARAKA WAO KUWA WATANZANIA TUNAJUA MIPANGO YAO OVU YAKUTAKA KUPORA MALI ZETU. WASHINDWE NA KULEGEA. MWENYEZI MUNGU YUKO NASI KATIKA VITA HII NA SINA SHAKA TUTASHINDA KAMA TULIVYOSHINDA GONJWA LA COVID19.
Mungu amewaondolea kibali machoni pa Mbingu na duniani Utawala huu dhalimu thus alimuokoa Lisu mlipompiga risasi,na kwa kupigwa kwake taifa linakombolewa kesho.
Nadhani watu wanaoombea amani bila kutaja uhuru na haki watakuwa wamejitengenezea mungu wao. Mungu mwenye nguvu anakupa uhuru wa kumchagua yeye au kumiataa, ni haki yako kuchagua upendachoMimi ninachoiombea Tanzania yangu ni Amani... hayo mengine wanasiasa mmalizane wenyewe.... msituletee shida ndani ya Tanzania yetu
Kwa hiyo upo Uturuki saa hizi?Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa.Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Nani alikuwa kibali cha kutusemea watanzania, hakuna mropokaji kama magu mpaka anamtogozea mama yake mzazi mabwana, laaana tupu
Kila siku wanampa kete jamaa.Polisi wameua wanne usiku huu huko Pemba. Hiyo ni kete nyingine ya wakili Amsterdam.
Amani maana yake hali ya kuwa na RAHA na SALAMA, ukiwa na raha maana yake uko na uhuru na ukiwa salama maana ya unapata haki yako. Hivyo neno AMANI linabeba HAKI na UHURU ndani yake...Nadhani watu wanaoombea amani bila kutaja uhuru na haki watakuwa wamejitengenezea mungu wao. Mungu mwenye nguvu anakupa uhuru wa kumchagua yeye au kumiataa, ni haki yako kuchagua upendacho
Hiyo njozi ya kubumba itakapoisha utatukuta tunashangilia mwanzo wa ukombozi wa taifa letu kutoka kwa makaburu weusi.Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome,apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?"hapana,sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa.Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru,tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa.Tanzania kwanza!
Kumbuka pia kwamba, Tanzania ni ya Watanzania, siyo ya CCM peke yenu!Kamanda Tanzania ni kwa Watanzania na sio Robert na vibaraka wake
Nadhani watu wanaoombea amani bila kutaja uhuru na haki watakuwa wamejitengenezea mungu wao. Mungu mwenye nguvu anakupa uhuru wa kumchagua yeye au kumiataa, ni haki yako kuchagua upendacho
Umesafiri kwenda kuwanga unasingizia Amsterdam ,bora mabeberu watawale kuliko ccm
Jamaa haudadavuwi bali unadadavuliwaTulia kamanda sisi wenye hii nchi tunawajibika nayo
Hiyo njozi ya kubumba itakapoisha utatukuta tunashangilia mwanzo wa ukombozi wa taifa letu kutoka kwa makaburu weusi.
Kumbe njozi bado haijesha. Taratibu utapata uelewa tu hata kwa makaburu SA iliwachukua muda.Kamanda nchi hii hatuwezi kumpa Robert kwa kupitia vibaraka wake