Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Sijui kwanini huwa mnapenda haya maujinga. Kulalamika na kujilizaliza JF. Simply, ni kuwa huyo mwanamke huwezi kumuafford. Acha kutupigia kelele
 
Kuna mmoja hata kumla sijamla kila saa analia shida nimemuacha kimya kimya anapiga simu inaita unakata no response lazima tuondokane na jamii za wanawake wa staili hii wanatia umaskini kinoma!
Sure...nawaunga mkono asilimia zote..mwanamke wa hivyo atakukausha nyama mkiowana...
Poleni kizazi cha leo ni cha dependants mwanamke hajishughulishi yy ni kukamua tuuu..
 
Bro ni Ndezi Pro Max [emoji1787] unaanzaje kumpa malayar mshahara wa mtu. Yani amegeuza mahusiano ajira
Sema huyu jamaa inaonesha kuna namna alimzoesha huyo demu na ndio mana hata alipomkazia kumpa pesa demu kawa mkali.
 
Mimi ata akiomba nauli ya kuja geto namwambia kazin boss wako anakutumiaga nauli??ataamua yeye aje au asije usichekecheke san na watoto wa kike atakuach maskin na atahamia kwa mwingine yeye ndie anatakiwa afate principle zako nawewe utafuata zake zenye uelekeo wako...
#LIPOWAZI
 
Huyo mwanamke si anafanya kazi lkn bado anaomba omba hela aisee kazi ipo.
Ukiona hivyo hampendi..ukimpenda mtu unamuonea huruma huwezi kumkausha hivyo...au jamaa ni wa kujimwambafai? Maana kina Fetyy sio watu wa kispot spot hawajatulia kabisa
 
Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.

Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.

View attachment 2682796
MIMI NILISEMA HELA ILIANZA KUONEKANA TENA MFUKONI BAADA YA KUFUKUZA MKE MKANICHEKA
 
Back
Top Bottom