Nimelia machozi baada ya kusikiliza Mahubiri ya Nabii Denis Kuhusu Tanzania

Nimelia machozi baada ya kusikiliza Mahubiri ya Nabii Denis Kuhusu Tanzania

Wanasiasa wote upinzani au tawala ni wezi tu njaa pekee ndo uwasukuma na sio wito kama walivyokuwa wapigania uhuru walipigania njaa zao na sio zetu thus hata baada ya uhuru tu masikini zaidi
 
Tatizo la Tanzania sio CCM wala CHADEMA,
tatizo ni raia wake kutokujitambua, kwani wanawajibu mkubwa wa kulilinda taifa na rasilimali zake kwa ujumla.
Tena siku hizi dunia imerahishiswa kupata akili hautaji kuingia darasani kupoteza mda kukariri.
Pana google Pana AI kibao unatap tu maarifa unayageuza kuwa skills tu za kuyabadili mazingira yako unaziona fursa unabadili maisha yako kwa maana umasikini ni ugonjwa wa akili.
 
Duniani kote ambako watawala hulazimika kutii matakwa ya wananchi ni kwa sababu wamelazimishwa iwe hivyo. Kwetu watu wanaiacha CCM ifanye uharamia wote, wakisubiria siku moja CCM ibadilike kuwa malaika!! Hizo ni ndoto za mwendawazimu. Hakika tatizo ni wananchi. Nchi kila siku inazalisha machawa punguani, mabadiliko yatatoka wapi? Fikiria machawa ambayo yamepoteza mpaka kumbukumbu za kushindwa kutambua hata mama zao, yamebakia kujpendekeza kwa Samia kuwa ni mama yao, wakati Samia ana watoto wake!! Sasa unatarajia majitu kama hayo yanaweza kufikiria ustawi wa Taifa??
 
Hakuna nabii hapo kuna mwanachama tu wa Chadema aliyejaa mambo ya Chadema kichwani kwake
Unabii umeingiliwa na wahuni akiwemo huyu anayejiita nabii Denis

Biblia inakataa kutumia bure jina la Mungu

Narudia hakuna nabii hapo
hizi ishu sio za kisiasa, ni swala la haki kutendeka! Wewe huwa unaufurahia udhalimu?
 
Hakuna nabii hapo kuna mwanachama tu wa Chadema aliyejaa mambo ya Chadema kichwani kwake
Unabii umeingiliwa na wahuni akiwemo huyu anayejiita nabii Denis

Biblia inakataa kutumia bure jina la Mungu

Narudia hakuna nabii hapo
Kwa sababu kataja neno haki mashetani mnaumia,adhabu ya Mungu ipo kwa watenda maovu wote.
 
Mungu alipoona Taifa lake la Waarabu linaangamia kwa kukengeuka aliwateremshia Mtume Muhammad (SAW) kuwafindisha namna bora ya kuishi kwa kumpendeza Mungu.

Akawaamrisha mema na kuwakataza mabaya kwa Mujibu wa Mafundisho ya Allah Tabaraq wa Taallah.

Mungu pia alidhihirika nyakati za Rais Sauli wa Israeli ya zamani akamshushia Nabii Samweli na baadae Nabii Daudi. Hawa watumishi wote lengo ni kulikomboa Taifa na watu wake kwa nyakati hizo.

Jana nimesikiliza Mawazô, maoni, maombi na dua anazoliombea Tanzania Nabii Denis Samweli nilimwagika machozi. Nilihuzunika sana.

Huzuni hio iliambatana na matumaini kwamba Taifa letu la Tanzania soon inabii unaenda kutimia. Litakombolewa.

Nabii Denisi anasema shida ya Tanzania sio CCM wala Chadema , hapana. Shida ni Watu. Watu wakipona shida zitaisha.

Nabii ametoa mifano mingi jinsi watanzania wanavyoishi maisha ya shida sana huko mikoani, huku Nchi yao imejaa rasilimali nyingi.

Akatoa mfano hivi Waziri Mkuu na Watoto wake wana tofauti gani na sisi. Sote si binadamu na tuna mwili na nyama? Kwanini mmoja alindwe, apewe kila kitu na serikali na mwingine anyimwe? Mifano ikawa mingi.

Video clip nimeambatanisha.

Tuliombee Taifa letu Tanzania.

Asalaam Aleykum


View: https://youtu.be/Re0zIoXmwBM?si=p_HypC6JMWa-i5et

Waarabu wanakuhusu nini, acha kujipendekeza, mbona huzungumzii Afrika amemshusha nani kuwasaidia, na Congo nani ataisaidia?
 
Chanzo cha haya yote ni imani zetu kubwa 3..Ukristo, uislamu na upagani..hizi mbili za mwisho ni imani za miungu zinazoishi kwa kafara..kila nchi inapokuwa na kiongozi muislamu..nchi huwa na misuko suko mingi, imani inaamini katika kafara, umwinyi(ubwana mkubwa) na utegemezi..bahati mbaya watu wa imani hii wameiteka ccm!
 
Back
Top Bottom