Achana na wanyamaHahahahahahaha nyie mna huo uwezo wa kusamehe na maisha yakaendelea lakini ME kuingiliwa maeneo yake ya kujidai kusamehe ni ngumu sana. Umeshawahi kuwaona majike ya wanyama wowote wale hata kuku wanagombea MadumeLakini jogoo na wanyama wengine madume yanapigana sana kwa sababu ya majike.
Achana na wanyama
Tena sisi tunaumia kuliko nyinyi nikwambie ukweli
Thanks in advanceNakushauri kwa Moyo mkunjufu na mnyenyekevu, piga moyo konde na endelea na maisha yako huku ukilea watoto wako.
Talking from experience, you will thank me later.
All the best
Sasa ngoja nikwambie ukweli....wanawake hawasemehi kamwe, ila kutokana hana pa kwenda inabidi akausheSikatai hilo tofauti ni kwamba nyinyi mna uwezo wa kusamehe haraka.
Naomba nifafanulie zaidi pia unipe tiba yakeHizi ni dalili za ugonjwa mbaya sana unaoitwa Oneitis, na definetely unaonekana ur a SIMP.
Anakudanganya huyoo...yake yameshatinganya anatafuta followers [emoji848]Thanks in advance
We utakua kungwi yaan nakuelewa saana point zakoSasa ngoja nikwambie ukweli....wanawake hawasemehi kamwe, ila kutokana hana pa kwenda inabidi akaushe
Ila kisasi chake kibaya sana sana, ( jinsi kisasi chake analipizaje hii ni siri yetu sikwambii)
Sasa ngoja nikwambie ukweli....wanawake hawasemehi kamwe, ila kutokana hana pa kwenda inabidi akaushe
Ila kisasi chake kibaya sana sana, ( jinsi kisasi chake analipizaje hii ni siri yetu sikwambii)
Hili ni waZo pia,🙄Basi achaneni wenzio wakusaidie kumtimizia hayo majukumu yote...
Maana imeandikwa, aziniye na mwanamke hana akili kabisaaaa (yaani zero brain bichwa dafu)...lakini haijaandikwa juu ya akili ya aziniye na mwanaume
Sure bro tatizo nnaweza nikawa blind kwasababu ya kupenda ikanipa shidaIt’s hard moment brother
Amini mawazo yako
Mimi nilisaliti hakunifumania nikaomba msamaha mwenyewe yeye kasaliti alafu kakimbia maZima nyumbani baada ya kuvurugika huko ndio anaomba msamaha imekaaje Happ??Men can’t withstand the same pain they have caused to women. Ulisaliti ukaomba msamaha yakaisha, amesaliti anaomba msamaha hutaki kumsamehe [emoji848]
We kuweeeza?Mke ndo msaliti halafu msamaha aombe huyu jamaa?
Ni rahisi wewe kusema hivyo sababu ni mwanamke....huijui inner psychology ya wanaume. dhambi kubwa ya mwanamke kwa mme wake ni kwenda kutombesha nje...wanaume wengi tuko very serious na hii kitu, hatutaki ujinga. Tukijua things will never be the same again...Mi namshangaa mkuu... badala amuite yaishe walee watoto yy ameendekeza kisasi tena kinamtafuna mwenyewe[emoji848]
Umeandika Kama unanifahamu. .. ukweli mtu hata wazazi wake hasa baba amenilaumu kwakumpenda binti ake bila akili mpaka nnkamwaribuBaba jayaron wewe ulimpenda sana huyo mwanamke kuliko alivokupenda wewe. Huo ndio ukweli inaonekana ulikua unafanya jitihada kubwa kumridhisha yeye si ajabu yeye hakua na jitihada za ivo.
Hapo juu umesema alikuuliza iwapo ulichepuka kipindi umesafiri, wewe ukatembelea magoti kabisaaa wakati ushahidi hana. Aisee sasa kwa hali hiyo ndgu yangu yangu hata mwanamke si anakuona ni zuzu.
Kakosea anaacha kuomba msamaha et mbona na wewe ulichepuka, daah mzee kiukweli hapo wewe ulipenda ila sidhani kama ulipendwa.
Ningemsamehe tatiZo njia aliyotumiaKumbe amelipiza [emoji3], wanawake bwana si angeacha tu lipite. But anyway nyuzi nyingi zinazoletwa humu ndani kuhusu wanawake kusaliti zinasababishwa na wanaume wenyewe. Mwanaume akisalitiwa anaona yataisha tu kirahisi, subiri asalitiwe yeye, uchungu kama wote. Pole sana kaka, with time utakua sawa.
Basi angelipiza nikiwa na helaYeye kakulipizia tu huyo sababu ulizingua