Nimelia machozi baada ya kusikiliza Mahubiri ya Nabii Denis Kuhusu Tanzania

Nimelia machozi baada ya kusikiliza Mahubiri ya Nabii Denis Kuhusu Tanzania

Mungu alipoona Taifa lake la Waarabu linaangamia kwa kukengeuka aliwateremshia Mtume Muhammad (SAW) kuwafindisha namna bora ya kuishi kwa kumpendeza Mungu.

Akawaamrisha mema na kuwakataza mabaya kwa Mujibu wa Mafundisho ya Allah Tabaraq wa Taallah.

Mungu pia alidhihirika nyakati za Rais Sauli wa Israeli ya zamani akamshushia Nabii Samweli na baadae Nabii Daudi. Hawa watumishi wote lengo ni kulikomboa Taifa na watu wake kwa nyakati hizo.

Jana nimesikiliza Mawazô, maoni, maombi na dua anazoliombea Tanzania Nabii Denis Samweli nilimwagika machozi. Nilihuzunika sana.

Huzuni hio iliambatana na matumaini kwamba Taifa letu la Tanzania soon inabii unaenda kutimia. Litakombolewa.

Nabii Denisi anasema shida ya Tanzania sio CCM wala Chadema , hapana. Shida ni Watu. Watu wakipona shida zitaisha.

Nabii ametoa mifano mingi jinsi watanzania wanavyoishi maisha ya shida sana huko mikoani, huku Nchi yao imejaa rasilimali nyingi.

Akatoa mfano hivi Waziri Mkuu na Watoto wake wana tofauti gani na sisi. Sote si binadamu na tuna mwili na nyama? Kwanini mmoja alindwe, apewe kila kitu na serikali na mwingine anyimwe? Mifano ikawa mingi.

Video clip nimeambatanisha.

Tuliombee Taifa letu Tanzania.

Asalaam Aleykum


View: https://youtu.be/Re0zIoXmwBM?si=p_HypC6JMWa-i5et

Nitajiunga na
huduma ya mtumishi huyu na imekuwa chini ya jua
 
Mungu alipoona Taifa lake la Waarabu linaangamia kwa kukengeuka aliwateremshia Mtume Muhammad (SAW) kuwafindisha namna bora ya kuishi kwa kumpendeza Mungu.

Akawaamrisha mema na kuwakataza mabaya kwa Mujibu wa Mafundisho ya Allah Tabaraq wa Taallah.

Mungu pia alidhihirika nyakati za Rais Sauli wa Israeli ya zamani akamshushia Nabii Samweli na baadae Nabii Daudi. Hawa watumishi wote lengo ni kulikomboa Taifa na watu wake kwa nyakati hizo.

Jana nimesikiliza Mawazô, maoni, maombi na dua anazoliombea Tanzania Nabii Denis Samweli nilimwagika machozi. Nilihuzunika sana.

Huzuni hio iliambatana na matumaini kwamba Taifa letu la Tanzania soon inabii unaenda kutimia. Litakombolewa.

Nabii Denisi anasema shida ya Tanzania sio CCM wala Chadema , hapana. Shida ni Watu. Watu wakipona shida zitaisha.

Nabii ametoa mifano mingi jinsi watanzania wanavyoishi maisha ya shida sana huko mikoani, huku Nchi yao imejaa rasilimali nyingi.

Akatoa mfano hivi Waziri Mkuu na Watoto wake wana tofauti gani na sisi. Sote si binadamu na tuna mwili na nyama? Kwanini mmoja alindwe, apewe kila kitu na serikali na mwingine anyimwe? Mifano ikawa mingi.

Video clip nimeambatanisha.

Tuliombee Taifa letu Tanzania.

