Katika kosa ambalo mwanaume hutakiwi kukiri ni kwamba kweli umechepuka. Bila kujali ushahidi wowote ule hupaswi kukiri daimaIla na we ni boya unakubalije et ulichepuka na wakati ushahidi hakuna,yaani et mtu anakubana tu unakubali,hilo ni kosa kubwa ulifanya na usije ukarudia maisha yako yote,yaani angalau akufume laivu na hapo unasema hazikuwa ni akili zako na hujui kama ni wewe,watu wanakana hadi video wewe unakubali kwa maneno tuu
Sasa dada angu nimrudie ili agongwe chumbani kwetu ili nije niue nifungwe sio?Acha kukomplicate maisha wewe ndo maana mnakufa mapema
Nimejifunza babaKatika kosa ambalo mwanaume hutakiwi kukiri ni kwamba kweli umechepuka. Bila kujali ushahidi wowote ule hupaswi kukiri daima
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment ya kibabe huu💪Bro mwache Dada aendelee na maisha yake nawe muda ukipita utazoea!!
Ok msipeane talaka peana mda kwanza muona kama bado mnahitajiana,wengine wakisamehewa hawawezi rudia kosaSasa dada angu nimrudie ili agongwe chumbani kwetu ili nije niue nifungwe sio?
Hii ntapokea tupeane muda utaongeaOk msipeane talaka peana mda kwanza muona kama bado mnahitajiana,wengine wakisamehewa hawawezi rudia kosa
Kwa alichokifanya simsapoti Ila msamehe tu mkuu Mana hata ww ulishawahi kumcheat siyo vizuri kulipiziana kisasiSasa tutakua watu wa kulipiziana Hadi lini!?
Hata wewe unamsapoti kwa hili?
Mi nimemuona Kama mke mpumbavu aliyevunja nyumba yake mwenyewe
Ukitoa nafasi ya umama (kuzaa) alichobakiza ni sex tuu ndo naimiss.... Vingine vyoote alishapoteza maana hata malezi alikua Hana kwa watoto.Kwa alichokifanya simsapoti Ila msamehe tu mkuu Mana hata ww ulishawahi kumcheat siyo vizuri kulipiziana kisasi
Sawa mkuu tuuache muda uamue Ila kumbuka hakuna mkamilifuUkitoa nafasi ya umama (kuzaa) alichobakiza ni sex tuu ndo naimiss.... Vingine vyoote alishapoteza maana hata malezi alikua Hana kwa watoto.
Let's wait mda uamue
Sawa kumbuka hakuna mkamilifu inawezekana kapitiwa tu kashawishika tu pengine siyo tabia yake..
Je akimwacha akamwoa mwingine akimcheat atamwacha Tena?
Atawaacha wangapi mwisho wa siku watoto ndio watapata shida
Hivi kutotimiziwa mahitaji kunamfanya mtu atoke nje ya ndoa [emoji848][emoji848] nimesikitika sana
Sawa sawaKuacha hakuna idadi maalumu unaweza kuacha hata mara Elfu 2
Ndo mana nimekubali kutoa mda Kama ataendelea kunihitaji nitampokeaSawa mkuu tuuache muda uamue Ila kumbuka hakuna mkamilifu
Pamoja mkuu [emoji1666][emoji1666][emoji1666]Ndo mana nimekubali kutoa mda Kama ataendelea kunihitaji nitampokea
Sure nduguKama mwanamke atakuja kukuomba msamaha na kweli ameregret hapo unaweza kumfikiria. Otherwise achana naye. Peleka watoto kwa bibi tafuta mwanamke ambaye ataweza kukusukuma katika kipindi hiki ili uweze kusahau maumivu (temporary wife). Baadaye utarecover na kutafuta wa kukufaa. Jipende mwenyewe enjoy your life. You deserve best. Acha kumfikiria.
Sent from my SM-G530W using JamiiForums mobile app
Hilo sinashaka ni kopi zangu OG kabisa..... By then mke wangu Hana nature ya umalaya before ni tabia mpya iliyoibuliwa na mashoga zake
Tulia wewe mzizi unamjua??Nyie wote ni wazinzi, hakuna mwenye afadhali hapo [emoji23]. Sameheaneni tu mulee hao watoto wenu
Ngoja nianza kuula ujana maana ndo kwanza nna 30sKama haukula ujana vyema, ndio maana unateseka.
Kwa uzoefu wangu wa kuwafilimba na nimeachana na mademu kibao. So kuachana na mtu hakunitoi roho walah hata.
Thanks mkuuMkuu pole sana, ila usifikirie habari ya kuua.
Move on, ikibidi ondoka hapo nyumbani ukae mbali naye. Utazoea tu japo ni ngumu ila inawezekana. Polee sana
Utaangalia mwenyewe ssa,ila kama huko alikoenda walimkoa fresh baasi tambua hawezi acha kamweNgoja nianza kuula ujana maana ndo kwanza nna 30s
Utaangalia mwenyewe ssa,ila kama huko alikoenda walimkoa fresh baasi tambua hawezi acha kamwe
Mkisharudiana ataacha kwa muda huku analinganisha ladha then unakuja mwendelezo ambao ukija gundua,Nakuona kwenye nondo au kaburini.