Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Maswala ya MWANASHERIA hayo ndio tunaingizana ktk Mikataba ya KILAGHAI.

Ngoma ipigwe kavu kavu.
Hamna ulaghai maana tunaweka wazi makubaliano yetu. Na wala hatutahusisha mali zetu.. na kila mtu atakuwa free ila tu heshima iwepo. Ni mahusiano ya kula raha tu
 
exalioth usihangaike mtafute yule dada aliyesema hivyoo baada ya hapo mwambie naomba namba za mumeo , akikupa mwombe mkeo simu halafu piga hiyo namba au text au piga uone amemsavuje au amejibu message imeandikwaje halfu screen shots watumie wazee wako nawake halafu unaomba ushauri . Nifanyaje
Hii approach sio sahihi sana.
Mambo ya ndoa ni watu wawili tu. Huko kwingine ni kujichoresha tu!
 
Sasa hapo nawe si utoke nae muwe mmebalance equation, shida nini?
 
Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa

Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.

Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,

Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka

Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake

Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.


Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
Chai [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna ulaghai maana tunaweka wazi makubaliano yetu. Na wala hatutahusisha mali zetu.. na kila mtu atakuwa free ila tu heshima iwepo. Ni mahusiano ya kula raha tu
Em njoo Chemba tuyajenge..
 
Na wewe equalize kwa kutembea na huyo mke wa mtu...
 
Hebu ngoja ipite wiki nihakikishe kama hizi hisia zangu ni kweli au la, maana leo nimeamka nachekacheka tu sijui tatizo nini
Hujui tatizo hapo? Mie naliona kabisa lipo wazi.
 
Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa

Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.

Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,

Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka

Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake

Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.


Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
Mkuu kwanza pole sana kwa hilo

Mi nakushauri kama unamfahamu huyo mdada mtafute mzungumze ili akupe details zote. Baada ya kuupata ukweli kama ni kweli mkeo anatoa mbususu kwa huyo jamaa. Ili kupunguza machungu na wewe mle huyo mdada na baada ya hapo piga biti kali mkeo. Maana ukiacha kumla utakuwa mnyonge daima.

Wakati mwingine kulialia hakusaidii sana yaani ngoma ikija hivi ruka nayo kama ilivyokuja.
 
Back
Top Bottom