Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

🤣🤣🤣Bila shaka huyo anatoa hadi ndogo,ndomana anakuwa na demand kubwa kumaintain uchakavu,btw ngono zembe inachakaza wanawake kama huna matunzo.
Ulivoongea ivi umenifanya niwaze kina poshqueen, geeda, sanchi, Jesca tz, kwa mionekano yao na life style zao za kidangaji huenda wanatoa ndogo Ironbutterfly
 
😂😂😂😂Nimecheka looh
 
wanawake asee😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
 
Huyo HAKUPENDIIII EBU KIMBIAA😂😂😂😂😂🚫
 
Dah!...huyu wako ni 'super classic chick'...
 
Ooh hatutaki kudate ma goal keeper, majobless... tunataka wale wanaofanya kazi... haya dada Fetty huyo anamkausha bro wenu 🤣🤣
na anamshahara wa 2M kwa mwezi lakin pesa yake yeye wenda alivo akili hana anaenda kuvipa vijamaa vifupi fupi vinamfaidi
 
Ushasema wifi, huyo anajua password kuanzia benki hadi za mobile money. Yeye ni kutoa taarifa tu ila ana ruhusa ya kuchukua mzigo muda wowote akiwa na uhitaji.
Kuna wanawake pasua kichwa anajua kila kitu bado anasumbua hasa akishajua unapesa ataleta matumiz asiyo Na tija ukimwambia ukweli anaona una mnyanyasa kuhusu pesa zako aiseee nime dondoka kiuchumi sababu ya KUSIKILIZA mwanamke inahtaji kufanya ukaguz yakinifu juu wanawake tunao kutana nao.s washaur vijana waoe kwa haraka wala kuoa wanawake Wa mashindano,wanaojiona wao ni Bora,wanaojiona hawakosei,muda wote wanahis hawajaliwi,hawajui thaman kushukuru,wakisifiwa kidogo huleta dharau kwa wapenz wao,kwao sifa kubwa KUTONGOZWA hovyo ndio kuonekana kupendwa,KISHA pata Nafas ya kujua malez ya baba Na mama yake Na je mama yake anaish vipi Na baba yake.
 
Unachosema ni kweli wanawake wa Kitanzania wanaamini wao wanapaswa wauze sehemu zao za siri.
 
Unachosema ni kweli wanawake wa Kitanzania wanaamini wao wanapaswa wauze sehemu zao za siri.
Ndio ilivyo hvyo ninachosema ndicho nilichopitia nilimfungulia mirad akafilisi akisifiwa kidogo Na wateja ananiona mimi sijui kupenda wala kujar mwisho Wa siku akasema hata nisipofungua Hii mirad pesa ni za kwako kuwa makini sana Na hawa viumbe tafuta furaha yako mwenyewe YULE sahihi atakuja tu
 
Ila wanaume bhn....
Mambo madogo tu unamtoa akili mwanamke wako..
Ingekuwa hivyo saizi ningekuwa chizi namba mojaaa
 
Ila wanaume bhn....
Mambo madogo tu unamtoa akili mwanamke wako..
Ingekuwa hivyo saizi ningekuwa chizi

Ila wanaume bhn....
Mambo madogo tu unamtoa akili mwanamke wako..
Ingekuwa hivyo saizi ningekuwa chizi namba mojaaa
Mwanamke kama Hana akili ukifuga ujinga utakuua mapema mwanaume asie jiamini Na asie Na maamuz huwa ndio wanafuga ujinga wakiamin ndio upendo kumbe unateketekea unakuwa mtumwa
 
Vichunusi vya hapa na pale[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…