kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Ila angesema mitano tena kama wale wengine angekuwa nabii au sio?Alichohubiri hakuna neno la Mungu hata moja hapo anahubiri tu hisia na mawazo yake tu
Hakuna nabii hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila angesema mitano tena kama wale wengine angekuwa nabii au sio?Alichohubiri hakuna neno la Mungu hata moja hapo anahubiri tu hisia na mawazo yake tu
Hakuna nabii hapo
Yaani ebu fikiria jinsi Mwana JF anavyowazaNi mfano ulio hai ,na si wakufikirika ulitaka amtolee mfano nani sasa?
Tena angekuwa Nabii kuliko Mwamposa🤣🤣🤣Ila angesema mitano tena kama wale wengine angekuwa nabii au sio?
Is this the best u can do? ... branding someone kuwa ni maiti based on ur mind alone? Mimi nimesema kwa hoja na wewe jibu kwa hoja!Maiti hii inapingana na mtumishi wa Mungu
Huyo jamaa kila mtu anamwita Maiti eti sababu hajitambui.....anatukosea sanaIs this the best u can do? ... branding someone kuwa ni maiti based on ur mind alone? Mimi nimesema kwa hoja na wewe jibu kwa hoja!
Na mimi nimesema kwa hoja kua maiti haiwezi kuamka kutoka usingizi wa Kifo hata uichome moto utaambulia majivu tuIs this the best u can do? ... branding someone kuwa ni maiti based on ur mind alone? Mimi nimesema kwa hoja na wewe jibu kwa hoja!
🤣🤣Na mimi nimesema kwa hoja kua maiti haiwezi kuamka kutoka usingizi wa Kifo hata uichome moto utaambulia majivu tu
HAPANA, shida ni CCM! Asitusingizie ndoto zake, na mwaka huu CCM wanachomoka tu
Yuko Morogoro. Ukimtembelea Youtube channel utabarikiwa sanaMungu alipoona Taifa lake la Waarabu linaangamia kwa kukengeuka aliwateremshia Mtume Muhammad (SAW) kuwafindisha namna bora ya kuishi kwa kumpendeza Mungu.
Akawaamrisha mema na kuwakataza mabaya kwa Mujibu wa Mafundisho ya Allah Tabaraq wa Taallah.
Mungu pia alidhihirika nyakati za Rais Sauli wa Israeli ya zamani akamshushia Nabii Samweli na baadae Nabii Daudi. Hawa watumishi wote lengo ni kulikomboa Taifa na watu wake kwa nyakati hizo.
Jana nimesikiliza Mawazô, maoni, maombi na dua anazoliombea Tanzania Nabii Denis Samweli nilimwagika machozi. Nilihuzunika sana.
Huzuni hio iliambatana na matumaini kwamba Taifa letu la Tanzania soon inabii unaenda kutimia. Litakombolewa.
Nabii Denisi anasema shida ya Tanzania sio CCM wala Chadema , hapana. Shida ni Watu. Watu wakipona shida zitaisha.
Nabii ametoa mifano mingi jinsi watanzania wanavyoishi maisha ya shida sana huko mikoani, huku Nchi yao imejaa rasilimali nyingi.
Akatoa mfano hivi Waziri Mkuu na Watoto wake wana tofauti gani na sisi. Sote si binadamu na tuna mwili na nyama? Kwanini mmoja alindwe, apewe kila kitu na serikali na mwingine anyimwe? Mifano ikawa mingi.
Video clip nimeambatanisha.
Tuliombee Taifa letu Tanzania.
Asalaam Aleykum
View: https://youtu.be/Re0zIoXmwBM?si=p_HypC6JMWa-i5et
Wenda ndiye
Duh! .. una elimu gani ndugu? inawekana hiyo ndo shida hapa.Na mimi nimesema kwa hoja kua maiti haiwezi kuamka kutoka usingizi wa Kifo hata uichome moto utaambulia majivu tu
Asante kwa maelekezo mkuuTunapoelekea uchaguzi Huwa Kuna tabiri nyiingi sana!Kuna tabiri za Mungu na tabiri za matakwa ya mfumo kuhusu jambo fulani!!
Ukifuatilia Kwa kina utagundua baada ya maamuzi Yale pale dodoma Kuna kelele Fulani zinapigwa japo vyombo vya habari haviripoti!lakini ni dhahiri shahiri Kuna kutoridhika na yale!yasiporekebishwa ndipo Dola itaamua option namba mbili ambayo ndio utabiri wenyewe!inaweza isiwe mtajwa lakini mtajwa akasaidiwa mwingine aliekusudiwa!!
Dola inajitahidi kuondoa madaraka Kwa wanamtandao au kwenye Koo fulani pekee na kuhakikisha madaraka ni ya wote na sio ya upande mmoja!
Yupo sahii katika ulme wa mungu, kwani ni mahitaji gani ya kila siku kwa mwanadam ambayo ni tofauti ya mtoto wa Rais / Rais ,waziri mkuu ambayo ni tofauti na yeyote yule apa Duniani, au wakisha kuwa viongozi mfumo wao wa mwili na familia zao unabadilika?Kwa nini alichagua mfano huu?? Hakuona mifano mingine ya kutumia kojenga hoja yake?
CorrectYupo sahii katika ulme wa mungu, kwani ni mahitaji gani ya kila siku kwa mwanadam ambayo ni tofauti ya mtoto wa Rais / Rais ,waziri mkuu ambayo ni tofauti na yeyote yule apa Duniani, au wakisha kuwa viongozi mfumo wao wa mwili na familia zao unabadilika?
Huwezi mwelewa uyu mtumishi kama kama huna Mungu ndani ya moyo wako
WellTunapoelekea uchaguzi Huwa Kuna tabiri nyiingi sana!Kuna tabiri za Mungu na tabiri za matakwa ya mfumo kuhusu jambo fulani!!
Ukifuatilia Kwa kina utagundua baada ya maamuzi Yale pale dodoma Kuna kelele Fulani zinapigwa japo vyombo vya habari haviripoti!lakini ni dhahiri shahiri Kuna kutoridhika na yale!yasiporekebishwa ndipo Dola itaamua option namba mbili ambayo ndio utabiri wenyewe!inaweza isiwe mtajwa lakini mtajwa akasaidiwa mwingine aliekusudiwa!!
Dola inajitahidi kuondoa madaraka Kwa wanamtandao au kwenye Koo fulani pekee na kuhakikisha madaraka ni ya wote na sio ya upande mmoja!
🤣🤣🤣Maiti hii inapingana na mtumishi wa Mungu
Mwambieni huyo anajiita nabii Dennis yeye ndie ajiandae sababu hakutumwa na Mungu na ulinzi wa Mungu hanaKiburu cha uzima ndugu......siku si nyingi utajutia hizi kauli zako za kufuru
Tupe wa kwako, au unataka kumpangia mleta hoja?Kwa nini alichagua mfano huu?? Hakuona mifano mingine ya kutumia kojenga hoja yake?
YapTena mashetani wa mguu mmoja na mapembe