Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Service gani sasa, hao hawanaga hata hizo classic Service ni uchafu tuu.Ni chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Service gani sasa, hao hawanaga hata hizo classic Service ni uchafu tuu.Ni chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
Ulivoongea ivi umenifanya niwaze kina poshqueen, geeda, sanchi, Jesca tz, kwa mionekano yao na life style zao za kidangaji huenda wanatoa ndogo Ironbutterfly🤣🤣🤣Bila shaka huyo anatoa hadi ndogo,ndomana anakuwa na demand kubwa kumaintain uchakavu,btw ngono zembe inachakaza wanawake kama huna matunzo.
Kuna wadada hawana tako flat screen kabisa ila wanaomba hela haoo looh financial servicesTatizo mnapenda slay queens wenye big bum, siye wenye flat screen hamtutaki, haya pambana sasa
😂😂😂Sio pisi kali wote wanakua na tabia io ya kukamua mifuko ya wanaume, kuna wadada hawana sura, hawana tako ila wanaomba hela hao looh Mademoiselle
😂😂😂😂Nimecheka loohMambo ya viuno sijui sana, lakini kwa mada hii, mtoa mada ni wale wanaopenda pisi kali. Sa pisi kali zinakamua mifuko daddekkk..wanawake wasioomba hela, hawana tako, sura zao za kawaida na vijichunusi vya hapa.na pale, most of the times wanajielewa sana na wako serious na maisha. Lakini unafikiri watu aina ya mleta mada watawataka??? Wanafata wenye chura, ndo wanaishia kugharamikia chura...ndegelec..😅😅😅😅
wanawake asee😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌Next time text za kuombwa hela usiwe unajibu, Bluetick pita kushoto.
Na kama kuna ulazima wa kujibu basi jibu "Nikipata ntakutumia".
Hivi viumbe ni wabinafsi sana, na ukichunguza vzr ktk mahusiano hawana faida zaidi ya hasara..
Kuna mmoja nishamfungia vioo, wajinga ndio wanaotuma hela, mie ni kheri nimnunulie material things ila sio kumpa Cash...
Unampa Cash anaenda kutombwa na Mwanaume mwenzio bure bure.. na Manz analipia hotel kwa hela uliyompa.
Huyo HAKUPENDIIII EBU KIMBIAA😂😂😂😂😂🚫Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Dah!...huyu wako ni 'super classic chick'...Classic chicks hawana shida ya hela. Labda wanaweza kuwa na shida ya ku spend time na mtu.
Na ikitokea kwa nadra wakawa na shida ya hela wana resources nyingi. Wanajua kwao it is embarassing kuomba hela ovyo.
Ukishakuwa na shida ya hela, halafu unamganda boyfriend, anakwambia hana, unamsuta ubahili, ujue hapo ushashuka madaraja kadhaa kutoka kuwa classic chick unaenda kukimbilia ligi ya common whore.
Nilikuwa naye mmoja hapa US, nyumba Masaki, nyingine Mikocheni. Yeye tatizo lake si kupata hela, tatizo lake kuingiza hela Bongo, ile limit ya $10,000 ni ndogo sana. Nikawa namsaidia kupitia network zangu za Wall St.
Mtoto mkifanya mtoko mnagombania kulipa bill.
Ukiamua kumnunulia zawadi uamue tu, lakini huombwi hela hata siku moja.
Mtu akiniambia huyu classic chick naweza kuelewa.
Huyo anayelazimisha kupewa 300,000 ni maigizo ya classic chick labda.
Mnaendekeza uombaomba wa kimasikini halafu mnajiita classic chicks?
Acheni ujinga.
na anamshahara wa 2M kwa mwezi lakin pesa yake yeye wenda alivo akili hana anaenda kuvipa vijamaa vifupi fupi vinamfaidiOoh hatutaki kudate ma goal keeper, majobless... tunataka wale wanaofanya kazi... haya dada Fetty huyo anamkausha bro wenu 🤣🤣
Dah mkuu hatuombi sisi maana ukitangaza shida tu unaachwa mapemaa😀Kuna wadada hawana tako flat screen kabisa ila wanaomba hela haoo looh financial services
K ni k tu hakuna Cha classic kNi chaguo lako....by the way, mnataka classic chiks, wanataka classic cash, wakupe classic services....
