Kilichosababisha huyo mwanamke aondoke ni nini, au huyo mumewe ambaye ni rafiki yako ana shida mahali AaliyyahKwa Nilivomuona rafiki yangu nimeanza kuwaelewa kataa Ndoa😀😀 jamni ndoa mpya mtu anaondoka na vitu vyote vya ndani inamaana kamuacha na Bado aanze Tena maisha upya
Neuro mdogowangu sijakupa hii story😀😀😀ila usijiunge kataa Ndoa
Ukishindwa kuyamaliza na mke wako au mme wako. Basi bora muachane.Ni sahihi maana angejiheshimu watu wasingefikia huko au ndio wewe upo na mke wawatu nini
Mtafute huyo dada ambaye ni mke wa mtu, mkae akueleze vizuri kisha kama ana ushahidi akupe na kama hana mtafute, tena ushahidi usio na shaka, ama mtege fumanizi mumfumanie kisha piga picha na video kisha wewe kaka uliyeletea hizo taarifa uamue usuke ama unyoe. Pia kumpoza huyo dada machungu na wewe kujipoza mtongoze na ummege ili iwe 1 kwa moja na sio moja bila kisha muendelee na maamuzi yenu, kama Mtaendelea na ndoa sawa kama mtaanchana pia ni sawa ila ni bora muendelee hasa kama mna watoto maana wanawake wa sasa ni mitihani unaweza ukaruka maji ukaenda kukanyaga moto kwa kupata mke mwingine ana tabia mbaya mara 2 ya huyo mkeo.
Haya mambo hayatakiw kuzungumzwa hadharani kama hivi.. mie nishaona shida sehemu I can fix it.Nidokeze basi ili nitafute suluhisho ....maana daaa yaani daaaa
Be a mafia
Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa
Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.
Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,
Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka
Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake
Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.
Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
Simple MathematicsKumekuchaaaa
Kumekuchaa
Fanya hivi,
Na wewe toka na huyo alieleta taarifa ili iwe GG [emoji16]
We Yuda we, mbona hii story yako kama umetupanga kimtindo hivi!Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
Umesikia niniEti ni kweli nilichosikia
Kwa akili yako unafikiri mke atakubali kuwa kweli natembea nae?Inabidi tu umuulize mkeo kupata ukweli, hamna namna
Amekwambia tu hivyo tayari umepanic 😂mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu"
Umepata meli hapa mjini limekununulia i phone 15 aisee .Umesikia nini
Utaweza letewa magonjwa nyumbani lazima ujue ukweli1. Pole Kwa taarifa Mbaya.
2. Kama Mkeo Hana mabadiliko yoyote ya kitabia, na mienendo yenu iko kama zamani. Puuzia habari hiyo.
3. Kama kuna Jambo kubwa mlipanga kulikamilisha na bado halijakamilika, mfano ujenzi, Achana na hizo taarifa. Hazina Maana yoyote.
4. Kama kuna mabadiliko yoyote ya kitabia ambayo hayatokani na mtazamo wako Baada ya kupewa taarifa Hii, basi Anza kufuatilia.
5. Jitahidi Kutumia busara kumuepusha Mkeo na hatari za Wezi ili wasijevunja familia yenu.
6. Ikiwa itashindikana kabisa, basi mnawezaandaa Mpango WA kuachana Kwa Amani pasipo kuumizana kiuchumi, na kijamii.