Nimeleft group la WhatsApp la Familia ya mke wangu

Unaongea pumba
 
Mkuu nyie ndo mmeolewa mnakula na kulala ukweni, lazima uone point yangu ni pumba.

Keep enjoying matunzo ya ukweni na akili yako kubebwa ukweni
Achana nae huyo. Ukitaka heshima ukweni usijenge mazoea halafu matatizo yao madogo madogo sijui harusi ,rambirambi nini unamaliza tuu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona balaa
 
Umefanya la maana, unaweza ukajisahau ukatuma picha au clip itakayokudhalilisha sana.

Usitake kuzoeleka sana Ukweni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…