Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,245
- 1,732
Hahaaah na wasiwasi baba nanihii kapata mchepuko mtaalamu wa mambo hayo ya kurusha wowowo so unataka uingie darasani ili upindue matokeo umrudishe baba nanihiiBora hata ngekua nshapata darasa, ningekaa tu nakatika zangu na kurusha wowowo huku na kule hebu nifanyie mpango asee
Situmiagi mitaro, katafute kwingineAndaa Vaseline kabsaa nakuja
Endelea kutongoza wake za watu utapata unachokitafutaSitumiagi mitaro, katafute kwingine
Khantwe I love youEndelea kutongoza wake za watu utapata unachokitafuta
We jamaa Mtoto wa baba ulimweka wapi mbona haonekani umu ndaniMmeamua kuteseka tu wenyewe...tuukiwatonga pm mkubali....uone kama utakosa kifua cha kukimbilia.
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Me nishapoa best...Poleni sana Evelyn Salt na Mother Confessor hii hali huwa inatokea but baada ya muda inakata yenyewe.
Natafuta hata wa kuniambia pls call meHahaha baharia mwenzangu vipi jomonii...pole aisee..hata Mimi nimemiss baadhi ya vitu kama vyako..em jomonii mmoja anitumie msj ya kuniambia kanimiss hata ya uongoo tuu...[emoji23][emoji23]
Lol....Natafuta hata wa kuniambia pls call me
HahahAiseee, huu ushuhuda unaotoka humu naamini ni chit-chat otherwise hali si hali
HahahHHHaaa aki jf haiishi vitukoHahaha baharia mwenzangu vipi jomonii...pole aisee..hata Mimi nimemiss baadhi ya vitu kama vyako..em jomonii mmoja anitumie msj ya kuniambia kanimiss hata ya uongoo tuu...[emoji23][emoji23]