Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Kwakweli ni shida
Kunarafikiyngu Jana wameachana na mkewe mke kasomba vitu vyote vya ndani ndoa Ina miak 2 na ni ya kanisani nimemuonea huruma sana
Kataa Ndoa Wana hoja wakat mwingine
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ndoa ndoa ndoa
 
Mwanamke achungwi bro ukimshindwa fukuza mambo ya kuumia sababu ya mapenzi yashapitwa na muda hayo

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
ninachoona hapa mkuu hujamkubali huyo mleta kesi inaonekana hana mvuto ndio mana hujajua ufanye nini....
 
Wewe kyuti katembea na mume wa mtu, na mwenye mume ndiye anayekwambia. Utakuwa sawa?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kyuti lamomy nachukua superglue naunganisba hizo two parts[emoji23][emoji23]
 
Mtafute huyo dada mwambie njia nzuri ya kumkomoa mkeo sio kukwambia ww bali kukusanya ushahidi.ili ww umsaifie kumuumiza adui yake ambae ni mkeo...japo ukweli bro huna akili ndo maana anachepuka kirahisi .kakuona hivo
 
Kataa ndoa wanazidi kujikusanyia points tuπŸ˜€πŸ˜€
 
Na wewe toka naye huyo aliyeleta mashtaka, ngoma droo!
 
Kwakweli ni shida
Kunarafikiyngu Jana wameachana na mkewe mke kasomba vitu vyote vya ndani ndoa Ina miak 2 na ni ya kanisani nimemuonea huruma sana
Kataa Ndoa Wana hoja wakat mwingine
Mwanaume ndiye rafiki yako?
Ni halali hiyo ndoa kufa
 
Mtafute huyo dada muongee kwa kina na ujue maamuzi yake ikibidi wewe uendelee nae na mke aendelee na na yule mwenzako. Usijitese buda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…