Nimelia machozi baada ya kusikiliza Mahubiri ya Nabii Denis Kuhusu Tanzania

Nimelia machozi baada ya kusikiliza Mahubiri ya Nabii Denis Kuhusu Tanzania

Is this the best u can do? ... branding someone kuwa ni maiti based on ur mind alone? Mimi nimesema kwa hoja na wewe jibu kwa hoja!
Huyo jamaa kila mtu anamwita Maiti eti sababu hajitambui.....anatukosea sana
 
Is this the best u can do? ... branding someone kuwa ni maiti based on ur mind alone? Mimi nimesema kwa hoja na wewe jibu kwa hoja!
Na mimi nimesema kwa hoja kua maiti haiwezi kuamka kutoka usingizi wa Kifo hata uichome moto utaambulia majivu tu
 
HAPANA, shida ni CCM! Asitusingizie ndoto zake, na mwaka huu CCM wanachomoka tu
Yuko Morogoro. Ukimtembelea Youtube channel utabarikiwa sana
Mungu alipoona Taifa lake la Waarabu linaangamia kwa kukengeuka aliwateremshia Mtume Muhammad (SAW) kuwafindisha namna bora ya kuishi kwa kumpendeza Mungu.

Akawaamrisha mema na kuwakataza mabaya kwa Mujibu wa Mafundisho ya Allah Tabaraq wa Taallah.

Mungu pia alidhihirika nyakati za Rais Sauli wa Israeli ya zamani akamshushia Nabii Samweli na baadae Nabii Daudi. Hawa watumishi wote lengo ni kulikomboa Taifa na watu wake kwa nyakati hizo.

Jana nimesikiliza Mawazô, maoni, maombi na dua anazoliombea Tanzania Nabii Denis Samweli nilimwagika machozi. Nilihuzunika sana.

Huzuni hio iliambatana na matumaini kwamba Taifa letu la Tanzania soon inabii unaenda kutimia. Litakombolewa.

Nabii Denisi anasema shida ya Tanzania sio CCM wala Chadema , hapana. Shida ni Watu. Watu wakipona shida zitaisha.

Nabii ametoa mifano mingi jinsi watanzania wanavyoishi maisha ya shida sana huko mikoani, huku Nchi yao imejaa rasilimali nyingi.

Akatoa mfano hivi Waziri Mkuu na Watoto wake wana tofauti gani na sisi. Sote si binadamu na tuna mwili na nyama? Kwanini mmoja alindwe, apewe kila kitu na serikali na mwingine anyimwe? Mifano ikawa mingi.

Video clip nimeambatanisha.

Tuliombee Taifa letu Tanzania.

Asalaam Aleykum


View: https://youtu.be/Re0zIoXmwBM?si=p_HypC6JMWa-i5et

Wenda ndiye
 
Na mimi nimesema kwa hoja kua maiti haiwezi kuamka kutoka usingizi wa Kifo hata uichome moto utaambulia majivu tu
Duh! .. una elimu gani ndugu? inawekana hiyo ndo shida hapa.

Kuna huu msemo wa kizungu "It's hard to win an argument with a smart person. It's damn near impossible to win an argument with a stupid person" ... hiki ndo ninachokiona hapa.
 
Tunapoelekea uchaguzi Huwa Kuna tabiri nyiingi sana!Kuna tabiri za Mungu na tabiri za matakwa ya mfumo kuhusu jambo fulani!!

Ukifuatilia Kwa kina utagundua baada ya maamuzi Yale pale dodoma Kuna kelele Fulani zinapigwa japo vyombo vya habari haviripoti!lakini ni dhahiri shahiri Kuna kutoridhika na yale!yasiporekebishwa ndipo Dola itaamua option namba mbili ambayo ndio utabiri wenyewe!inaweza isiwe mtajwa lakini mtajwa akasaidiwa mwingine aliekusudiwa!!

Dola inajitahidi kuondoa madaraka Kwa wanamtandao au kwenye Koo fulani pekee na kuhakikisha madaraka ni ya wote na sio ya upande mmoja!
Asante kwa maelekezo mkuu
 
Kwa nini alichagua mfano huu?? Hakuona mifano mingine ya kutumia kojenga hoja yake?
Yupo sahii katika ulme wa mungu, kwani ni mahitaji gani ya kila siku kwa mwanadam ambayo ni tofauti ya mtoto wa Rais / Rais ,waziri mkuu ambayo ni tofauti na yeyote yule apa Duniani, au wakisha kuwa viongozi mfumo wao wa mwili na familia zao unabadilika?

Huwezi mwelewa uyu mtumishi kama kama huna Mungu ndani ya moyo wako
 
Yupo sahii katika ulme wa mungu, kwani ni mahitaji gani ya kila siku kwa mwanadam ambayo ni tofauti ya mtoto wa Rais / Rais ,waziri mkuu ambayo ni tofauti na yeyote yule apa Duniani, au wakisha kuwa viongozi mfumo wao wa mwili na familia zao unabadilika?

Huwezi mwelewa uyu mtumishi kama kama huna Mungu ndani ya moyo wako
Correct
 
Tunapoelekea uchaguzi Huwa Kuna tabiri nyiingi sana!Kuna tabiri za Mungu na tabiri za matakwa ya mfumo kuhusu jambo fulani!!

Ukifuatilia Kwa kina utagundua baada ya maamuzi Yale pale dodoma Kuna kelele Fulani zinapigwa japo vyombo vya habari haviripoti!lakini ni dhahiri shahiri Kuna kutoridhika na yale!yasiporekebishwa ndipo Dola itaamua option namba mbili ambayo ndio utabiri wenyewe!inaweza isiwe mtajwa lakini mtajwa akasaidiwa mwingine aliekusudiwa!!

Dola inajitahidi kuondoa madaraka Kwa wanamtandao au kwenye Koo fulani pekee na kuhakikisha madaraka ni ya wote na sio ya upande mmoja!
Well
 
Kiburu cha uzima ndugu......siku si nyingi utajutia hizi kauli zako za kufuru
Mwambieni huyo anajiita nabii Dennis yeye ndie ajiandae sababu hakutumwa na Mungu na ulinzi wa Mungu hana

Mark my words

Mungu hawajibiki kumlinda mtu ambaye hajamtuma kusema anachosema
 
Back
Top Bottom