Nimemiss kupendwa....

Bora hata ngekua nshapata darasa, ningekaa tu nakatika zangu na kurusha wowowo huku na kule hebu nifanyie mpango asee
Hahaaah na wasiwasi baba nanihii kapata mchepuko mtaalamu wa mambo hayo ya kurusha wowowo so unataka uingie darasani ili upindue matokeo umrudishe baba nanihii
 
Pole waachie wadogo zako,wewe endelea kuhisi tu ni muda wa wadogo zako sasa,wewe km zimesoma sana
 
Evelyn upo mama? Umeadimika balaa
 
Kweli umevurugwa! Maana hapo unaonekana una Mwanza wimbo wa Diamond kama gunia hivi.

Yaani jipu limekosa mkunaji!

Yaani upele umekosa kucha!

Pole sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…