Ukristo umevamiwa kama huyo Denis naye anajiita nabiiKwa sababu kataja neno haki mashetani mnaumia,adhabu ya Mungu ipo kwa watenda maovu wote.
Ukiristo umevamiwa na matapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukristo umevamiwa kama huyo Denis naye anajiita nabiiKwa sababu kataja neno haki mashetani mnaumia,adhabu ya Mungu ipo kwa watenda maovu wote.
Shida ni watawaliwa wanao ogopa kudai haki zao kwa kuogopa risasi. Kufa ni lazima ni swala la mda tu.Shinda ni shetani wa CCM
Kwa hali tuliyo nayo atakamatwa na kuwekwa kizuiziniAkatoa mfano hivi Waziri Mkuu na Watoto wake wana tofauti gani na sisi. Sote si binadamu na tuna mwili na nyama? Kwanini mmoja alindwe, apewe kila kitu na serikali na mwingine anyimwe? Mifano ikawa mingi.
Hayo maneno mekundu ukiyatumia hakikisha una CC mwenye hati miliki nayo Lucas MwashambwaJana nimesikiliza Mawazô, maoni, maombi na dua anazoliombea Tanzania Nabii Denis Samweli nilimwagika machozi. Nilihuzunika sana.
Huzuni hio iliambatana na matumaini kwamba Taifa letu la Tanzania soon inabii unaenda kutimia. Litakombolewa.
Mzizi wake ni ukosefu wa maadili na utu.UBINAFSI ndio unaoliangamiza Taifa.
Ukristo umevamiwa kama huyo Denis naye anajiita nabii
Ukiristo umevamiwa na matapeli
Nabii ahangaike na vyama?Nabii hajaona CCm wakiwekeana sumu na kukatiana brake za Magari ?
Unaweza kuitenganisha dini na siasa ?Nabii ahangaike na vyama?
We huweziUnaweza kuitenganisha dini na siasa ?
Neno la Mungu ni haki na Amani mkuuAlichohubiri hakuna neno la Mungu hata moja hapo anahubiri tu hisia na mawazo yake tu
Hakuna nabii hapo
Mkuu nilikuwa naweza basis ya madaWaarabu wanakuhusu nini, acha kujipendekeza, mbona huzungumzii Afrika amemshusha nani kuwasaidia, na Congo nani ataisaidia?
Sahihi kabisa, same reflectionAlichokiongea ni uhalisia wetu Watanzania
HahahahahaChanzo cha haya yote ni imani zetu kubwa 3..Ukristo, uislamu na upagani..hizi mbili za mwisho ni imani za miungu zinazoishi kwa kafara..kila nchi inapokuwa na kiongozi muislamu..nchi huwa na misuko suko mingi, imani inaamini katika kafara, umwinyi(ubwana mkubwa) na utegemezi..bahati mbaya watu wa imani hii wameiteka ccm!
Nani huyo Umsolopogasi mwenye shoka lake la Inkosikazi ambaye ataweza kutoa pigo hilo takatifu? Hilo nalo swali ambalo linahitaji majibu.CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu ,pigo moja tu, pigo lililonyooka, pigo takatifu .
Kiburu cha uzima ndugu......siku si nyingi utajutia hizi kauli zako za kufuruUkristo umevamiwa kama huyo Denis naye anajiita nabii
Ukiristo umevamiwa na matapeli
Neno haki ni Moto Mkali kwa waliokinyume na hakiNeno la Mungu ni haki na Amani mkuu
Endelea kukaa hapa hapa Altereni Mungi atatoa majibu. Usikae mbali NduguUkimaliza kutoa machozi utuambie, huyo anayekwenda kuikomboa Tanzania kwa mujibu wa Nabii Huyo, ni nani?