Kuna wanawake pasua kichwa anajua kila kitu bado anasumbua hasa akishajua unapesa ataleta matumiz asiyo Na tija ukimwambia ukweli anaona una mnyanyasa kuhusu pesa zako aiseee nime dondoka kiuchumi sababu ya KUSIKILIZA mwanamke inahtaji kufanya ukaguz yakinifu juu wanawake tunao kutana nao.s washaur vijana waoe kwa haraka wala kuoa wanawake Wa mashindano,wanaojiona wao ni Bora,wanaojiona hawakosei,muda wote wanahis hawajaliwi,hawajui thaman kushukuru,wakisifiwa kidogo huleta dharau kwa wapenz wao,kwao sifa kubwa KUTONGOZWA hovyo ndio kuonekana kupendwa,KISHA pata Nafas ya kujua malez ya baba Na mama yake Na je mama yake anaish vipi Na baba yake.Ushasema wifi, huyo anajua password kuanzia benki hadi za mobile money. Yeye ni kutoa taarifa tu ila ana ruhusa ya kuchukua mzigo muda wowote akiwa na uhitaji.
Unachosema ni kweli wanawake wa Kitanzania wanaamini wao wanapaswa wauze sehemu zao za siri.Kuna wanawake pasua kichwa anajua kila kitu bado anasumbua hasa akishajua unapesa ataleta matumiz asiyo Na tija ukimwambia ukweli anaona una mnyanyasa kuhusu pesa zako aiseee nime dondoka kiuchumi sababu ya KUSIKILIZA mwanamke inahtaji kufanya ukaguz yakinifu juu wanawake tunao kutana nao.s washaur vijana waoe kwa haraka wala kuoa wanawake Wa mashindano,wanaojiona wao ni Bora,wanaojiona hawakosei,muda wote wanahis hawajaliwi,hawajui thaman kushukuru,wakisifiwa kidogo huleta dharau kwa wapenz wao,kwao sifa kubwa KUTONGOZWA hovyo ndio kuonekana kupendwa,KISHA pata Nafas ya kujua malez ya baba Na mama yake Na je mama yake anaish vipi Na baba yake.
Kuna manzi natoka naye ni mtumishi jana ananiambia kaishiwa hana hata hela ya kulaIshu ni kwamba unahitaji hela ya kazi gani. Maelezo yakijitosheleza unakula kibunda ila kama ni ishu za kijinga huli hata buku. 🤣
Do not financially help any woman you are not married toHujui usemacho, asikuombe pesa amuombe nani? Rekebisha kauli
Sema hivi...mwanamke akupendaye hawezi kukuomba pesa ya kuchezea.
Ndio ilivyo hvyo ninachosema ndicho nilichopitia nilimfungulia mirad akafilisi akisifiwa kidogo Na wateja ananiona mimi sijui kupenda wala kujar mwisho Wa siku akasema hata nisipofungua Hii mirad pesa ni za kwako kuwa makini sana Na hawa viumbe tafuta furaha yako mwenyewe YULE sahihi atakuja tuUnachosema ni kweli wanawake wa Kitanzania wanaamini wao wanapaswa wauze sehemu zao za siri.
Ila wanaume bhn....
Mambo madogo tu unamtoa akili mwanamke wako..
Ingekuwa hivyo saizi ningekuwa chizi
Mwanamke kama Hana akili ukifuga ujinga utakuua mapema mwanaume asie jiamini Na asie Na maamuz huwa ndio wanafuga ujinga wakiamin ndio upendo kumbe unateketekea unakuwa mtumwaIla wanaume bhn....
Mambo madogo tu unamtoa akili mwanamke wako..
Ingekuwa hivyo saizi ningekuwa chizi namba mojaaa
Vichunusi vya hapa na pale[emoji23]Mambo ya viuno sijui sana, lakini kwa mada hii, mtoa mada ni wale wanaopenda pisi kali. Sa pisi kali zinakamua mifuko daddekkk..wanawake wasioomba hela, hawana tako, sura zao za kawaida na vijichunusi vya hapa.na pale, most of the times wanajielewa sana na wako serious na maisha. Lakini unafikiri watu aina ya mleta mada watawataka??? Wanafata wenye chura, ndo wanaishia kugharamikia chura...ndegelec..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahah kaishiwaje huyo au analipa kodi MasakiKuna manzi natoka naye ni mtumishi jana ananiambia kaishiwa hana hata hela ya kula