Daaa nimekumbuka mdinyo. Tulivyoenda shamba aiseee ni mtamu balaaaπHakika mtafika mbali....
Ukianza ujenzi kwenye kiwanja chako nae mjengee umbali sawia na mlivyopanga.
Kama hujanunua kiwanja au shamba fanya kununua mawili moja liwe lake....
Mdinyo wa shamba/site unakuwaga mtamuuuu....πππ
Kwa hayo makazi mapya ya bibie na utulivu wa nafsi zenu kwenye kupeana, jiandae na mimba na kulea mtoto.
Utamu wa nazi mbatata anaujua mkwezi....π€©π€©.
Haaaaaah haaaaaah sio vizuriYote hayo ni kazi bure Kama haumlishi blanket...View attachment 2162070
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£π€£DaaahMungu aturehemu.Sikulaumu mkuu ila nakuonea huruma sababu huenda huyo dada amekumezesha chip kutoka kwa wale waganga.So unaweza ukawa unaendeshwa kwa remote bila wewe kujua (artificial intelligence)
Daaa nimekumbuka mdinyo. Tulivyoenda shamba aiseee ni mtamu balaaaπ
Na ukirudi kwa mkeo , naye analeta wakulala mpaka Asubuhi wakusukumizia usingizi [emoji12][emoji12][emoji12]Wewe kama mimi tu nikiwa na dem wangu(mchepuko ) mzur kodi na matumizi yake binafsi natimiza 100% but papuchi nayo nachakata sana zaid ya kawaida
Ujue kumlipia dem kodi sio ujinga em check hii hesabu
Usimlipie kodi muwe mnakutana hotel
Hotel ya kawaida tu room ni 70-100
Tuseme kwa mwez msex mara nne so utakuta umetumia zaid ya 300k kwa mwe
Why usitafute master nzur kwa 250 au 300 umweke atulie pale utachakata papuchi hata zaid ya mara kumi kwa mwezi
Kumpangia mchepuko ni ujanja sio ushamba
Na ukirudi kwa mkeo , naye analeta wakulala mpaka Asubuhi wakusukumizia usingizi [emoji12][emoji12][emoji12]
Lijengwe pale jangwani ili kila mafuriko yanapokuja tunaliona kwa uzuri kama mnaraUnataka sanamu lako lijengwe wapi?
Khaa! sio vizuri ujueWanaume wenzangu wazalendo sana
Mi kumnunulia tu wali maharage huwa mpaka nishikiwe kisu ndo ije kodi hapana
Michepuko lazima iliweLijengwe pale jangwani ili kila mafuriko yanapokuja tunaliona kwa uzuri kama mnara
Hichi ndicho anachokitafuta mtoa mada. Unampangia malaya nyumba kodi ya laki 4 kwa mwezi like fuckinng serious???Afu wajamaa wa hivyo huwa wanaendeshwa sanaa na madem...nna jamaa angu nae kampangia dem..ila cha ajabu ni kama jama kawa underdog due hafurukuti...kuna muda hadi dem anampangia siku ya kuja kwake..kuna siku jamaa kajitoa ufahamu...kaenda bila taarifa na kukutana na mwamba mwngine....cha ajabu dem hata mlango hakumfungulia ...aliishia tu kupiga chabo dirishan na kuambiwa umekujaje bila taarifa?