1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Baba hii kitu ata yeye anajua na nilisha OMBA msamaha Wala si siri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Baba hii kitu ata yeye anajua na nilisha OMBA msamaha Wala si siri
Ni mijanaume ya kitanzania ndo ina mentality hiyo...lkn one day wanawake tutaamka na huo ndo utakuwa mwisho wa wanaume wanyanyasaji[emoji848]Mwanaume huwa hasaliti ndoa, yeye anakutwa tu. Anayesaliti ni mwanamke na according to men mke akisaliti ndoa dawa ni talaka, ila mume akikutwa na michepuko mke anatakiwa kusamehe. Wanaume wote wanaishi humo [emoji23] hiyo ndo falsafa yao na huwatoi hapo.
Mkuu mbona kama una mkemea [emoji23]ACHANA NAYEE, WEKEZA AKILI KWENYE KUTAFUTA PESA.
ACHANA NAYE HUYOOO
MWANAMKE UKISHAMTOMBA..TENA HADI UMEMZALISHA.
YANINI, AKUPE SHIDA KISA ANATOMBWAA NJE??
ACHANA NAYEE, FUKUZA, FANYA MAISHA...SIUMESHAPATA WATOTO???
FANYA MAISHA, WEKEZA KWA WATOTO
VUTA CHOMBO KIKALIIIIII YAAN KIZURIIIIIIIIII.
Hakuna cha wasted wala nini....bembelezeni wake zenu ndo penzi hiloDamn son! This nigga wasted...
Mmh kirahisi rahisi hivo?[emoji1787][emoji1787]ACHANA NAYEE, WEKEZA AKILI KWENYE KUTAFUTA PESA.
ACHANA NAYE HUYOOO
MWANAMKE UKISHAMTOMBA..TENA HADI UMEMZALISHA.
YANINI, AKUPE SHIDA KISA ANATOMBWAA NJE??
ACHANA NAYEE, FUKUZA, FANYA MAISHA...SIUMESHAPATA WATOTO???
FANYA MAISHA, WEKEZA KWA WATOTO
VUTA CHOMBO KIKALIIIIII YAAN KIZURIIIIIIIIII.
Mmmh!! Hizo paragraph mbili za mwisho zina ujumbe mzito sana!!Pole mkuu!
Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana?
Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....
Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa
Mrudie!
Bahati mbaya? C'moon chalii[emoji134]Yes haihalalishi lakini ikitokea ni bahati mbaya kwa mwanaume.
Baba hii kitu ata yeye anajua na nilisha OMBA msamaha Wala si siri
Umbembeleze mwanamke ambaye anakufinyiaga ndani ila unajua ameuza utu tayari 😅?Hakuna cha wasted wala nini....bembelezeni wake zenu ndo penzi hilo
Nasema ukwerii ndugu zangu...na msema kweri ni mpenzi wa Mungu ( in magu's voiceMmmh!! Hizo paragraph mbili za mwisho zina ujumbe mzito sana!!
Sijasoma yote ila wewe huenda ndio chanzo cha yeye kuwa na mahusiano mengine
Kweli bana. Sihalalishi lakini inatia ukakasi kwakweli mwanamke kuchepuka. Ni bora mwanaume achepuke.Bahati mbaya? C'moon chalii[emoji134]
Basi achaneni wenzio wakusaidie kumtimizia hayo majukumu yote...Ni kwel Mimi ni chanzo lakini je kwa mke wa mtu mwanamke mwerevu mwenye watoto kuacha nyumba yako ukaamia kwa mpita njia ni ujanja au upumbavu!??
#chanzo Mimi simtimizii nahitaji yake yooote
Ha ha ha hapo mwisho mwisho kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji14]Kweli bana. Sihalalishi lakini inatia ukakasi kwakweli mwanamke kuchepuka. Ni bora mwanaume achepuke.
Mimi sio mchepukaji lakini.
Hii comment yako ilitakiwa iwe Uzi rasmi. umeongeA point[emoji106]Kila siku tunasema unapoachana na mtu " Hesabu gharama kwanza" kabla ya kufikia conclusion. Na katika kuhesabu gharama usimuhusishe mtu yeyote Bali wewe mwenyewe kwa sababu gharama za kuachana unalipia wewe, unayemuacha na watoto wako.
LAKINI pia Kaa ukijua kwamba hata mke au mume akukosee Nini, tambua kuwa Kuna uzuri wake na Kuna faida za kuwa naye ambazo hutazipata mtakapoachana. So mkitaka kuachana hakikisha kosa lake limesababisha 'usimpende tena'; namaanisha uzito wa kosa uwe umezidi kiwango Cha upendo, then uko tayari kulipia gharama zote za kuachana. Then unaweza kumuacha mtu, vinginevyo utateseka sana.
Gharama za kuachana ni kama, watoto kulelewa na upande mmoja, kuona mkeo akiolewa au mume akioa mtu mingine, matatizo ya kiuchumi, upweke, ugumu wa kulea watoto ukiwa peke yako n.k