Asalaam Aleykum


View: https://youtu.be/Re0zIoXmwBM?si=p_HypC6JMWa-i5et

HAPANA, shida ni CCM! Asitusingizie ndoto zake, na mwaka huu CCM wanachomoka tu
 
Huyo nabii wako muongo, hakuna mtu aliyeitwa Raisi Suleiman, kwenye Bibilia ameitoa wapi hiyo, huyo nabii anaongeleaje kukumboa watu watu viongozi wanashinda kwenye madhabahu za waganga? baadhi ya makuhani na hao manabii wanashirikiana na madhabahu za waganga, ardhi imekunywa damu za kafara kwahiyo imenajisika angeanzia huko
 
Mungu alipoona Taifa lake la Waarabu linaangamia kwa kukengeuka aliwateremshia Mtume Muhammad (SAW) kuwafindisha namna bora ya kuishi kwa kumpendeza Mungu.

Akawaamrisha mema na kuwakataza mabaya kwa Mujibu wa Mafundisho ya Allah Tabaraq wa Taallah.

Mungu pia alidhihirika nyakati za Rais Sauli wa Israeli ya zamani akamshushia Nabii Samweli na baadae Nabii Daudi. Hawa watumishi wote lengo ni kulikomboa Taifa na watu wake kwa nyakati hizo.

Jana nimesikiliza Mawazô, maoni, maombi na dua anazoliombea Tanzania Nabii Denis Samweli nilimwagika machozi. Nilihuzunika sana.

Huzuni hio iliambatana na matumaini kwamba Taifa letu la Tanzania soon inabii unaenda kutimia. Litakombolewa.

Nabii Denisi anasema shida ya Tanzania sio CCM wala Chadema , hapana. Shida ni Watu. Watu wakipona shida zitaisha.

Nabii ametoa mifano mingi jinsi watanzania wanavyoishi maisha ya shida sana huko mikoani, huku Nchi yao imejaa rasilimali nyingi.

Akatoa mfano hivi Waziri Mkuu na Watoto wake wana tofauti gani na sisi. Sote si binadamu na tuna mwili na nyama? Kwanini mmoja alindwe, apewe kila kitu na serikali na mwingine anyimwe? Mifano ikawa mingi.

Video clip nimeambatanisha.

Tuliombee Taifa letu Tanzania.

Asalaam Aleykum


View: https://youtu.be/Re0zIoXmwBM?si=p_HypC6JMWa-i5et

Wee kijana kunywa maji mengi wenge liishe
 
Ukimaliza kutoa machozi utuambie, huyo anayekwenda kuikomboa Tanzania kwa mujibu wa Nabii Huyo, ni nani?
🤣🤣🤣 waweza kuta n njaa inamsumbua ndy maana analia ivi kwl kwa akili yako ulie kwa kusikiliza maneno ya nabii wa karne ya 21!
 
Huyo nabii wako muongo, hakuna mtu aliyeitwa Raisi Suleiman, kwenye Bibilia ameitoa wapi hiyo, huyo nabii anaongeleaje kukumboa watu watu viongozi wanashinda kwenye madhabahu za waganga? baadhi ya makuhani na hao manabii wanashirikiana na madhabahu za waganga, ardhi imekunywa damu za kafara kwahiyo imenajisika angeanzia huko
Mkuu ni kweli wapo wasiowaminifu kwa Bwana. Lakini sio Wote.
 
Mkuu ni kweli wapo wasiowaminifu kwa Bwana. Lakini sio Wote.
Viongozi wa nchi wakienda kutoa kafara na wanawaongoza wanajisika mkuu, mawaziri na wabunge wanakimbizana kwa waganga, ili kulinda nafasi zao, mbaya zaidi na makuhani wanashinda huko huko
 
Viongozi wa nchi wakienda kutoa kafara na wanawaongoza wanajisika mkuu, mawaziri na wabunge wanakimbizana kwa waganga, ili kulinda nafasi zao, mbaya zaidi na makuhani wanashinda huko huko
Nakubali hoka yako lakini sio wote mtumishi Daudi
 
Ubepari ni mfumo rithishwa unaokuwa na tabia za divide by rule sitaona ajabu wenye mamlaka kulinda sheria zisiharibiwe sababu zinawafavor.
 
Back
Top Bottom