[emoji16][emoji16][emoji16] ukaamua umuite kwa kiswahili kabisa Hawa chumviAisee me nadhani hizo level zikipita huwa hazirudi tena maana face ya msichana ikishaanza kukomaa inakuwa no longer a baby.. sasa mtu mzima habembelezwi.... pole sana Hawachumvi
Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Sasa si utafute hata cha kuazima, kama changu. Tena nakuletea free of charge😂😂😂sasa wengine hatuna hivyo vifua vya kuvikimbillia
Ok Theodore BagwellVery Childish and You are captivity of your own identity, living in prison of your own creation..... Grown-up.
Jaman we mama nanii... Kuna mwenzako muda huu apewe hz sifa hata ya kuitwa tu mama nanii hapati maana baby kaitwa hadi anaona aibu kuitika. We unadhani maprofesa hawajahi kuwa Ly std 7? Kubaliana na majukumu. Ila baba nanii nae kazidi bhana hata kama yupo bze siku moja moja akubabishe basi.!Ushawahi kujisikia hisia za hivi?unakua kwenye relation ila muda mwingine unajihisi upweke unatamani ukakae mahali upigwe upepo, kuna muda unajisikia moyo umejaa mapenzi hadi yanamwagikia unatamani umuoneshe mtu ila ndio utaonekana mfilipino tu kama sio muhindi....hizi hisia zimekua zinajirudia sana kwangu, nahitaji kuwa updated teh sijui kuwa updated sijui kujiupdate aahh hivo hivo.
Nimemiss sana kupendwa, kuoneshwa mapenzi kwa vitendo, asubuhi style ya kuamshwa iwe kushikwa shikwa nashtuka ooh nakutana na vipi baby mambo, achana na hizi style ya sahivi nakurupuka natupa kule shuka baada ya kupigwa pigwa mgongoni mama nanii amka ukampe mtoto uji, namiss kupigiwa simu kusemeshwa vitu vizuri vizuri, kukutana na text nzuri "unafanya nini njoo nipo huku desh desh garden" ukiachana na sms za mama nanii andaa msosi nakuja sijala, mama nanii hivi uliangalia luku units zimebaki ngapi, nmemiss kupokea kiparcel ndani kuna viatu, gauni nk...nmemiss zile siku nikiwa off mood nawekwa kati ya miguu naulizwa nini mbaya mamaa jamani sahivi nini off mood hata hiyo mood ipige shoti buyuuu hahaha (baba niokoeeee), namiss kuwa huru I miss mambo mengi mnoo.
leo nimevurugwa hadi basi, mnifariji tu, alamsik.
Nipo shemela, nipo...Evelyn upo mama? Umeadimika balaa
Fantasy zangu tu hizoHahaaah na wasiwasi baba nanihii kapata mchepuko mtaalamu wa mambo hayo ya kurusha wowowo so unataka uingie darasani ili upindue matokeo umrudishe baba nanihii
Such is life, lazima kuwe na phases katika life. Now you're grown up, take charge your life and dependants, ni mwendo wa kulipa bills, kusomesha, kujenga etc. Ukipata chance ya kubebishwa once in a while shukuru ili maisha yaendelee.I wish i could turn back those days.
Relax...relax.Very Childish and You are captivity of your own identity, living in prison of your own creation..... Grown-up.
Kweli majukumu yapo ila sasa jameni ndio yastopishe maisha? Sio fairKiukweli hata na mimi nimemiss kupenda. Ile feeling niliyokuwa nayo kitambo hicho yaani mtu usipomuona siku tatu moyo hautulii ni kama kiu flani hivi [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4].. Siku hizi hiyo relationship ninayo zaidi na pesa maana hakuna dollar yenye drama wala mapenzi ya uongo
Wachache wanaoelewa....I wish i could turn back those days.
Hahaha baharia mwenzangu vipi jomonii...pole aisee..hata Mimi nimemiss baadhi ya vitu kama vyako..em jomonii mmoja anitumie msj ya kuniambia kanimiss hata ya uongoo tuu...[emoji23][emoji23]
Ukiona hivyo ujue familia imekuwa majukumu yameongezeka ule muda wa kupetiwa petiwa umegawanyika ktk majukumu mengine, kwa watoto wenu wapendwa, na kwa wakwe, acha kukariri maisha na kutamani mombo ya wakati ukiwa kigori na leo ni mama wa watoto watatu.
Kila jambo ktk familia na maisha ya mwanadamu lina muda na ukomo wake, kubaliana na hali na mabadiliko ktk mwili wako na hasa maisha ya familia. Waza kuijenga familia ili uwe msaada kwa baba watoto badala ya kikwazo, hata yeye hakuwa na mrembo mmoja wakati huo na hata sasa hapendi ila amekubaliana na mabadiliko kwa afya ya familia.
A million dollars question, cha ajabu utaona mithread yao hapa mwanaume afanyiwe hivi afanyiwe vile lots of bla bla, ila wao ni majukumu....teh (jibu nnalo)Kwani ukimtumia mkeo tx "nakupenda"
Majukumu yanabadilika?
Hornet anauliza ukimtext mkeo "nakupenda" majukumu yako yanasimama?Such is life, lazima kuwe na phases katika life. Now you're grown up, take charge your life and dependants, ni mwendo wa kulipa bills, kusomesha, kujenga etc. Ukipata chance ya kubebishwa once in a while shukuru ili maisha yaendelee.
Wanasema life begins at 40 ila kwa Afrika kama haupo makini unaweza kufika hiyo 40 na hujafanya chochote tangible katika maisha.
Hahahha eti kurusha wowowo huku na kule mama nanii bwanaBora hata ngekua nshapata darasa, ningekaa tu nakatika zangu na kurusha wowowo huku na kule hebu nifanyie mpango asee