version001
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 841
- 2,004
omba omba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakula ten la nauli😂 jiandaeSi ndio mpaka anipende. Kuna wanaume huwez kula hata ten lao nakuambia.
[emoji23][emoji23][emoji23] toka apaUtakula ten la nauli[emoji23] jiandae
Bro ni Ndezi Pro Max 🤣 unaanzaje kumpa malayar mshahara wa mtu. Yani amegeuza mahusiano ajiraOoh hatutaki kudate ma goal keeper, majobless... tunataka wale wanaofanya kazi... haya dada Fetty huyo anamkausha bro wenu 🤣🤣
Sure...nawaunga mkono asilimia zote..mwanamke wa hivyo atakukausha nyama mkiowana...Kuna mmoja hata kumla sijamla kila saa analia shida nimemuacha kimya kimya anapiga simu inaita unakata no response lazima tuondokane na jamii za wanawake wa staili hii wanatia umaskini kinoma!
Sema huyu jamaa inaonesha kuna namna alimzoesha huyo demu na ndio mana hata alipomkazia kumpa pesa demu kawa mkali.Bro ni Ndezi Pro Max [emoji1787] unaanzaje kumpa malayar mshahara wa mtu. Yani amegeuza mahusiano ajira
Najua ananizingua [emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]unakataa fursa[emoji23]
we jau sana
Sure...nawaunga mkono asilimia zote..mwanamke wa hivyo atakukausha nyama mkiowana...
Poleni kizazi cha leo ni cha dependants mwanamke hajishughulishi yy ni kukamua tuuu..
Ukiona hivyo hampendi..ukimpenda mtu unamuonea huruma huwezi kumkausha hivyo...au jamaa ni wa kujimwambafai? Maana kina Fetyy sio watu wa kispot spot hawajatulia kabisaHuyo mwanamke si anafanya kazi lkn bado anaomba omba hela aisee kazi ipo.
Ni kweli, ukimpenda mtu unakua na huruma lkn bidada hana habari kabisa. Inaonekana fika yupo kwa ajili ya hela tu.Ukiona hivyo hampendi..ukimpenda mtu unamuonea huruma huwezi kumkausha hivyo...au jamaa ni wa kujimwambafai? Maana kina Fetyy sio watu wa kispot spot hawajatulia kabisa
MIMI NILISEMA HELA ILIANZA KUONEKANA TENA MFUKONI BAADA YA KUFUKUZA MKE MKANICHEKAAnapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Ngoja kama atasikiliza ushauri wa watu ataepukana na makato ya bi Fety 😆 😆Ni kweli, ukimpenda mtu unakua na huruma lkn bidada hana habari kabisa. Inaonekana fika yupo kwa ajili ya hela tu.
Upuuzi pro max, mi hela tunaila tukiwa wote. Hayo mambo ya kutumiana laki 3 hayapo 🤣 labda uwe na ishu sensitive mno sio mambo ya bebi ya nna shida nayo tu!Sema huyu jamaa inaonesha kuna namna alimzoesha huyo demu na ndio mana hata alipomkazia kumpa pesa demu kawa mkali.