Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
- #101
Ungejua jinsi Mambo yalivyo bro iokitu ni ngumu saanaMalizeni yaishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua jinsi Mambo yalivyo bro iokitu ni ngumu saanaMalizeni yaishe
Yeye anajutia? au ndio kanogewa na kitOmbo Cha nje ya ndoa yake?
Hata ukipiga nje na akajua Kuna njia za kumuonyesha umekosea lakini siyo ku surrender title yako kwa kupiga magoti kwa mwanamke. Hicho kitu kinamadhara makubwa kwenye fikra ya mwanamke, anajihisi kakumiliki na huna Cha kumfanya.Asa huyu fala kweli kamwambiaje demu kuwa aligonga nje? Sindio maan mwanamke nae kamlipizia
Pambana upate hela familia yako uliyoianzisha upate kuishiNakubali nilikosea..... Ila ni miaka minne iliyopita Sasa hivi ishu ni kwakua sina pesa
Nikiwa na hela ilo swala dogo hope very soonStress zinatokea wapi..leta dada wa kazi,watoto spend nao time pia na wewe..baada ya miaka kadhaa tu hao ni watakuwa ni watu wazima.
Na wewe ujiombee mkuu...mbona mvivuu hivo?Kama hutojali kwa muda wako niombee Moyo wangu utulie ufanye maamuzi sahihi
Bro usikuze Mambo nilichofanya nikuomba msamaha tuu si kupiga magotiHata ukipiga nje na akajua Kuna njia za kumuonyesha umekosea lakini siyo ku surrender title yako kwa kupiga magoti kwa mwanamke. Hicho kitu kinamadhara makubwa kwenye fikra ya mwanamke, anajihisi kakumiliki na huna Cha kumfanya.
Kaka huyu mwanamke wako wa ngapi kuwa nae toka umepevuka? Tuanzie hapoNakuelewa sister.... Ila wakati Mimi ilitokea tulikua na tofauti na distance ya miezi karibu miwili. Kwa mapenz alinibana akaniuliza hivi kipindi chote sija sex tuu mi nikafunguka na kusay sorry kwa magoti... But ilipofika kwake badala aombe msamaha ananiforce nimesamehe kwakua na mimi nilichepuka mbaya Zaid na nyumban akaondoka.... Nadhani ameona alipokimbilia sio ndio Mana anataka tusiachane japo naona hayupo serious .
Labda jamaa ni wakike ndo manaKwa Wanaume Mkuu it is easier say than done.
Nikwambie kitu.Ungejua jinsi Mambo yalivyo bro iokitu ni ngumu saana
Uwiiii kwanza linavyodharau wanawake, mke wake kazi ipo na kama anae kweli maana[emoji848]Wewe binafsi umeachana na wangapi? Ndoa yako ina umri gani?
Mmmh sio kweli [emoji848]Mwanamke kumvumilia mwanaume anaye chepuka ni rahisi kwakua hakuna kitu kikubwa wanacho offer zaidi ya k..Ila Kwa mwanaume inaumiza ...coz kuanzia Hela , attention ..care ...n.k vyote hvyo anavitoa na Bado mwanamke analiwa nje ....mwanamke hana Cha kupoteza
Ndugu naku follow leo, much love!Nikushauri au tuendelee na lile battle la juzi?
😂
Jokes aside bana!
Naelewa unavyojiskia.
Mapenzi yanauma, sio kuwa hutapata mwingine but kuna vitu vilishajikita kwa mtu fulani.
Take Time brother!
Jipe muda wa kuheal, usizuie maumivu usijipe umwamba.
Hisia hazina mbabe.
Una watoto wa kuwalea after all of this saga.
Na kimsingi hujakosea wala nn!
Mapenzi huisha, na yakiisha ni kujidanganya kusema tukae tuu.
U too needed that divorce, maana pa kuanza kumfikiria kama chanzo cha jela.
Means kulikuwa na hatari ya kifo.
Sasa ya nn?
Kwann mfukishane hapo!
So yes, kupelema watoto kwa bibi laweza kuwa suluhisho lakini lisiwe na kudumu.
Yu need a reason to live
You need a reason to get home early
You need a reason not to be a player
You need a reason to pray
You need a reason to smile
You need a reason to love and be love.
Yote hayo unayapata kwa watoto wako.
Take time, bond nao, wajue,jua Mivhezo yao, jua routine zao.
Mtaishi tu fresh.
Af hata usikimbilie new partner, ngumu sana kutaka mtu mwingine awajue watoto wako kabla hujawajua wewe.
Utalazimika kuwajua kupitia mtizamo wake.
Which is very risky sometimes.
Kubwa katika yote,sali aseeeh!
Mwisho wa siku , Mungu ndo anapanga na kujua yetu yote kabla hatujazaliwa.
So bless up!
Live
Love
Laugh
Sending you hugs.
Na ulivonichamba juzi fresh tu, ntakunyoosha siku nyingine😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Umetombewa afu unaongea huu upuuzi?
Karibu. 🙏🙏Ndugu naku follow leo, much love!
Acha kunisemelea mkuu[emoji848]Usiwahi muamini mwanamke, msikilize lakini uwe na second thought.. Mara nyingi wanaongea kufurahisha baraza ila ukweli wa mambo ni tofauti kabisa.
Amejutia kinafki tuuuPoleh sana.,
Mkeo alijutia suala hilo au ilikua 'liwalo na liwe?'
Wewe achana na storee za humu...rudisha home mama watoto wakoNdo stress zenyewe hapo